Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

Na ukisoma point zao unaona kabisa wanawazungumzia vijana ambao bado hawajajipata, utafkiri wakazi wote wa Dar wanaishi life style ya aina hiyo.
Hakuna point mpya, dar ukijituma unafanikiwa na huko mkoani ndio huwa wanaanza kusema ni firimasoni 😂
 
maisha mkoani ni magumu wote tumetokea mikoani we know kwa usahihi , watu wako choka mbaya , mkoani unatakiwa uwe mchawi hasa kutoboa kibiashara ni lazima uloge sana , mkoani ndo kuna pumbaza kuliko dsm ,
So ni Bora tubakie mjini tuteseke...mfano hapo mwanza urban vyakula Bei juu...kuliko dar es salaam mfano nyama,samaki n.k

Ni Bora ukala samaki SATO fresh mbagala kuliko hapo kamanga huyo huyo SATO fresh Bei juu hapo kamanga ferry.

Kwa mtu anae fanya mission town kwa dar ndani ya mwezi hakosi 1m Ila mkoa unaweza ukafanya kazi za ulinzi kwa laki moja na Bado ukakopwa.

Dar ni dar mkoa ni mkoa nikiendaga mkoani naonaga kupo kushoto KUSHOTO mapori ni mengi mno watu wachache mzunguko wa pesa ni mgumu Sanaa
 
Mtaani wapi huko? Hizi hoja zinaongelewa sana na wasio wakazi wa dar sijui ni kwanini.

Dar pamechangamka kifursa kuanzia level ya chini ya maisha mpaka level ya juu. Kuna sehemu kuitafuta elfu 5 kwa siku ni mtihani sana.
Hii comment iwekewe lamination..na ikawekwe pale askari monument POSTA 😊😅
 
Watakaokupinga ni wale wahanga yaani upo sahihi. Dasalam kama hujaajiriwa au una biashara ya mtaji kuanzia 50 milioni ni kujisumbua tu. Kuna wamachinga pale Mwenge wanalala kwenye meza hawana hata uwezo wa kupanga chumba cha elfu 15 kula ya shida ila yupo Dar mwaka wa tano. Itoshe kusema ni uvivu wa kulima na tamaa bila ya mipango.
 
Kijana anakimbia kwao huku eti anakuja Dar anakuwa mbeba viroba vya bidhaa sokoni, mara sijui bodaboda mwengine winga kule kuna muuza kahawa. Halafu kwa ajira hizo uje utoboe? Utazeekea mjini huna hata shimo la choo
 
Watakaokupinga ni wale wahanga yaani upo sahihi. Dasalam kama hujaajiriwa au una biashara ya mtaji kuanzia 50 milioni ni kujisumbua tu. Kuna wamachinga pale Mwenge wanalala kwenye meza hawana hata uwezo wa kupanga chumba cha elfu 15 kula ya shida ila yupo Dar mwaka wa tano. Itoshe kusema ni uvivu wa kulima na tamaa bila ya mipango.
Na wale homeless New York utasema Marekani pagumu bora mikoani?

Hivi huwa mnatumia logic gani?
 
Hao vijana kama wa juzi , ukimkosoa anakuambia ''wewe ni maskini '' yeye kapanga hapo Dar anababishwa na magorofa ya kariakoo .

Mimi niko Tanga , nina nyumba yangu , maisha mazuri , hakuna foleni za kishamba ...Maisha yako chini hata nikitaka nalima ...Nina access ya kufanya biashara ya mtu yeyote , almost kila ninachokitaka hapo Dar nakipata ...Yeye anadanganywa na takwimu uchawara badala ya kuangalia yuko wapi .​
 
Kijana anakimbia kwao huku eti anakuja Dar anakuwa mbeba viroba vya bidhaa sokoni, mara sijui bodaboda mwengine winga kule kuna muuza kahawa. Halafu kwa ajira hizo uje utoboe? Utazeekea mjini huna hata shimo la choo
Hwbu nitajie nchi moja tu hapa duniani ambayo raia wote wametobowa.

Mimi nimezaliwa Dar, naujuwa mtaa wa Congo tangu wakiuza Sangara, wamekuja wamakonde kuanzisha biashara ya mitumba wengi wametobowa na ndio waasisi wa jina la Wamachinga, kariakoo sasa imetekwa na Wakunga, kwa nini hayo maghorofa na biashara wasifanyie kwao Njombe?
 
Kijana anakimbia kwao huku eti anakuja Dar anakuwa mbeba viroba vya bidhaa sokoni, mara sijui bodaboda mwengine winga kule kuna muuza kahawa. Halafu kwa ajira hizo uje utoboe? Utazeekea mjini huna hata shimo la choo
Utumwa huo kwa vijana wasiojitambua , niache kufuatilia mashamba ya machungwa Tanga nikaishi Dar , ujinga wa namna hiyo sifanyi .
 
Hwbu nitajie nchi moja tu hapa duniani ambayo raia wote wametobowa.

Mimi nimezaliwa Dar, naujuwa mtaa wa Congo tangu wakiuza Sangara, wamekuja wamakonde kuanzisha biashara ya mitumba wengi wametobowa na ndio waasisi wa jina la Wamachinga, kariakoo sasa imetekwa na Wakunga, kwa nini hayo maghorofa na biashara wasifanyie kwao Njombe?
Wakati Dubai wanagndua mafuta nchi za magharib zilikuwa mbali sana kimaendeleo , waarabu ni wapenda starehe kuliko race zote duniani , walikuwa na offer ya kwenda kokote kula bata kwa pesa mafuta ila walibaki pale kujenga mji wao ...Mpaka leo hakuna nchi wananchi wake wameridhika na UAE , yaani hakuna ..Kwanza, hata ishu ya kusafiri hawana huo muda , mji wa dubai ndiyo unapokea watu wengi ila wao kutoka hawana muda .

Leo waarabu wanatumia pesa kuvutia burudani kama mpira nchini mwao ...Better kukaa home kuangalia fursa , siwezi kwenda sehemu sina ufahamu wa jambo , ninapoishi najua fursa zote maana nimelelewa hapa , siwezi kufa njaa .


Kiufupi waafrika bado sana wanaamini kwenda mbali kutafuta maisha ni kasumba ya kishirikina ...​
 
Back
Top Bottom