Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mkuu ww tupia tu hizo mada zako za akili kubwa kuna wapuuzi kama mimi tunauwezo wa kubadilika kulingana na mada husika , tutachangia tu mkuu.
 
Ukiwa serious sana hapa Africa unajitafutia tu ww ndio uonekane zuzu. Na sio lazima kila mtu ashiriki lile unaloona lipo sahihi. Usitake watu waende kama kondoo tu waache wafurahie vitu vya kijinga faida na hasara watapata wao.
 
Ukiwa serious sana hapa Africa unajitafutia tu ww ndio uonekane zuzu. Na sio lazima kila mtu ashiriki lile unaloona lipo sahihi. Usitake watu waende kama kondoo tu waache wafurahie vitu vya kijinga faida na hasara watapata wao.
Lakini unafikiri tutapiga hatua kama nchi kwa ujinga huu?
 
Naona Uzi, maoni, ufanyike uchambuzi wa kina kabla ya kutoa. Kama ni upuuzi tupilia mbali.
 
Lakini unafikiri tutapiga hatua kama nchi kwa ujinga huu?
Swala la kupiga hatua ni jambo la mtu mmoja mmoja kuna mambo kama taifa tukiyafanyia mzaha tutaendelea kua masikini na kamwe hatutaendelea lakini swala la mtu kuwa na upenzi wa vitu fulani ambavyo wewe unaona ni vya hovyo hapo matokeo yanakuja kwenye maendeleo binafsi. Kuna watu hawana
 
Unahisi kuwa maendeleo binafsi hayana uhusiano na maendeleo ya taifa?

Unafahamu maendeleo hupimwa kwa kitu gani?
 
Ila ume assume tu kuwa mimi wa Dar,
Kwa kweli sipajui hivyo huwa napumzika kwa mda tu nikiwa holiday

Lakini potelea ya mbali ukinitapeli itakuwa kama nimeongezea mifuko ya minjingu
 
GENTAMYCIME ambaye ni kioo cha jamii naye kateleza leo kaja hivi

 
Basi huna uwezo wa kubisha na mimi au kujenga hoja na mtu yoyote mwenye akili.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kumbe ww upo kwenye kubishanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ afya ya akili ikapimwe vizuri
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kumbe ww upo kwenye kubishanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ afya ya akili ikapimwe vizuri
Haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…