Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wapi huko unaishi watu wanaibua hizo hoja?Acha kuchekesha,zinaongelewa na wasio wakazi wa dar wakati mm mwenyewe ni mkazi wa dsm! Acha utoto kwenye uhalisia
Wewe ndio mpuuzi, Unafatiliaje maisha ya mtu. Nyinyi mshaamua kulima limeni sisi tutanunua shida iko wapi?Acha upuuzi
Kupata Hela Dar ni rahisi sana kuliko mkoa wowote ule Hadi Kwa mtu asiye na kitu ila aweza amka na kwenda popote na akapata kiasi Cha pesa ila asichague kaziZitafute zilipo hiyo sio kazi yangu,kama ni NBS au wewe mwenyewe sawa
Ila mm nazungumzia uhalisia mtaani
Dar mkuu Paache kama palivyo! Pa moto sana, maana kila unachoangalia ni fursa tu! Kuna Mami humu ndani alisema kabisa mkoani harudi tena maana hapa amefika! Na mkoani kwenyewe ni Mwanza!Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Duuh......Inaweza kuwa Mwanza lakini Kwimba hukoDar mkuu Paache kama palivyo! Pa moto sana, maana kila unachoangalia ni fursa tu! Kuna Mami humu ndani alisema kabisa mkoani harudi tena maana hapa amefika! Na mkoani kwenyewe ni Mwanza!
HahahaWewe ndio mpuuzi, Unafatiliaje maisha ya mtu. Nyinyi mshaamua kulima limeni sisi tutanunua shida iko wapi?
Watu wa mikoani wanapenda sana kujifariji. Ukitafuta takwimu zote NBS za nchi hii Dar ndio inaongoza kwa maisha bora kwa mbali sana na huko mikoani.Takwimu ziko wapi za wanaosema kuwa kuishi dar ni kuyapatia maisha na kuishi mkoani n kushindwa maisha?
Pamoja na kunitisha Mimi siondoki dasalama 😊😅Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Mkuu tupeane koneksheni tafadhali. Maisha ya sasa ni ngumu .mtu kutoboa bila koneksheni. Upo mkoa gani na hali ya huko ikoje? Please connect.Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
You are rightDunia inafix nyingi, kuna Mdada mmoja wa TZ hapo juzi kati kadakwa huko duniani kwa biashara ya ngada wakati alikuwa anajinasibu kuuza mchicha Ulaya na kuingiza laki mbili kwa siku!!.JK alisema akili za kuambiwa changanya na zako.
Hahahah kazi kweli kwelimaisha mkoani ni magumu wote tumetokea mikoani we know kwa usahihi , watu wako choka mbaya , mkoani unatakiwa uwe mchawi hasa kutoboa kibiashara ni lazima uloge sana , mkoani ndo kuna pumbaza kuliko dsm ,
Njaa vipi wakati watu wanalima?Mkoani hakuna kitu ni njaa tu na umasikini wa kutupwa hakuna fursa zaidi ya kilimo cha jembe la mkono.
Niko Songea MkuuMkuu tupeane koneksheni tafadhali. Maisha ya sasa ni ngumu .mtu kutoboa bila koneksheni. Upo mkoa gani na hali ya huko ikoje? Please connect.
Makiwendo huyu Kijana unamuelewaUnakuta mtu amekaa dsm 10 yrs Hana ata kiwanja , nyumba wala biashara halafu anajikuta mjanja et ni WINGA teleza😃
Unajifariji kuwa Yale maghorofa na wewe Una hisa, zile daladala unahisi kama vile ni zako pia .....ukienda Bar 🍻 wale wahudumu unaona kama vile ndio wake zako.Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Bila picha huu uzi ni ubatili.