Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

Shida kweli kweli na ma gharama yani ina maana wewe kuvuka itakulazimu upoteze 90-100K per months kwenda na kurudi kwako! Huu ujinga ndio unanifanya kigamboni sitaki hata kupasikia
Point kubwa sana. Ngoja tusubiri deni liishe, waondoe hiyo kodi "fee" ya kuvuka kama mchangiaji hapo alivyosema
 
Sisi wa mkoani tunacomment wapi
 
Mkuu kwa sasa daslamu iko Mbezi Luis Njoo uone.
 
Acha fix wewe. Mimi kuna siku nakaa huko Juliana,samaki samaki Hadi saa Saba nane na ninarudi Kigamboni usiku sina mlinzi geti nafungua mwenyewe. Niliishi miaka mitatu bila geti
Jamaa angu ni kilema sasa hivi walimcharanga mapanga... Mwingine alipigwa tukio akiwa amelala wakaiba nyaraka za ofisi kesho yake akaweka electrical fence... Wote Gezaulole

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Kigamboni huijui vizuri wewe,wakati wa msimu wa joto Kigamboni hakufai ni joto kweli, wanaoishi vizuri labda wenye eisii tu,wakati wa baridi Kigamboni ni balaa........
 
Hapa ndio si pa kuweka mguu... Beto nje nje wahuni wengi tena ni boda boda

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kweli mi kuna siku nimelala mara naskia kuna gari nje linapita lakini nyuma kuna geti linafurutwa linapiga kelele sana, asubuhi watu wakasema inaonekana walienda sehemu kufanya yao wakakutana na vikwazo, wakatoka nduki
Hawakomi kule mkuu... Kuna wizi ssa ivi kama unakula bata unasikia mwenye gari namba flan umepak vibaya ukijichanganya ukienda unakutana na chuma

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Ujambazi hakuna, mi nimewahi acha nyumba ina kila kitu bila mlinzi miezi 2 ila hawakuiba hata AC zilizokuwepo nje

Acha uongo nawe una nyumba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…