Ukíwa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

Ukíwa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

Tatizo wakati wakujitafuta ndio unaempenda sana na kumuona anafaa kua mkeo ndio huwa anakuachia maumivu makali. Hasa kama mlipendana mkiwa chuo baada ya kumaliza chuo usipopata kazi yeyote yakukuingizia chochote ndipo utaona rangi zake halisi.

Wanawake wengi ni wabinafsi, wakiona kwako mbele Giza watavumilia mwishowe wanakimbia. Na baada ya kukimbia haipiti miaka 2 mpaka 3 utaanza kupata nafuu ya maisha, maana kipaumbele chako itakua nimaisha Yako mapenzi utasema basi.

Jambo lamsingi ukipata uhakika wakula vizuri, kuvaa vizuri na sehemu nzuri yakulala ndio utafute mwenza hasa Kwa wale wasomi.

Tofauti na hivyo tafuta binti ambae kaishia lasaba atakuvumilia Kwa Kila Hali, tofauti nahawa nguchiro waliomaliza chuo nawao wanandoto zao za kuishi maisha mazuri nakupata bwana mwenye nyumba, gari na kazi nzuri au biashara nzuri.

Ningumu Sana kupata nguchiro aliemaliza chuo kikuu au diploma akawa mvimilivu wa shida zako na zake.
Nakazia
 
Ukubali au ukatae mambo yamebadilika, zama zimebadilika na maisha yamebadilika. Mfano mdogo tu miaka 50 iliyopita hatukuwa na maendeleo ya teknolojia kwa kiasi hichi, huwezi ukasema hakuna mabadiliko ya kitabia.

Kumpata mwenza sio swala jepesi na halijawahi kuwa jepesi ila kwa zama za sasa ni ngumu zaidi ukilinganisha na zama za kina mzee Grahams za mwaka 47. Mzee shikamoo.
Zama zetu kulikuwa na unafuu, ndiyo maana tumeendelea kuzeeka pamoja na Bibi zenu.

Marahaba though 🙏
 
Zama zetu kulikuwa na unafuu, ndiyo maana tumeendelea kuzeeka pamoja na Bibi zenu.

Marahaba though 🙏
Ningeishi zama zenu ningeoa mapema sana.

Mtibeli anasema hakuna kilichobadilika kwa hawa wanawake wa sasa. Hawa kwa walio wengi wanapenda sana fedha na mali. Ni lazima uwe umejipata ili uweze kupata angalau atakae kuvumilia vinginevyo ni maumivu.
 
Ningeishi zama zenu ningeoa mapema sana.

Mtibeli anasema hakuna kilichobadilika kwa hawa wanawake wa sasa. Hawa kwa walio wengi wanapenda sana fedha na mali. Ni lazima uwe umejipata ili uweze kupata angalau atakae kuvumilia vinginevyo ni maumivu.

😀
Mkuu mwanamke uliyempata ukiwa umejipata hakuvumilii isipokuwa mara nyingi ndio huleta dhana ya Wakataa ndoa kuwa ni utapeli.
 
Back
Top Bottom