Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Sijakupangia my lady. Nimekuambia tu wajinga ni wengi na hapa mtajidhihirisha wote.
 
Ajabu ni kuwa wapumbavu wanakosesha usingizi wanaojiona werevu,, ah leo nimecheka sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

hahaha usije kuwa ni genius unanichora tu hapa[emoji23][emoji23][emoji23] tafuta uzi wa wapumbavu tukamisiane vizuri huu wa ma genius siuwezi bwahahahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Kweli na wale anaanzisha uzi kumsifia member flani sijui wanafikiriaga nini

Mambo mengine yaishie PM mahusiano yakp na mtu fulani sisi hayatuhusu but ndo hivp tunaishi nap tu
Ndio upuuzi huo. Yani mtu tena wakiume anaanzisha uzi kumsifia mwanaume mwenzake.

Ndio hao hao wanaofanya wakataa ndoa wapate kiki hapa jukwaani. Yani ulimbukeni umekuwa mwingi. Nawalaumu wachina kwa kuleta cheap smartphones
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…