Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Huo ni uzi mmoja unaoweza kuuweka pembeni. Lakini wachangiaji ndio wale unaowaona kwenye mda za kulana kimasihara? Hapo huwezi kukuta vichwa panzi lazima ukute wanaojielewa wakishusha fcats.
Kwa hiyo chalii unataka majukwaa mengine yafutwe tubaki na jukwaa la siasa tuwe serious eti
 
Ukisoma uzi utagundua niliandika uzi kama social experiment. Shida hata maana ya social experiment huelewi. Wewe ni kilaza tu.
Ukiniita kilaza wakati Mimi sio kilaza hainigharimu chochote ni sawa unapaka rangi upepo.

Hiyo social experiment ya kiduwanzi ulianzaje kuwaza hizo pumba, mbona Kuna constructive social experiment nyingi tu😏
In a normal reasoning capacity umeshindwa kujijibu huo uduwanzi🤣

Umefeli bwana hiyo ipo wazi.
 
Lema kakosea au ameshindwa kutetea hoja yake tu

Kazi zile ambazo wewe binafsi unazifahamu kama ni kazi za laana bado hupeleka chakula mezani kusomesha na kujenga
Kusema sababu hizo tu ndiyo kufanya kazi fulani isiwe ya laana hazitoshi
Kwa hiyo wewe na Lema nakuwekeni kundi moja kwamba mmeshindwa kutetea hoja zenu
 
Hivi ni nani alimwambia ye ni genius? Watu kuchat kucheka na kutaniana kwake ni uchungu mkali ndo nachokiona na kanichekesha kuwa hivyo kwa mambo ya mtandao wa wasiojulikana
 
Inashangaza
Jamaa eti anaonea wivu nyuz za watu[emoji4]
Sio wivu mkuu kitu ukishakileta kwa internet tarajia kuna watakao kusapot most ni wanafiki

Wadada wanasapoti thread zako sidhan ka wanapenda kua Mama J in reality naona wanasoma afu wanaji-compare ka wako kwa hio side its like unawafariji

Afu kuna hawa wanakukosoa hawa ndo wanakutakia mema btn thrad sio nzuri ungekua ulaya huko ungekua ushafunguliwa makesi kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…