Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wachache sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo nime observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.
Mkuu ww tupia tu hizo mada zako za akili kubwa kuna wapuuzi kama mimi tunauwezo wa kubadilika kulingana na mada husika , tutachangia tu mkuu.
 
Ukiwa serious sana hapa Africa unajitafutia tu ww ndio uonekane zuzu. Na sio lazima kila mtu ashiriki lile unaloona lipo sahihi. Usitake watu waende kama kondoo tu waache wafurahie vitu vya kijinga faida na hasara watapata wao.
 
Ukiwa serious sana hapa Africa unajitafutia tu ww ndio uonekane zuzu. Na sio lazima kila mtu ashiriki lile unaloona lipo sahihi. Usitake watu waende kama kondoo tu waache wafurahie vitu vya kijinga faida na hasara watapata wao.
Lakini unafikiri tutapiga hatua kama nchi kwa ujinga huu?
 
Naona Uzi, maoni, ufanyike uchambuzi wa kina kabla ya kutoa. Kama ni upuuzi tupilia mbali.
 
Lakini unafikiri tutapiga hatua kama nchi kwa ujinga huu?
Swala la kupiga hatua ni jambo la mtu mmoja mmoja kuna mambo kama taifa tukiyafanyia mzaha tutaendelea kua masikini na kamwe hatutaendelea lakini swala la mtu kuwa na upenzi wa vitu fulani ambavyo wewe unaona ni vya hovyo hapo matokeo yanakuja kwenye maendeleo binafsi. Kuna watu hawana
 
Swala la kupiga hatua ni jambo la mtu mmoja mmoja kuna mambo kama taifa tukiyafanyia mzaha tutaendelea kua masikini na kamwe hatutaendelea lakini swala la mtu kuwa na upenzi wa vitu fulani ambavyo wewe unaona ni vya hovyo hapo matokeo yanakuja kwenye maendeleo binafsi. Kuna watu hawana
Unahisi kuwa maendeleo binafsi hayana uhusiano na maendeleo ya taifa?

Unafahamu maendeleo hupimwa kwa kitu gani?
 
Nishakwambia hali ya hewa mbaya kilimo kimesimama kwa sie tunaotegemea mvua
Ukija nikutembeze nitakutapeli tu bure urudi daslama na maumivu[emoji23][emoji23]

Huo mguu unalima sema hapo nlkua nishavuna nimetoka kufanyiwa zile manicure na scrubs wanazofanyiwa hao wadada wa daslama[emoji38]
Ila ume assume tu kuwa mimi wa Dar,
Kwa kweli sipajui hivyo huwa napumzika kwa mda tu nikiwa holiday

Lakini potelea ya mbali ukinitapeli itakuwa kama nimeongezea mifuko ya minjingu
 
GENTAMYCIME ambaye ni kioo cha jamii naye kateleza leo kaja hivi

 
Basi huna uwezo wa kubisha na mimi au kujenga hoja na mtu yoyote mwenye akili.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kumbe ww upo kwenye kubishana😂😂😂😂😂😂😂😂😂 afya ya akili ikapimwe vizuri
 
Back
Top Bottom