Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Alishautoa labda kama unataka msisitizo.Nataka muongozo wake sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishautoa labda kama unataka msisitizo.Nataka muongozo wake sasa
NakaziaTatizo wakati wakujitafuta ndio unaempenda sana na kumuona anafaa kua mkeo ndio huwa anakuachia maumivu makali. Hasa kama mlipendana mkiwa chuo baada ya kumaliza chuo usipopata kazi yeyote yakukuingizia chochote ndipo utaona rangi zake halisi.
Wanawake wengi ni wabinafsi, wakiona kwako mbele Giza watavumilia mwishowe wanakimbia. Na baada ya kukimbia haipiti miaka 2 mpaka 3 utaanza kupata nafuu ya maisha, maana kipaumbele chako itakua nimaisha Yako mapenzi utasema basi.
Jambo lamsingi ukipata uhakika wakula vizuri, kuvaa vizuri na sehemu nzuri yakulala ndio utafute mwenza hasa Kwa wale wasomi.
Tofauti na hivyo tafuta binti ambae kaishia lasaba atakuvumilia Kwa Kila Hali, tofauti nahawa nguchiro waliomaliza chuo nawao wanandoto zao za kuishi maisha mazuri nakupata bwana mwenye nyumba, gari na kazi nzuri au biashara nzuri.
Ningumu Sana kupata nguchiro aliemaliza chuo kikuu au diploma akawa mvimilivu wa shida zako na zake.
Ndio mkuuHalf american umefunga pm yako 😂😂😂
Kesi nzito nilikuwa nataka nikupe dokezo na hilo lishangazi sasa 😂😂😂Ndio mkuu
Zama zetu kulikuwa na unafuu, ndiyo maana tumeendelea kuzeeka pamoja na Bibi zenu.Ukubali au ukatae mambo yamebadilika, zama zimebadilika na maisha yamebadilika. Mfano mdogo tu miaka 50 iliyopita hatukuwa na maendeleo ya teknolojia kwa kiasi hichi, huwezi ukasema hakuna mabadiliko ya kitabia.
Kumpata mwenza sio swala jepesi na halijawahi kuwa jepesi ila kwa zama za sasa ni ngumu zaidi ukilinganisha na zama za kina mzee Grahams za mwaka 47. Mzee shikamoo.
Weka hapa mkuu kwani wanakujua? Alafu huko pm hakuna tofauti na hapa usiniulize ni kwanini.Kesi nzito nilikuwa nataka nikupe dokezo na hilo lishangazi sasa 😂😂😂
Huyo kwenye dp n wewe da mzuri?Ushauri mzuri bro😘
Una_sajest nini wewe kama babu yetu wa jfZama zetu kulikuwa na unafuu, ndiyo maana tumeendelea kuzeeka pamoja na Bibi zenu.
Marahaba though 🙏
Achana na hapa hebu ni pm tuWeka hapa mkuu kwani wanakujua? Alafu huko pm hakuna tofauti na hapa usiniulize ni kwanini.
Hapana,ni my firstborn😊Huyo kwenye dp n wewe da mzuri?
Ningeishi zama zenu ningeoa mapema sana.Zama zetu kulikuwa na unafuu, ndiyo maana tumeendelea kuzeeka pamoja na Bibi zenu.
Marahaba though 🙏
Linajielewa eeh!😅
Hapo sina ushauri fuata wa mtibeli amesema vijana wa kitibeli hatuwezi date age go au mishangazi. Au nasema uongo taikon Robert Heriel Mtibeli ?
Mnipe Mimi sina mbambamba 😃Hapana,ni my firstborn😊
Sasa nikuiteje, nshachanganyikiwa 😅Hapana,ni my firstborn😊
Ningeishi zama zenu ningeoa mapema sana.
Mtibeli anasema hakuna kilichobadilika kwa hawa wanawake wa sasa. Hawa kwa walio wengi wanapenda sana fedha na mali. Ni lazima uwe umejipata ili uweze kupata angalau atakae kuvumilia vinginevyo ni maumivu.
Mshangazi promax🤣🤣🤣🤣Sasa nikuiteje, nshachanganyikiwa 😅
😂 pm hakufai mkuuAchana na hapa hebu ni pm tu