Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili huna kwa hiyo mtu anaficha umaskini kwa utajiriMentality ya kizamani sana!! Gari si indicator ya maisha mazuri hata kidogo kwa maisha ya sasa! Inaweza kuwa ni indicator ya watu kujaribu kuficha magumu yao kwa kujipatia kausafiri!!
Kangomba style sio?Tumbaku ina process mkuu yani Kagera ukiwa na mtaji milioni tano msimu wa kahawa ukianza mwezi wa nne ukanunua kahawa kwa wakulima wa chini ukaja kuuza mwezi wa saba Milioni tano inakuwa kuwa 15 kama sio 17 trust me.
Shule yangu hyo wewe ulikuwa unakaa kijiji Kafunjo .Kangomba style sio?
NJE YA MADA
Hilo Jina Rutabo sio eneo la umisheni lililopo kijiji cha Kamachumu..
Nimewahi kaa hapo miezi 4...
Hii nayo hint muhimu sanaTazama viatu vyao tu baas
Gari muhimu mwanawane hawa wanawake pisi kali bila gari utaishia kuwapigia nyeto....speaking from experienceHello!
Ofisi yoyote iwe ya serikali au binafsi kama tu iko hapa Tanzania wewe tazama parking. Halafu uliza idadi ya wafanyakazi wote. Ofisi ina wafanyakazi 50 parking kuna gari binafsi 3 tu ya mwasibu, Afisa manunuzi na ya meneja tu hapo pamejaa ufukara. Nawewe unakwenda kuambukizwa ufukara.
Kwa ofisi zilizojaa watu wa Ulaya na Amerika gari sio issue sana. Hata bosi anaweza kuja kazini kwa mguu au kwa baiskeli ila hizi ofisi za Kibongo au za watu wa Asia usisahau kuangalia parking ili kama utaamua kwenda kusaidiana na masenior kuogelea kwenye umaskini sawa. Usiseme sijakuambia.
Mbongo akipata pesa majitaji yake muhimu ni mawili 1.Gari, 2.Nyumba. So ukiona parking kavu maana yake pesa hakuna hapo.
Kuna jambo nataka kukuulizaAisee