chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
Ok ok mahabaNgoja idhini itoke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok ok mahabaNgoja idhini itoke.
Hakuna sehemu isio na crime Dar es salaam hii. Watu wanakatwa mapanga Ocean road Mita kadhaa kutoka nyumba kubwa itakuwa kwenye makazi kama Kigamboni? Au huko Goba,Makabe,Bunju hamna crime?Jamaa angu ni kilema sasa hivi walimcharanga mapanga... Mwingine alipigwa tukio akiwa amelala wakaiba nyaraka za ofisi kesho yake akaweka electrical fence... Wote Gezaulole
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Jos Mtambo mzee wa KigamboKwa kina Jose mtamboninooo
Tatizo frequency mkuu... Comparison will be ideal kama ukifuatilia wakazi wa maeneo hayo ni mara ngapi wanakutana ni hizi kadhia. Nina washikaj watatu wanaishi huko na wote walishazinguliwa tena nyumbani kabisa.Hakuna sehemu isio na crime Dar es salaam hii. Watu wanakatwa mapanga Ocean road Mita kadhaa kutoka nyumba kubwa itakuwa kwenye makazi kama Kigamboni? Au huko Goba,Makabe,Bunju hamna crime?
Kigamboni mji umepangika vizuri wala sio uongoKigamboni imebadilika sana mkuu huku mambo moto na hayo mambo yalikua miaka nyuma.Kigamboni ndo mji utakao kua umepangika vizuri sana hata masaki huko na obey watapasikia tu ...
Una wasiwasi napo, dawa ni kwenda kununua kipindi cha masika, hapo ndio utajua km unauziwa bwawa la kambale ama kiwanja. [emoji23]Luna wataalamu wa kusoma uoto wa asili wa ardhi na kubaini kipindi cha masika maji yanatuama hapo ama yanapita au yanaingia ardhini kwa mida mfupi.
Nilipewaga hilo somo miaka 7 iliyopita kwa sasa sikumbuki vizuri kudadavua ila ukiwasikiliza ukashika hupotei.
Kibambaa to town ni kilometa ngapi mkuu?Sijawahi tamani kuishi kigamboni...huku Hondogo-Kibamba maisha safi+hali ya hewa tulivu.
Hao jamaa wanaongelea Kigamboni ya 2015 huko kurudi nyuma.Hiyo ilikua zamani sio sasa,gari zinakwenda kibada ,kongowe saivi nyingi tu ,mpaka za kariakoo kupitia darajani
Huku zingiziwa raha sana.Mkuu wewe ni jirani yangu. Karibu Dondwe.
Kigamboni tuwaachie wenyewe
Ahaaa, mzee wa Kitonga!hahahahaha basi nabaki Mvuti
wapi msongolaAhaaa, mzee wa Kitonga!
HahahhaKuna maeneo K'mboni kuna wezi hatari, watu wanavamiwa ndani na kupigwa mapanga...
Tatizo frequency mkuu... Comparison will be ideal kama ukifuatilia wakazi wa maeneo hayo ni mara ngapi wanakutana ni hizi kadhia. Nina washikaj watatu wanaishi huko na wote walishazinguliwa tena nyumbani kabisa.
Halafu wanaongelea Kigamboni utafikiri ni kasehemu kama Kinondoni kumbe kuna watu wanatembea km30 kufika makwao ndani ya kigamboniHao jamaa wanaongelea Kigamboni ya 2015 huko kurudi nyuma.
Nimeishi Mikwambe nikahama mkuu. Si kwamba siifahamu Kigamboni. Wewe au jamaa zako kutokumbwa na matukio haiondoi kuwa Kigamboni kuna uhalifu uliokithiri.Wewe Una washkaji Mimi nakaa huku mwaka wa tano huu,Nina marafiki kibao wanakaa huku maeneo mbali mbali na hawajawahi kuvamiwa. Crime ipo Dar karibu yote
Nimeishi Mikwambe nikahama mkuu. Si kwamba siifahamu Kigamboni. Wewe au jamaa zako kutokumbwa na matukio haiondoi kuwa Kigamboni kuna uhalifu uliokithiri.
Kigamboni yajipanga kukabiliana na uhalifu | East Africa Television
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni: Wezi na vibaka watakaokamatwa watapigwa na kuvunjwa miguu kabla ya kupelekwa Mahakamani
Sawa mkuu... Uzuri serikali inajitahidi kuimarisha ulinzi na kuongeza vituo vya polisi maeneo mengi hukoNitajie sehemu isio na uhalifu Dar. Na wewe washkaji zako watatu kuvamiwa sio kielelezo kuwa kuna uhalifu uliokithiri si tungekimbia wote?! Huko Goba Makabe sijui Hadi mbwa wanauawa na wezi wa power window. Mbezi beach juzi juzi hapa kapigwa risasi mtu mchana kweupe napo vipi? Kuna video kibao zinatembea za matukio ya Goba huko. Sehemu nyingi nje ya mji sio salama sio Kigamboni tu labda kama mnafikiri Kigamboni yote ni nje ya mji