Ukiwa kiongozi makini hapa Afrika ukasimamia haki na maslahi mapana ya taifa lako uhai wako unakuwa hatarini

Ukiwa kiongozi makini hapa Afrika ukasimamia haki na maslahi mapana ya taifa lako uhai wako unakuwa hatarini

Alipambana kuiba kura kinyama, alitawala kishenzi mwisho wa siku alichopigania wanakula wengine. Alikua shwaini sana yule.
Mkuu taratibu basi... kwetu Marehemu hasemwi...
 
Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.

Wote wawili waliuwawa kwa bila hata huruma.

Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.

Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.

Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.

Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.
Adui wa tatu ni mwananchi hasiyeelewa haki zake za msingi, na hata akielewa, basi hayupo tayari kuzipigania, huku akisubiri mwingine ampiganie!
 
Acha Urais tu hata ukiwa unawabana maofisini wanakumaliza hata kwa sumu
Mwafrika hawezi kuendelea kwa roho yake mbaya

Tatizo kuna watu huwa hawaridhiki na kidogo ndio maana Mama aliwaambia wale kidogo basi
 
Ahaaa, dogo mbona unajichetua? Kumbe unajua fika JPM yupo kundi la akina Thomas Sankara.
Kilaza, jambazi na liuaji hilo liwe sawa na Sankara!!???
Muwe na shukurani kwa Muumba kwa kuwapa hata uwezo wa kujua kusoma, kuandika na kuanzisha huzi JF basi hata kama ni vilaza wa kutupwa.
 
Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.

Wote wawili waliuwawa kwa bila hata huruma.

Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.

Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.

Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.

Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.
Shida inakuja huyo kiongozi akifa karibu robo tatu ya wananchi wake wanasheherekea kifo chake.
 
Kabla sijakujibu, umeelewa point yangu? Habari za wizi wa kura zina ushahidi? Ndio kigezo cha kuponda viongozi wanaolinda mali ya umma kwa manufaa ya umma?
Hivi unajua HAKI YA KUAMUA ni Mali ya huo Umma unaousema. Sasa Mali ya umma gani iliyolindwa au ni zile 1.5t?
 
Simkubali shetani na mambo yake.
Screenshot_20220315-155558.jpg
 
Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.

Wote wawili waliuwawa kwa bila hata huruma.

Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.

Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.

Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.

Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.
Umemsahau JPM
 
Back
Top Bottom