Mgegedo ndo umezaa hao magenious,[emoji23][emoji23][emoji23] Huo Uzi ni kumbukumbu ya vizazi..
Ma genius na nyuzi zao za Mega Projects ,zitapita....
Ila masuala ya mgegedo hayatapita kamwe
Chama gani tena namiliki?Ningeshangaa mmiliki wa Chama usifike kikaoni.
😅😅😅 mtaani kuibia watu niteseke na jf niteseke hapana kwakweliiWakija uzi wetu wa usiku, SI watatuuta vichaaa
Kwa hiyo chalii unataka majukwaa mengine yafutwe tubaki na jukwaa la siasa tuwe serious etiHuo ni uzi mmoja unaoweza kuuweka pembeni. Lakini wachangiaji ndio wale unaowaona kwenye mda za kulana kimasihara? Hapo huwezi kukuta vichwa panzi lazima ukute wanaojielewa wakishusha fcats.
Ningeshangaa mmiliki wa Chama usifike kikaoni.
Hohoho. Mkiambiwa ukweli ndio mnakuwa philosophical, niggah get the point and stop pretending to be Plato.Sifa kuu ya kujielewa ni kujali yanayokuhusu, yasiyokuhusu unayapuuzia. But carry on.
Ukiniita kilaza wakati Mimi sio kilaza hainigharimu chochote ni sawa unapaka rangi upepo.Ukisoma uzi utagundua niliandika uzi kama social experiment. Shida hata maana ya social experiment huelewi. Wewe ni kilaza tu.
Kuna mmoja kaanzisha uzi analaumu ameliwa sekunde 3 bwanaake akaanza kukoroma usipokua mtaalam unaweza kudhani analaumu kumbe ameweka tangazoHapa JF ukiona hao wanawake ni wacheche wanaojielewa ila wengi wao wapo tu kutafuta mabwana
Lema kakosea au ameshindwa kutetea hoja yake tuNakubaliana na wewe. Ila hapo kwa Lema kuna ukakasi kidogo, huwezi kuita kazi ya boda boda ni laana wakati kuna watu wanasomesha na kuweka chakula juu ya meza kupitia shughuli hiyo. Kuna namna bora ya kutamka ama kuliangazia janga hili. Lema alikosa Emotional Intelligence katika kauli ile inawezekana furaha ilimpitiliza akajikuta anatamka maneno bila kufikiri
Hivi ni nani alimwambia ye ni genius? Watu kuchat kucheka na kutaniana kwake ni uchungu mkali ndo nachokiona na kanichekesha kuwa hivyo kwa mambo ya mtandao wa wasiojulikanaYe mwenyewe kilaza mwenzetu tu
Mtoa mada hakosi miaka 27+
Mchana kuna uzi nikawa mentioned ikabidi nichungulie kunani… nakuta eti anatuuliza kama ni sahihi kumnunulia paints dada/ mama.
Mtu mwenye akili zake huyo, kashindwa hata kucope na tamaduni za nchi yake.
Sio wivu mkuu kitu ukishakileta kwa internet tarajia kuna watakao kusapot most ni wanafikiInashangaza
Jamaa eti anaonea wivu nyuz za watu[emoji4]