Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Ni vizuri umeishia kw kuwataja Patrice Lumumba na Thomas Sankara. Ingawa mawazo yako yalitaka kumtaja na yule mungu wenu.Angalia kiongozi kama Thomas Sankara na Patrice Lumumba walivyojitoa kwa mataifa yao na kutetea raia wao waondokane na umaskini wao.
Wote wawili waliuwawa kwa bila hata huruma.
Kiongozi anayehakikisha taifa analoogoza la kiafrika lazima akumbane na maadui wakuu wawili wakubwa.
Adui wa kwanza huwa ni mafisadi wanaotarajia kuiba mali za taifa analoliongoza na hawa huwa wanafanya kila namna huyo kiongozi asiendelee kutawala.
Adui wa pili huwa ni mabeberu ambao huwa na mikakati ya kila namna kuhakikisha kingozi anayebana wasiibe mali za taifa analongoza anauwawa kwa kila namna.
Waafrika tutahangaika sana maana bado tuna maadui kila kona.
Ile ya kwenu ni takataka usiosogeze kabisa kwa hawa wana wa Afrika. Iache iendelee kuoza Chato