Ukitaka kuwatesa warembo wakali wa mjini, wakutafute kwa udi na uvumba, fanya hivi wewe mwanaume

Ukitaka kuwatesa warembo wakali wa mjini, wakutafute kwa udi na uvumba, fanya hivi wewe mwanaume

  • Hakikisha ngozi yako inanukia pesa (imenawiri, na vinyweleo vimesimama na kutoa jasho)​
  • Mwili wako unukie vizuri, sio ile harufu kali ya kutisha​
  • Uwe na biashara yako/ofisi yako inayoeleweka.​
  • Uwe ni mtu wa kuongea maneno machache ila vitendo viwe vingi​
  • Usiwe mtu wa makundi, ishi mwenyewe mwenyewe, mfano ukienda sehemu, nenda mwenyewe.​
  • Uwe ni mtu wa kusaidia wahitaji kwa wanaohitaji msaada wako.​
  • Ukiwa na gari kubwa kama land cruiser hivi, itapendeza zaidi​
  • Piga viatu vya ngozi rangi nyeusi, ikiwa travolta itakuwa powa zaidi.​
  • Vaa suruali ya jinsi ya kijani na shati jeupe linaloonyesha vest uliovaa ndani. Kama utakosa jinsi ya kijani, unaweza kuvaa zilizopo.​
  • Ndevu ziwe fupi za kuchana na brashi, ikiwezekana uzitoe kabisa; usifuge mzuzu kama beberu.​
  • Kichwani unaweza kunyoa kipara, au staili ya box​
  • Kichwani, paka mafuta yatakayoonyesha mpaka shina la nywele, ngozi ya kichwa ing'ae.​
  • Usihonge mwanamke yeyote, waache wao wakuhonge kwa sababu watakuwa wanakutafuta kama utitiri kwenye nyumba za ibada, waganga n.k​
  • Achana na wanawake wanao omba omba hela.​
  • Baada ya hapo, kula maisha kama mwanaume halisi anavyotakiwa kuishi.​
Mmh mbona ushauri kwa watoto huu,Kanuni ni moja usiishi juu ya uwezo wako kutaka kuonekana mwema na mzuri kwa watu wengine
 
  • Hakikisha ngozi yako inanukia pesa (imenawiri, na vinyweleo vimesimama na kutoa jasho)​
  • Mwili wako unukie vizuri, sio ile harufu kali ya kutisha​
  • Uwe na biashara yako/ofisi yako inayoeleweka.​
  • Uwe ni mtu wa kuongea maneno machache ila vitendo viwe vingi​
  • Usiwe mtu wa makundi, ishi mwenyewe mwenyewe, mfano ukienda sehemu, nenda mwenyewe.​
  • Uwe ni mtu wa kusaidia wahitaji kwa wanaohitaji msaada wako.​
  • Ukiwa na gari kubwa kama land cruiser hivi, itapendeza zaidi​
  • Piga viatu vya ngozi rangi nyeusi, ikiwa travolta itakuwa powa zaidi.​
  • Vaa suruali ya jinsi ya kijani na shati jeupe linaloonyesha vest uliovaa ndani. Kama utakosa jinsi ya kijani, unaweza kuvaa zilizopo.​
  • Ndevu ziwe fupi za kuchana na brashi, ikiwezekana uzitoe kabisa; usifuge mzuzu kama beberu.​
  • Kichwani unaweza kunyoa kipara, au staili ya box​
  • Kichwani, paka mafuta yatakayoonyesha mpaka shina la nywele, ngozi ya kichwa ing'ae.​
  • Usihonge mwanamke yeyote, waache wao wakuhonge kwa sababu watakuwa wanakutafuta kama utitiri kwenye nyumba za ibada, waganga n.k​
  • Achana na wanawake wanao omba omba hela.​
  • Baada ya hapo, kula maisha kama mwanaume halisi anavyotakiwa kuishi.​
Hizi zoote mbwembwe! Mwanaume hatakama unanuka kama beberu ukiwa na mpunga utapakatwa!
 
Back
Top Bottom