Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

Ndio maana wahuni wana tusi lao la kuita watu Mbuzi watakua wamemkagua sana...
 
Mbuzi anapenda kula miti dawa, hivyo supu ya utumbo wake ni dawa
 
Usiombe uchunge mbuzi kipindi cha masika ukijani jani umeanza kutoka,...

Sisi tulikuwa na mbuzi kama 100 Kijijini kwetu ila alikuwepo mbuzi aliyekuwa anakula mpka ugali na nyama yaani lilikuwa li lafi balaa...
 
Tuliletewa jike na mwanae kumbe yule mama alikuwa na mimba akazaa dume tukakampa jina Champion, tulikuwa tunacheza naye sana baba akaamua kumuhasi/asi (hapo sijui lipi sahihi) jamaa alivyokuwa akawa na kiburi na dharau sio ya kawaida majani ya jana hali, hataki kufungwa kamba hivyo mama na dada yake wanafungwa yeye yupo pembeni yao na kulikuwa na mti umepinda vizuri kwamba alikuwa anaweza kuupanda hivyo yeye aliupanda akala majani, majani ya jana wakala mama na dada champion. Tusipomuona inabidi tumuite na anaitika kabisa Mee halafu anakuja mbio Kama mtoto anavyoitwa na akija hata Kama kakuudhi inabidi utabasamu lasivyo anakupiga pembe [emoji3][emoji3][emoji3], baadae akawa ukisahau jiko wazi anaingia anakula chakula chochote atakachokikuta ispokuwa nyama na samaki tu. Baadae akawa kero mtaani anaingia nyumbani kwa watu akikuta wanakula na yeye anataka Kula wakimnyima anapindua meza, hawakuchinjwa wote wala kuuzwa maana watoto tulikataa yote, na mwisho mzee aliwagawa baada ya watoto wote kuondoka nyumba, hadi Sasa bado tunamuongelea champion ambaye mdogo wangu aliinama kumfunga kamba kwa hasira jamaa akarudi nyuma Kama hatua saba hivi akaja speed akampiga kichwa mdogo wangu akaanza kuvuja damu puani na mdomoni Mungu NI mwema dogo alipona, visa NI vingi ila niishie hapa maana mmenikumbusha mbali.
Menikumbusha mzee wetu aliwahi leta mbuzi kwaajili ya sharehe ya Christmas one week before.. Ili achinjwe siku ya sherehe ila sababu ya show zake ilibidi achinjwe mapema kabla hata sherehe haijafika. Akasubiri sherehe akiwa kwa friji...
 
Kuna kipindi niliuza mabeberu yote, yakabaki majike 6 nilitaka nibadilishe mbegu.

Sasa kumbe Kuna jike mmoja akaingia kwenye heat, halafu hakuna beberu.

Usiku nasikia ooooh oo psi , psi oooooh psi psi. Nikaamka najiuliza huyo beberu katokea wapi. Kumbe ni yule jike anatongoza na kupanda wenzake.
 
Kuwafuga hawa wanyama inahitaji uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku ,

Wana visirani na viburi sijawahi ona ,

Picha linaanza akikata kamba aisee atakupigisha tizi moja sio ya nchi hii , na ukimkamata ukaanza kumvuta na kamba yake anaamua kuzingua tuu yaani , anagoma kabisa na anaamua kukaa huku amenyanyua kichwa juu na amekuangalia Kwa kibri kana Kwanba huna la kumfanya

Humo kwenye Banda usiku wanaweza amua kuanza kuzichapa Tu yaan , ni mnyukano na makelele usku mzima , usishangae kuwakuta wote wamejifunga kamba kama wanataka kujinyonga ,

Na kama kuna shamba Fulani wamezoea kuharibu aisee ukiwafungulia tuu asubuhi ni mwendo wa Usain bolt , mchungaji lazima utepete..

Kama Una miadi ya kuonana na demu usiingie kwenye Banda la mbuzi Kwanza mana ni full kunuka kibeberu

wachunga mbuzi wengi huwa dishi limeyumba kidogo mana ni mwendo wa kupigishwa jogging non stop
, kama unaamini Una huruma Sana na upendo basi fuga hawa wanyama , vinginevyo unatutania



View attachment 2612382


Mbuzi! Hao viumbe acha kabisa! Niliwachunga nikiwa mdogo, na nilishawahi kuwafuga pia. Ni wasumbufu mno, na wezi sana. Uliyoyasema ni kweli, tena kweli tupu.
 
Kuna kipindi niliuza mabeberu yote, yakabaki majike 6 nilitaka nibadilishe mbegu.

Sasa kumbe Kuna jike mmoja akaingia kwenye heat, halafu hakuna beberu.

Usiku nasikia ooooh oo psi , psi oooooh psi psi. Nikaamka najiuliza huyo beberu katokea wapi. Kumbe ni yule jike anatongoza na kupanda wenzake.
Jamaa umetupanga hapa!!
Yaani jike alikuwa kama yule marehemu wa Mgodini?
 
Baba angu mdogo anafuga mbuz anao wengi ni kisiran huyoo anawapenda mbuz wake balaa
 
Umenikumbusha mbali mkuu kuna mahali niliwahi ishi mwenye nyumba wetu alikuwa na hii mifugo, basi ilikuwa inakutwa na mauti mara kwa mara na mwenyewe hajui inasbabishwa na nn.
Kumbe ndgu mchungaji kila mbuzi wanapomsumbua anawasubiria wakishaingia bandani tu ni kipgo kwa kwenda mbele na alishia kuwamaliza tu kw kuwaua maana hawasikii kfupi jmaa roho mbaya
 
Wachungaji msiasahau wale mliokuwa mnakula mbususu za mbuzi machungani enzi za kubalehe….
Hilo haliongelewi humu, halafu huyo mdada mbuzi / ng'ombe analeta mahaba Hadi nyumbani wanawastukia, wazee wanatambua ila watakauka na mhusika anafikiri NI Siri kumbe nyumba nzima wanajua maana yule mbuzi (ke) kila anapomuona mchungaji (jamaa yake) wake lazima amfuate na hata wakiwa machungani anakuwa nyuma nyuma pamoja na mchungaji yeye hana kiherere kama wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Watu tumechunga sana mbuzi, tumepigwa sana kwa makosa ya mbuzi, mpaka tumekomaa kiaskari. Ila unakuja mjini unakuta mtu anajioona mwambaa. Unamuangalia unasema hiiii!!
 
Menikumbusha mzee wetu aliwahi leta mbuzi kwaajili ya sharehe ya Christmas one week before.. Ili achinjwe siku ya sherehe ila sababu ya show zake ilibidi achinjwe mapema kabla hata sherehe haijafika. Akasubiri sherehe akiwa kwa friji...
Hawa wetu hasa walikuwa kwa ajili ya Idd ilipofika tukamgomea mzee asichinjwe hata mmoja na watoto wote tukaanza kulia mzee alizoea kualika watu pale msikitini yaani akifika anamuwahi Shekh na kumwambia atangaze saa Saba wakitoka msikini wote wapite nyumbani kuna chochote hiyo ni kila Idd. [emoji3][emoji3][emoji3] siku hiyo kaenda kachelewa kwa makusudi halafu akakaa nyuma Shekh asimuone ili akitoka awe wa mwanzo mwanzo pasiwe na mwaliko, [emoji3][emoji3] Shekh kaangaza akamuona pale pale Shekh akatimiza wajibu Assalam Alaykum baada ya swala ya dhuhuri mzee X. anawakaribisha nyumbani kama kawaida msikose" mzee kusikia Hilo hakuna kusikiliza mawaidha Tena ikabidi amtume mmoja wetu atuambie upesi tukutane nyumbani tukatumwa kilo mbili mbili za nyama buchani basi hakutugusa Tena na hao mbuzi Hadi tulipoondoka akawapeleka kwa mtu wakakae hakuwafuata tena

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Kuwafuga hawa wanyama inahitaji uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku ,

Wana visirani na viburi sijawahi ona ,

Picha linaanza akikata kamba aisee atakupigisha tizi moja sio ya nchi hii , na ukimkamata ukaanza kumvuta na kamba yake anaamua kuzingua tuu yaani , anagoma kabisa na anaamua kukaa huku amenyanyua kichwa juu na amekuangalia Kwa kibri kana Kwanba huna la kumfanya

Humo kwenye Banda usiku wanaweza amua kuanza kuzichapa Tu yaan , ni mnyukano na makelele usku mzima , usishangae kuwakuta wote wamejifunga kamba kama wanataka kujinyonga ,

Na kama kuna shamba Fulani wamezoea kuharibu aisee ukiwafungulia tuu asubuhi ni mwendo wa Usain bolt , mchungaji lazima utepete..

Kama Una miadi ya kuonana na demu usiingie kwenye Banda la mbuzi Kwanza mana ni full kunuka kibeberu

wachunga mbuzi wengi huwa dishi limeyumba kidogo mana ni mwendo wa kupigishwa jogging non stop
, kama unaamini Una huruma Sana na upendo basi fuga hawa wanyama , vinginevyo unatutania



View attachment 2612382


View attachment 2612275


View attachment 2612810
Mbuzi kagoma kwenda
 
Back
Top Bottom