Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mtanange unazidi kunoga mtoa mada anashambuliwa kwa mashambulizi makali kila upande huku yeye akijipua kwa majibu makali kaona liwalo na liwe ,ngoja niweke kambi hapa nione nini kitakachojiri..
IMG-20220514-WA0008 (2).jpg
 
Ukisoma uzi utagundua niliandika uzi kama social experiment. Shida hata maana ya social experiment huelewi. Wewe ni kilaza tu.
Ukiniita kilaza wakati Mimi sio kilaza hainigharimu chochote ni sawa unapaka rangi upepo.

Hiyo social experiment ya kiduwanzi ulianzaje kuwaza hizo pumba, mbona Kuna constructive social experiment nyingi tu😏
In a normal reasoning capacity umeshindwa kujijibu huo uduwanzi🤣

Umefeli bwana hiyo ipo wazi.
 
Nakubaliana na wewe. Ila hapo kwa Lema kuna ukakasi kidogo, huwezi kuita kazi ya boda boda ni laana wakati kuna watu wanasomesha na kuweka chakula juu ya meza kupitia shughuli hiyo. Kuna namna bora ya kutamka ama kuliangazia janga hili. Lema alikosa Emotional Intelligence katika kauli ile inawezekana furaha ilimpitiliza akajikuta anatamka maneno bila kufikiri
Lema kakosea au ameshindwa kutetea hoja yake tu

Kazi zile ambazo wewe binafsi unazifahamu kama ni kazi za laana bado hupeleka chakula mezani kusomesha na kujenga
Kusema sababu hizo tu ndiyo kufanya kazi fulani isiwe ya laana hazitoshi
Kwa hiyo wewe na Lema nakuwekeni kundi moja kwamba mmeshindwa kutetea hoja zenu
 
Ye mwenyewe kilaza mwenzetu tu
Mtoa mada hakosi miaka 27+
Mchana kuna uzi nikawa mentioned ikabidi nichungulie kunani… nakuta eti anatuuliza kama ni sahihi kumnunulia paints dada/ mama.

Mtu mwenye akili zake huyo, kashindwa hata kucope na tamaduni za nchi yake.
Hivi ni nani alimwambia ye ni genius? Watu kuchat kucheka na kutaniana kwake ni uchungu mkali ndo nachokiona na kanichekesha kuwa hivyo kwa mambo ya mtandao wa wasiojulikana
 
Inashangaza
Jamaa eti anaonea wivu nyuz za watu[emoji4]
Sio wivu mkuu kitu ukishakileta kwa internet tarajia kuna watakao kusapot most ni wanafiki

Wadada wanasapoti thread zako sidhan ka wanapenda kua Mama J in reality naona wanasoma afu wanaji-compare ka wako kwa hio side its like unawafariji

Afu kuna hawa wanakukosoa hawa ndo wanakutakia mema btn thrad sio nzuri ungekua ulaya huko ungekua ushafunguliwa makesi kibao
 
Back
Top Bottom