Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Kweli mleta mada umetimiza ndoto zako za miaka mingi tangu 2017
Kupata comments na likes za kutosha [emoji91][emoji91]

Kwani likes na comments nyingi ndiyo zinaleta ugali mezani? Nenda FB kamuangalie Vunja Bei akipost kitu comments zake hazizidi 50 lakini ni bilionea ,sasa angalia kina jumalokole na rueben wakipost likes kama zote lakini wanazibuliwa kwa afuishirini.
 
Kweli mleta mada umetimiza ndoto zako za miaka mingi tangu 2017
Kupata comments na likes za kutosha [emoji91][emoji91]
Kama ni ndoto yako kupata likes mkuu endelea kuifukuzia. Mimi nasaka dough mkuu kama una ujuzi wa umeme au metallurgy niambie nikupe kazi.
 
Tumpe doso kidogo eti? Ngoja aje alambe dagaa na ulimi
Tunamwaga dagaa hapo chini kisha aokoteze na ulimi
Mhhh hana ubongo maumivu hawezi skia mana hata hisia zimekufa ni mtambo wa CCM huo.
 
Tafuta kitabu cha Mark Manson kitakusaidia sana kuielewa hii statement yako
 
niliwekaga uzi wakutafuta mke humu chaajabu watu wakaupotezea😄😅😅
Haya MAVILAZA na MAZIRO ya humu ni MAFEKIIII, usiyachukulie serious.

Humu kila mtu ana VIEITEE na ana mboro kubwaa lakinii kwenye nyuzi za kutafuta ajira wamoo wanachungulia kama mandondocha. Ukizama kwenye nyuzi za kuongeza nguvu za kiume pia wamoo wanalia lia wana vibamia.

MAFEKIIIII, MAZIROO tupuuu!!

Eti ohh, niliopoa dem mkalii nikiwa naendesha TOYOTA CROWN... aiseee 😮😮😮

MAVILAZAAAZZZ MAZIROO, FEKIII TUPU
 
Unaweza fafanua kinachoifanya kazi ya bodaboda kuwa kazi ya laana?
 
Makasitiko gani? Hizo ni findings! Anawapa elimu majuha waelewe ,waache kushabikia mada za kipumbavu....Wabongo hawapendi kuambiwa ukweli ndiyo tatizo ,ukimwambia ukweli mnagombana na ndiyo maana unafiki unakuwa mwingi.
Hamjakatazwa kupost hizo mada critical,so punguzeni makasiriko nyie vipanga wa mchongo
 
Makasitiko gani? Hizo ni findings! Anawapa elimu majuha waelewe ,waache kushabikia mada za kipumbavu....Wabongo hawapendi kuambiwa ukweli ndiyo tatizo ,ukimwambia ukweli mnagombana na ndiyo maana unafiki unakuwa mwingi.
Yachane hayo MAVILAZAZZ na MAZIROOO

Badala ya kutomba, yapo humu yananyanduana kwa kuchati
 
Nipo tangu 2013 humu,lakini miaka ya karibuni nimefanya tathimini yangu naona uwezo wa JF unazidi kushuka,

Uongozi wa JF msipoweka vigezo vya mada za msingi hili jukwaa litakosa maana na watu wenye uwezo kama yule memba anayeitwa Barafu hamtoona akichangia kwa kuwa muda mwingine tunatamani tushushe nondo lakini kila tukiangalia wachangiaji tunachoka tu,tunabaki kukaa kimya
 
Hasira kali, kunywa maji kwanza kidogo. Take a sip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…