Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi akiwa anakula alaf akawa anakuangalia usipokuwa makini unaweza Angua kichekoUkiwa unawachunga hafu wapo na ng'ombe, vyenyewe vishaenda kilometa 3 mbele ya ng'ombe. Hafu hawawezi kula sehemu moja. Bora kufuga ng'ombe.
Hivi vidude vizuri vikiwa vitoto tu. View attachment 2612282
Na wakianza kukimbia unatakiwa uwe mwehu Kwa mda kuweza kuwacontrolBeberu akiona kundi la mbuzi kilometa 3 hafikirii hata sekunde anaanza mbio ili aonje hata jike moja ambalo hajawahi kulipanda. Mbuzi wengine wanaanza kumfukuzia ila wakikutana na shamba la mtu wanaanza kufyeka mazao kwanza na safari inaendelea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanapenda mazao ya watu utasema wanajua kulima. Niliwahi kumpiga mmoja ñusura nimuue baada ya kuwaongoza wenzake kula mazao nikapigwa halafu ile nimekaa nasikilizia maumivu kakaja kakanipigia chafya usoni
Ukiwa na akili timamu sio rahs kukaa na mbuzi 😁Hawa mbuzi wanakera wakianza kulia mfano hakuna kumbuka hapo umewapa chakula na tumbo zipo kama pipa lakin hizo kelele mfano hakuna
Basi enzi hizo tukiwa wadogo tukiona kelele zimezidi tunakoroga pilipili kichaa tuna wanywesha alafu mbio maana ni msala
wanabaki kusugua midomo kwenye ukuta na kelele kuzidi
Au mmoja anakamata kichwa mwingine anachapa makalio
Ila utoto mungu atusamehe
Kuwafuga hawa wanyama inahitaji uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku ,
Wana visirani na viburi sijawahi ona ,
Picha linaanza akikata kamba aisee atakupigisha tizi moja sio ya nchi hii , na ukimkamata ukaanza kumvuta na kamba yake anaamua kuzingua tuu yaani , anagoma kabisa na anaamua kukaa huku amenyanyua kichwa juu na amekuangalia Kwa kibri kana Kwanza huna la kumfanya
Humo kwenye Banda usiku wanaweza amua kuanza kuzichapa Tu yaan , ni mnyukano na makelele usku mzima , usishangae kuwakuta wote wamejifunga kamba kama wanataka kujinyonga ,
, kama unaamini Una huruma Sana na upendo basi fuga hawa wanyama , vinginevyo unatutania
View attachment 2612275Mh aiseee
Mabeberu wana ugwadu sio wa nchi hii[emoji1787]Beberu akiona kundi la mbuzi kilometa 3 hafikirii hata sekunde anaanza mbio ili aonje hata jike moja ambalo hajawahi kulipanda. Mbuzi wengine wanaanza kumfukuzia ila wakikutana na shamba la mtu wanaanza kufyeka mazao kwanza na safari inaendelea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbavu sinaHawa mbuzi wanakera wakianza kulia mfano hakuna kumbuka hapo umewapa chakula na tumbo zipo kama pipa lakin hizo kelele mfano hakuna
Basi enzi hizo tukiwa wadogo tukiona kelele zimezidi tunakoroga pilipili kichaa tuna wanywesha alafu mbio maana ni msala
wanabaki kusugua midomo kwenye ukuta na kelele kuzidi
Au mmoja anakamata kichwa mwingine anachapa makalio
Ila utoto mungu atusamehe
Kwann unasota mkuu?[emoji38]Halafu bora kuchunga mbuzi wakiwa wengi.. wakiwa wachache tatizo linakuwa kubwa zaidi maana usumbufu unakuwa usioelezeka. Pia ukiambiwa uwapeleke mnadani bora upewe kundi la ng'ombe kuliko mbuzi mmoja. Hadi mfike mnadani umesota.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbuzi alikufanyia dharau ya hali ya juu mno mkuuWanapenda mazao ya watu utasema wanajua kulima. Niliwahi kumpiga mmoja ñusura nimuue baada ya kuwaongoza wenzake kula mazao nikapigwa halafu ile nimekaa nasikilizia maumivu kakaja kakanipigia chafya usoni
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ha ha ha....Kuna hawa wa kufunga na kamba aisee akikata kamba atakupigisha tizi ya kiwango cha SGR, usipokuwa makini unaweza gongwa na gari mana mwenzio anavuka road Kwa speed ya mwanga
Ukiwa na bia, watamu mno[emoji39]Ila watamu balaa[emoji12][emoji12][emoji12]