Ao wajinga wanakuaga na kiongoz wao mjinga kuliko wako wao, yani ukiwafungua tu ye anaongoza to njia kwa speed kwenda kula mazao ya watu, dawa yao kamba asa iyo kamba ukute wako wa 3 ndo shughuli inakua ngumu mara wakuvute uku mara uku wakikushinda ujue kesi iyo, mazao ya watu washakula,
Basi nilikua nkiwatuliza kimbelembele na mfunga kamba kwenye lisho alafu namtia fimbo nyingi hadi asira yangu ipoe.... Kuna wakati kimbelembele alikua beberu mkorofi ukimchapa anageuka anaruka anataka akupige, basi nkawa nampa kolabo mwanangu mmoja, nafimbo zetu ndefu mmoja mbele mwingine nyuma akigeuka akupige fimbo akigeuka uku fimbo.....
Ila mikoa mingine noma Mbuzi 50 walipikutika mwezi mmoja, yani mbuzi anapatwa na kichaa, ukimpasua unakuta hadi irizi,
Pia kuna watu noma, waroho ata mbuzi kajifia hadi anaanza kuaribika ila wanakula tu....