Niliona siku nikajua anazingua tu, alikua na Toyota BZ4x EV.Mzee Bongo Zozo kashavuta yake na anapeta mtaani hebu watu tuchukue mamuzi.magu tuhudumiane wenyewe,ziletwe gari zipigwe bei tusisubiri wapika pilau la clean energy waje kutusaidia hili jambo.I swear the problem isn't over yet.
UTARATIBU NI ULE ULE BOSS UTAKULA KIPONDOWADAU KUNA MAGARI YA UMEME NAYAONA ALIBABA....BEI INAONEKANA SIYO MABAYA...VIP HAPO BANDARINI UTARATIBU UMEKAAJE KWA MAGARI YA CHINA
Haha mkuu ni kweli inabidi kuangalia vitu vingine vidogo dogo kwenye EV au kubadili kwenda kwenye tyres services kwani huko hata EV zitatumia tyres tu.Hapana Mkuu, hizo EV kutrka soko itachukua muda sana. Ila ni vizuri kuanza kuangalia zinahutaji vitu gani vidogo vidogo na matengenezo yake yakoje.
Baadhi ya nchi za Ulaya wameweka ukomo ifikapo 2030 magari yote yawe ya kutumia umeme. Huku kwetu bado sana kiongozi.
Ila na nyie kwanini baadhi yenu wanatupiga na oil fake?
Sure. Ila bors nguo fake au kiatu. Imagine soil fake. DahHaha mkuu ni kweli inabidi kuangalia vitu vingine vidogo dogo kwenye EV au kubadili kwenda kwenye tyres services kwani huko hata EV zitatumia tyres tu.
Mkuu upande wa fake Tanzania sio Oil pekee, kuna nguo, simu na hata dawa fake mkuu. ni kuwa makini na kujua unachonunua.
😅😅😅 mie Traffic waliniandikia ingaw ktk 50 natembea na 50, kuna sehem nilijichanganya ktk 50 nikaw nipo na 75 hivi..Uko vizuri na uzoefu wa kutosha Mkuu, hongera.
Kuna kipande cha Mwanga barabara sio rafiki sana.
Mie sio mtu wa masafa uzoefu Mdogo sana, gari ikifika 200 sisikii harufu ya petrol ila nasikia jasho langu japo sitoki jasho na nimepaka deodorant.
Faida nyingine niliyonayo sihofii traffic...
Haha mkuu ni kweli inabidi kuangalia vitu vingine vidogo dogo kwenye EV au kubadili kwenda kwenye tyres services kwani huko hata EV zitatumia tyres tu.
Mkuu upande wa fake Tanzania sio Oil pekee, kuna nguo, simu na hata dawa fake mkuu. ni kuwa makini na kujua unachonunua.
Umeme wa kuchaji upo? Huwezi kuchaji na huu umeme wa nyumbani.Imagine kwa elfu 40 tu unaweza kwenda na kurudi Dodoma ukitokea Dar.
Mfano, ukiwa na Tesla Model 3 yenye battery ndogo kabisa 57.5 kWh (hii ndio battery ndogo ipo kubwa Long Range ila tusiiongelee hapa), inamaana utatumia unit 57.5 tu kuijaza full charge. Na kwa bei ya sasa, unit moja ya umeme ni Tsh 358, so ukizidisha na ukubwa wa battery ni elfu 20!
Na hii model ikiwa full charge inatembea jumla ya kilometa 513. Na distance kutoka Dar hadi Dodoma ni Kilometa 460!
Kwahiyo hapo ushaenda na zinabaki kilometa za kutosha za misele hapo Dom.
So na kurudi hivo hivo, jumla 40.
Mtu, mwenye IST akiiga yeye kwa average fuel consumption ya 20km/L atataka elfu 70 ya mafuta kwenda tu na kurudi ivyo ivyo. Jumla 140,000/=
hii ya wanyonge ila hadi ikufikie mkononi price zitacheza 16m to 20
😅😅😅 mie Traffic waliniandikia ingaw ktk 50 natembea na 50, kuna sehem nilijichanganya ktk 50 nikaw nipo na 75 hivi..
Kumpa leseni akaandika nime overspeed basi nikakubali matokeo.. Nilivyofika Mjini nikalipa siku hiyo hiyo.
Mie 200 mpk 215 nafika nikiwa nafanya test (kupima Kifua), hii gari speedometer yake ni 180 ila Engine yake haina limiter inafika 180 mpk inalala chini (inabaki uwezo wa Engine kuperform) so kwa kutumia Digital Speedometer na Real time GPS najua current speed nayokuw nayo wakati wa testing.
Mie nilishangaa😅 IST ya cc 1500 kwa safari ya DSM to Arusha napishana nayo liter 5-8 tu za mafuta, nikiwa na jiko la cc 2000.Even when other factors remain constant, IST haiwezi kwenda 20Km/L
Kwa barabara ya Morogoro kuna kipande cha UBENA ZOMOZI... hapo ndio sehem yangu sasa ya kujidai.. kwa hii ya Kaskazini ni huku katikati Makanya Makanya huku..Kaka hongera, hiyo 200 nna ifikia hapa usifikiri ni Kwa hiari, ilikua nafukuzia STM naona naenda tu, kutazama mshale kisahani kinasoma 200. Hapo siongei wala kupepesa macho. Wameandika inaenda Hadi 260.
Lakini hadi Sasa, speed nzuri yenye amani, furaha na baraka zote zikiwemo za serikali, 80-100 ni Bora zaidi.
Kwenye trafiki nashukuru Kwa Sasa siwezi ingia nao mgogoro. Tunawashiana taa tu Kwa mbali.
IST inaweza kwenda hadi 17.20 per litre lakini hapa tuna-assume unatembelea gia za juu(means uko kwenye barabara flat) sasa hii ni rare caseMie nilishangaa😅 IST ya cc 1500 kwa safari ya DSM to Arusha napishana nayo liter 5-8 tu za mafuta, nikiwa na jiko la cc 2000.
| Model Code | DBA‐NCP110‐AHXEK |
|---|---|
| Engine Capacity | 1,496 |
| Number of Seats | 5 |
| Fuel Consumption | 17.20km/L |
Bongo ni vurugu tupu ni muhimu kuwa makini usiingizwe kingi.Uko sahihi Mkuu, nimetaja oil Kwa sababu tunaongrlea magari, hakuna eneo tuko salama. Hata kile kitu unachouziwa ghali Kwa kuambiwa ni original ndio uwe makini zaidi.
Tunaua gari sana Kwa oil fake. Unashangaa umefanya service hata mwezi haujaisha na umeenda kilometer chache tu, inaanza kutoa milio ya kukoroma. Ni hatari.
Kweli kiongozi Kwa Sasa anza kufuatilia kidogo kidogo kuona Kuna fursa zipi zinakuja na EV.
Kwa barabara ya Morogoro kuna kipande cha UBENA ZOMOZI... hapo ndio sehem yangu sasa ya kujidai.. kwa hii ya Kaskazini ni huku katikati Makanya Makanya huku..
Na hiyo rate ni straight from kiwandani.. sasa ambayo tyr ishatembelewa kwa kms 80-100k, maintenance ya kuunga unga m sure inashuka kutok 17kpl mpk 13-14kpl..IST inaweza kwenda hadi 17.20 per litre lakini hapa tuna-assume unatembelea gia za juu(means uko kwenye barabara flat) sasa hii ni rare case
Kwa kawaida ni 14km/L
Toyota IST 2012/6: Grade
Model Code DBA‐NCP110‐AHXEK Engine Capacity 1,496 Number of Seats 5 Fuel Consumption 17.20km/L
Yaah kwa Watu wa Serikalini kuna exemption kwa gari chini ya cc 4k.Kwenye zile shamba za mkonge Kwa Morogoro ipo vizuri sana.
Kuna siku nilipita Nzega Manyoni kupitia Tabora, Ile barabara Iko vizuri sana.
Binafsi naangazia EV au hybrid za Volvo miaka ijayo. Zishuke shuke Bei kwanza.
Faida niliyonayo ni exemption kwenye Kodi. Na kama hakuna uchakavu, ntalipa registration na port charges kidogo sana. Unaona kabisa Kuna motisha ya kumiliki gari ya kueleweka.
Bongo ni vurugu tupu ni muhimu kuwa makini usiingizwe kingi.
Mkuu una kacheo kwenye serikali ya kizimkazi?😄 Hao jamaa wa road bila wadhifa fulani hawakuachi kizembe namna hiyo.