Mzee huwezi kua serious mda wote Kuna mda ujinga unaendesha nchiTypical African minds. To be honest wengi wetu ni wajinga. Ndio maana ujinga umetawala. Angalia ujinga mwingi unafanyika bara gani kama sio Africa.
Nimecheka sana leo, kuna Watu wana maumivu sana kah,,Hawa Ma genius wanatukosea sana.
Kwan Kuna ulazima wawe wanasoma Mada za wapumbavu?.
Siwaendelee kuishauli Serikali namna ya kupunguza inflation tulonayo, waishauri juu ya ma Mega projects .
Sisi watuache na nyuzi zetu .
Ndo Ivo Mkuu !!!Mzee huwezi kua serious mda wote Kuna mda ujinga unaendesha nchi
Sijakupangia my lady. Nimekuambia tu wajinga ni wengi na hapa mtajidhihirisha wote.Sasa sie vichwa panzi laa 7E ndo tunabalance huo mzani wa maisha wa nyie wenye maakili yenuπππ.. Utawaza politics, innovation, technology and whatever ila sxy laazma iwepo mwisho wa sikuππ..
Kwaio Chaliifrancisco usitupangie cha kufanya..πππ Unless kama kila aliekua humu jf unamjua na unajua impact yake katika maisha ya kila siku.. πππ
Ajabu ni kuwa wapumbavu wanakosesha usingizi wanaojiona werevu,, ah leo nimecheka sanaSasa sie vichwa panzi laa 7E ndo tunabalance huo mzani wa maisha wa nyie wenye maakili yenuπππ.. Utawaza politics, innovation, technology and whatever ila sxy laazma iwepo mwisho wa sikuππ..
Kwaio Chaliifrancisco usitupangie cha kufanya..πππ Unless kama kila aliekua humu jf unamjua na unajua impact yake katika maisha ya kila siku.. πππ
Yes najua lakini, make stas of it. Ujinga umetawala kuliko kitu yoyote. So you can conclude kuwa wajinga tumekuwa wakuzidi.Mzee huwezi kua serious mda wote Kuna mda ujinga unaendesha nchi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji4][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]
hahaha usije kuwa ni genius unanichora tu hapa[emoji23][emoji23][emoji23] tafuta uzi wa wapumbavu tukamisiane vizuri huu wa ma genius siuwezi bwahahahaha
Daahhh hiii siku ya Leo kwakweli hapanaaa !!Nimecheka sana leo, kuna Watu wana maumivu sana kah,,
Pambana mkuuππππSijakupangia my lady. Nimekuambia tu wajinga ni wengi na hapa mtajidhihirisha wote.
ππππππππJamani mzabWabongo bwana, wanajidai wana akili kumbe hamna lolote.
Ndio upuuzi huo. Yani mtu tena wakiume anaanzisha uzi kumsifia mwanaume mwenzake.Kweli na wale anaanzisha uzi kumsifia member flani sijui wanafikiriaga nini
Mambo mengine yaishie PM mahusiano yakp na mtu fulani sisi hayatuhusu but ndo hivp tunaishi nap tu
Sina chakupambania dear, kama inauma chomoa.Pambana mkuuππππ