Ukitaka kujua kuwa Afrika hatuwezi mfano ni mdogo tu usafiri wa mwendokasi nao umetushinda ni mateso

Ukitaka kujua kuwa Afrika hatuwezi mfano ni mdogo tu usafiri wa mwendokasi nao umetushinda ni mateso

Hizi nchi za kiafrika sijui tungeachwa zama za mawe tu?
Hakuna kitu tunaweza, barabara wanapeana tenda kwa kujuana, wanatengeneza katika hali ya chini hiyo lami. Ili wapate tena tenda ya kurekebisha viraka kila mara, na kampuni hiyohiyo kila mwaka inapewa tenda!!!

Haya mwendokasi ni kipi kinatushinda, mpaka tunafikia hapa? Walianza kuharibu mashine, ili wapige hela. Mabasi mengi mabovu, watu wanateseka na huo usafiri. Cha ajabu bado barabara za mwendokasi zinajengwa karibu njia zote za Dar. Ili umuelewe Muafrika, inabidi usiwe na akili.
 
Amani kwenu

Mwendo kasi ni mateso
Mwendo kasi ni maumivu
Mwendo kasi ni majonzi
Mwendo kasi ni utungu

Wazungu njoon mtutawale tena sisi hatuwezi jaman

YESU njoo Africa tunateseka jaman
Upigaji.....kila mradi kuna mkubwa anataka kula ili aweze kusaidia chama kibaki........kwa mwendo huu Chama hakitatoka na maendeleo hatutapata kamwe
 
Mtu mweusi ana mapungufu mengi sana ukilinganisha makundi mengine ya binadamu.

Na hii sio kwa walioko Afrika tu bali mahali popote alipo duniani tabia ni ile ile....mfano halisi ni Haiti 🇭🇹
Shida nini sasa ndugu ndo tulivyo umbea au inakuaje
 
Mwendakasi sio shirika la umma?? nadhani ndio maana huwezi kukuta utendaji kazi wake una hojiwa mahali popote pale.
Si wabunge, si waziri, si madiwani, wote kimya.

Ni wananchi ndio wenye uwezo wa kuamua hili shirika liendeje.
Tatizo wengi wetu ni wabinafsi,
Mtu analalalimika, ila akishaingia(kwa kugombania) kwenye Basi. Anasahau shida zote. Walioko nje anawaona kama wamekosea maisha.
Kama wananchi tungekuwa tunajua tunataka nini siku moja pale kimara/ gerezani/kivukoni, tunagoma mpaka mtendaji mkuu aje aone adha tunayopitia.
Pengine wangekua serious na usafiri huu.

Shida ya Tanzania inaanza na sisi wenyewe, wananchi hatutaki mabadiliko ya aina yoyote.
Wale jamaa wana tuwezea kwenye tume ya uchaguz kaka
 
Mtu mweusi ana mapungufu mengi sana ukilinganisha makundi mengine ya binadamu.

Na hii sio kwa walioko Afrika tu bali mahali popote alipo duniani tabia ni ile ile....mfano halisi ni Haiti 🇭🇹
Peter Torshi aliimba
" No matter of your Nationality as long as your are blackman, then you are African"

Maana yake hata ukizaliwa Ulaya kama wewe ni Mweusi basi ujinga ni ule ule.
 
Kuna siku niliwah kuwaza hivyo,kua huenda Kuna kitu hakko sawa Kwa watz wenzangu hasa akilin ,nkahis mm ndo nna tatzo labda ila sasa naona uenda nilkua sahihi kusema tunatatzo la ufkiri watz,, tuna miaka 60+ ya uhuru hatuwez hata kujisimamia kuendesha bandari zetu mpka tuite watu weupe,tuna madin ila wachimbaji wakubwa ni watu wenye pia refu na weupe,hata kutengeneza kabati na meza tuna agiza China,kiberiti tunaagiza ,,nahis tumelogwa au akili zetu wengi tuna shida kasoro mm
Dah umeongea point na kwa machungu sana
 
Mwendokasi wapo Watanzania wanaoweza kuendesha sema waliopewa hawana uwezo wowote wewe angalia mtu na Coaster zake anafanikiwa na anaongeza zingine na Road analipia Trafiki na ushindani mkubwa wakati hao mwendokasi hawana upinzani wowote abiria wanasubiri Bus ambazo ambazo zipo chache na mbovu..
Na waliahidi wataleta mpya mwezi huu lakin mpaka sasa kimiya

Na rais tu tuliyenaye naye ndo tatizo linapoanzia

Tuna rais wa mchongo hii nchii
 
Back
Top Bottom