Ukiwa kiongozi makini hapa Afrika ukasimamia haki na maslahi mapana ya taifa lako uhai wako unakuwa hatarini

Ukiwa kiongozi makini hapa Afrika ukasimamia haki na maslahi mapana ya taifa lako uhai wako unakuwa hatarini

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.

Wote wawili waliuawa bila hata huruma.

Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la Kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.

Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.

Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.

Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.
 
Sikulaumu ila ninaulaumu mfumo wa elimu wa kukaririsha ambao umekufikisha hapa. Geukia "umahiri" utauona Mwanga.
 
Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.

Wote wawili waliuwawa kwa bila hata huruma.

Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.

Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.

Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.

Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.

Tusisingizie mabeberu kila kitu haya ni matatizo yetu wenyewe. Hawa viongozi wengine tunao fikiria ni wazalendo sio kweli . Wengi hawataki wwngine kuongoza, wanauwa wengine, wanawafunga wote wasiokubaliana nao, wananyima uhuru, …. Rushwa halafu tunawaita wazalendo! . Kuna mzalendo ambaye anaiba kura kwa wananchi!!! Tuwe makini sana
 
Tusisingizie mabeberu kila kitu haya ni matatizo yetu wenyewe. Hawa viongozi wengine tunao fikiria ni wazalendo sio kweli . Wengi hawataki wwngine kuongoza, wanauwa wengine, wanawafunga wote wasiokubaliana nao, wananyima uhuru, …. Rushwa halafu tunawaita wazalendo! . Kuna mzalendo ambaye anaiba kura kwa wananchi!!! Tuwe makini sana
Kabla sijakujibu, umeelewa point yangu? Habari za wizi wa kura zina ushahidi? Ndio kigezo cha kuponda viongozi wanaolinda mali ya umma kwa manufaa ya umma?
 
uk
Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.

Wote wawili waliuwawa kwa bila hata huruma.

Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.

Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.

Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.

Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.
umesema ukweli kabisa.point noted.
 
Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.

Wote wawili waliuwawa kwa bila hata huruma.

Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.

Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.

Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.

Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.
Kuna tapeli moja la East Afrika lenyewe lilishiriki kupora hata zile mali za raia kupitia vibaka wake. Afrika ina laana.

Lile tapeli lisingekufa hii nchi ingetumbukia shimoni.
 
Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.

Wote wawili waliuwawa kwa bila hata huruma.

Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.

Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.

Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.

Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.

Naona unataka kuja na uzi wa kumtetea dhalimu. Ila unaogopa kumtaja.
 
Back
Top Bottom