Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Hili dili mpaka akamilishe inabidi awe mvumilivu aanze kuweka hela kdg kdg kwenye account then baadae ndo anunua hayo magari lakini wakiamua kupiga ban account na uonyeshe source ya hela itakua shida mtu mwenyewe ni mweusi kule nigeria wameharibu sana
Sio lazima aweke zote! Anaweka mdogo mdogo na analipa kwa installment, mfano gari moja anaweza akailipa full nyingine akailipia kama mkopo mpaka anamaliza
 
Kiufupi ni mfumo wa kutuma pesa sehemu mbali mbali ulimwenguni uliojikita katika mazingira ya Uaminifu baina ya pande mbili zinazoaminiana. Washiriki/mawakala wa mfumo huo hujulikana kama Hawaladar kwa mfano unataka kutuma hiyo pesa hapa bongo kinachofanyika ni unatafuta Hawaladar X wa nchi uliyopo unampatia taarifa za muamala ikiwa ni pamoja na taarifa za mpokeaji kisha mtakubaliana gharama ya kufanikisha zoezi hilo, mkishakubaliana Hawaladar X atamtaarifu Hawaladar Y wa nchi na eneo unalotaka pesa ifike, hawaladar Y akithibitisha kuwa na Kiasi kinachotakiwa kutumwa atapatiwa taari za anayetakiwa kupewa pesa hizo then anayetakiwa kupokea kiasi hicho cha pesa atajulishwa na kwenda kukichukua kwa Hawaladar Y, jinsi Hawaladar X na Y watakavyomalizana wanajua wao wenyewe, cha msingi pesa yako inakuwa imefika sehemu husika bila jicho wala mkono wa Serikali ama benki.
Somo lime elewekaa.
 
Moja ya wezi ni wewe kwenye njia ya kudeposit kwa watu, Though okay, ila haiwezekani. Maana hela inatoka kwa mtu mmoja kwenda kwa wengi bado hela ipo na risk ya kupotea na mimi kukamatwa.
Njia rahisi zaidi.
1. Kwanza omba kibali cha kuishi zaid, yaani hata miaka 2 hivi.
2. Hatua ya pili sasa wasiliana na mtu wa nyumbani akufufulie akaunti yako.
3. Banki unaruhusiwa kudeposit kiwango chochote cha pesa kwa maelezo machache tu.
4. Utaamua kila mwezi unadeposit let say USD 40,000.
5. Utafanya hivyo kwa miezi 12 tu then mwaka wa pili unaanza safari ya kurudi home.
 
Habari wana JF,

Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.

Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.
Jifanye mwekezaji kwenye shughuli za kilimo. Kwa mfano home mna mashamba, nunua zana za Kilimo ukifika TZ unauza unapata mpunga wako!
 
Sio lazima atoke hapo amerika! Mbona hapa Tanzania watu wanaagiza magari china na hawajawahi hata kufika Dar es salaam na bidhaa inamfuata mpaka mlangoni!!? Huko huko alipo anatafuta pakununulia, anatafuta agents na malipo na mambo yanaenda! Kuna mitandao mizuri ya kupoint bidhaa Made in China kuna alibaba na wenzie! Ishu ni adress tu anazielekezea Tz
Tatizo ni kuwa amesema fedha anayo cash, yaani haiko benki (atleast ndivyo nilivyoelewa). Kwa hiyo kama yupo eg USA au Ulaya itabidi azipeleke benki kwanza ili aweze kufanya manunuzi nje ya alipo. Na wakati wa kuzipeleka benki hapo alipo ndipo kimbembe kilipo. Ataulizwa umezitoa wapi wakati amesema hana maelezo ya kueleweka.
 
Njia rahisi zaidi.
1. Kwanza omba kibali cha kuishi zaid, yaani hata miaka 2 hivi.
2. Hatua ya pili sasa wasiliana na mtu wa nyumbani akufufulie akaunti yako.
3. Banki unaruhusiwa kudeposit kiwango chochote cha pesa kwa maelezo machache tu.
4. Utaamua kila mwezi unadeposit let say USD 40,000.
5. Utafanya hivyo kwa miezi 12 tu then mwaka wa pili unaanza safari ya kurudi home.
Na akiziweka kwenye ac moja pia kazi anayo
 
kwa wasomali inawezekana wakaaminika kule, manake wana migahawa ulaya huko, ukipitishia kwao na wakakukata kamisheni fulani, na huku bongo wana wasomali wenzao, labda.
Kiufupi ni mfumo wa kutuma pesa sehemu mbali mbali ulimwenguni uliojikita katika mazingira ya Uaminifu baina ya pande mbili zinazoaminiana. Washiriki/mawakala wa mfumo huo hujulikana kama Hawaladar kwa mfano unataka kutuma hiyo pesa hapa bongo kinachofanyika ni unatafuta Hawaladar X wa nchi uliyopo unampatia taarifa za muamala ikiwa ni pamoja na taarifa za mpokeaji kisha mtakubaliana gharama ya kufanikisha zoezi hilo, mkishakubaliana Hawaladar X atamtaarifu Hawaladar Y wa nchi na eneo unalotaka pesa ifike, hawaladar Y akithibitisha kuwa na Kiasi kinachotakiwa kutumwa atapatiwa taari za anayetakiwa kupewa pesa hizo then anayetakiwa kupokea kiasi hicho cha pesa atajulishwa na kwenda kukichukua kwa Hawaladar Y, jinsi Hawaladar X na Y watakavyomalizana wanajua wao wenyewe, cha msingi pesa yako inakuwa imefika sehemu husika bila jicho wala mkono wa Serikali ama benki.
 
Kama ni mimi naingia kwenye website ya kiwanda kabisa naagiza brand new trucks na hizo installment nafanyia kiwandani hukohuko sihitaji mtu wa kati
unaingia kwenye website, unabofya gari au chochote, utahitaji kulipa pesa online, ili pesa ilipwe online inatakiwa kuwepo kwenye benki, wewe haipo bank hiyo pesa unayo cash home, utalipaje? na ukipeleka hizo cash bank ili ziwepo kwenye mfumo watakushtukia. wabongo wengi sana hawana uelewa na mifumo ya kipesa ya nchi zilizoendelea.
 
Njia rahisi zaidi.
1. Kwanza omba kibali cha kuishi zaid, yaani hata miaka 2 hivi.
2. Hatua ya pili sasa wasiliana na mtu wa nyumbani akufufulie akaunti yako.
3. Banki unaruhusiwa kudeposit kiwango chochote cha pesa kwa maelezo machache tu.
4. Utaamua kila mwezi unadeposit let say USD 40,000.
5. Utafanya hivyo kwa miezi 12 tu then mwaka wa pili unaanza safari ya kurudi home.
chukua tu $40,000 cash peleka kudeposit bank ulaya, utashtukiwa. binafsi, nilipofungua account tu ya kawaida, kwanza kabisa maswali niliyokutana nayo ni, lengo lako la kufungua account ni nini?
 
Tatizo ni kuwa amesema fedha anayo cash, yaani haiko benki (atleast ndivyo nilivyoelewa). Kwa hiyo kama yupo eg USA au Ulaya itabidi azipeleke benki kwanza ili aweze kufanya manunuzi nje ya alipo. Na wakati wa kuzipeleka benki hapo alipo ndipo kimbembe kilipo. Ataulizwa umezitoa wapi wakati amesema hana maelezo ya kueleweka.
Sio lazima aweke pesa yote bank! Yeye anaweka mdogo mdogo kadiri anavyofanya manunuzi, na manunuzi mengine analipa mdogo mdogo
 
kwa wa
Hapo nimekupata! Ila sizani kama kama akiamua kuweka pesa bank mdogo mdogo ya kufanya malipo mdogo mdogo mpaka ziishe! Anaweka pesa ya kulipa unit moja ya bidhaa kwa installment anaenda na mtindo huo mpaka anamaliza zoezi
hapo anatakiwa kuongoea na wasomali, wapo wengi ulaya na wana migahawa, na wasomali wanajua sana magendo, wao kwasababu wanajihusisha na shughuli kadhaa wanaweza kuaminiwa kwa kiasi fulani kwamba kwenye mikahawa yao au maduka yao wanaweza kuaccumulate cash mkononi badala ya kulipa kwa card. bank watazipokea, na kuzituma huku, na huku bongo utazipokelea toka kwenye account ya wasomali wenzao wakupatie wewe, na hapa bongo pia wakiona pesa zinatoka kwa msomali, lazima ziwe na justification manake wanajua al shababu ni ya wasomali, shida tupu. aende tu akazitupe church penginge zitasaidia watu na yeye hataenda jela, manake ulaya ukikutwa na kosa hilo unaenda jela na pesa wananyang'anya.
 
Back
Top Bottom