Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Yani kana heka heka balaa kila kitu anacho lakini roho imemsimama balaaDahh! 😂... Eti 43 kgs
Ila wanaojifanyaga wana dini mostly huwaga ni wanafiki tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani kana heka heka balaa kila kitu anacho lakini roho imemsimama balaaDahh! 😂... Eti 43 kgs
Ila wanaojifanyaga wana dini mostly huwaga ni wanafiki tu!
hii dunia wewe ninmgeni? namaanisha are you from mars or jupiter?? sasa jikorge uingie nikutoe kafarahapana mm nakataa mama ni mama 😍
😁🤣😂Tungoje Majibu Wanalala Wanaamka Mpaka Uzee
What has become of you ?Mama mbaya huyo. Kaa nae mbali sana.
Yani sijui huwaga ana shida gani aroo kila kitu kwake kina lawama hana asante hata moja,Huyo sasa imani yake haba maana Mungu anapaswa kushukuriwa na wakati wake ndio sahihi
Ukishanung'unika basi huamini katika uweza wake
Yani sijui huwaga ana shida gani aroo kila kitu kwake kina lawama hana asante hata moja,
Ukiacha negative energy kunakitu kinsitwa husda ni mbaya kuliko hata uchawi
Inaweza kuwa hurogwi ila Ile kumwambia mtu mamboyako nimegundua ni kitu kibaya
Last month nilikwambia rafikyng harakat za kurudi shule jibu la kwanza alisema usiende na sabbu zake hazikuwa na mashiko
Finnaly akasema ila wew unaakili sana utafaulu vizuri km umeamua nenda
Had sasahiv sijui nn nafanya nimepata nafas kuvomfirm nashindwa Yani kunavitu tayar vimevurugika kiukweli naungana na
BICHWA KOMWE - ukipata mafanikio nyamaza ukitaka kufanya jambo Kaa kimya
you know nothing son!! hujapitia situation ya mtoa mada, haya mambo yapo.no
just respect her 🙌 even if mchawi but respect be cool ongea nae pole pole perception huwa aziondoki kwa siku mmoja mtakuja kupata laana
Maza wako na huyo wanafanania kabisa na Mzee yeye hana tatizo ni mkimya kweli ila mke jamani kichomiii na hapo ndo mlokole sasa, hiyo ya zongo ndo mbaya kuliko sitakagi jambo langu alijue ana nuksi ni balaa sababu ya kujaza wivu ule mkali yani roho ikimuuma kwa jambo zuri la mtu basi kitakwama tuNa MTU akikosa kushukuru lazima maisha yatakuwa hayana ladha tena.
Kumbe zile akili za ajabu ajabu umerithi. Pole sana.Maza wako na huyo wanafanania kabisa na Mzee yeye hana tatizo ni mkimya kweli ila mke jamani kichomiii na hapo ndo mlokole sasa, hiyo ya zongo ndo mbaya kuliko sitakagi jambo langu alijue ana nuksi ni balaa sababu ya kujaza wivu ule mkali yani roho ikimuuma kwa jambo zuri la mtu basi kitakwama tu
Nimerithi kwa maza ako! Akili imenyookaKumbe zile akili za ajabu ajabu umerithi. Pole sana.
Maza wako na huyo wanafanania kabisa na Mzee yeye hana tatizo ni mkimya kweli ila mke jamani kichomiii na hapo ndo mlokole sasa, hiyo ya zongo ndo mbaya kuliko sitakagi jambo langu alijue ana nuksi ni balaa sababu ya kujaza wivu ule mkali yani roho ikimuuma kwa jambo zuri la mtu basi kitakwama tu
ApiaNimerithi kwa maza ako! Akili imenyooka
Halafu ukute mzazi anamjua huyo mchawi na hakwambii.Wakati mwingine hata ambao tumezaliwa nao tumbo moja baadhi yao wachawi na washirikina, watu wa vijicho na husuda mbaya....
Ila watoto wengine bure kabisa!we una uhakika huyo ni baba yako?use your brain....mama akisema jambo muelewe mpaka mpigwe makonzi ndio muelewe?
Na inaumiza zaidi kama hivyo ni mama mzazi, na hii kitu ni ya kuzaliwa nayo sio uchawi wala niniKabisa mkuu - inaumiza kuona MTU Ana kila kitu kizuri Ila analalamika kila wakati .
Na mbaya zaidi sisi sote wakati tunaishi naye maisha yetu yalikuwa ni mikosi na matatizo tu.
Huwa najiuliza au ana laana she is cursed
Au yupo possessed by demons
Yaani kipindi cha mavuno yeye ndo analeta vurugu
SitakiApia
Ni sawa
Lkn nafikir kunawatu vinywa vyao havina Barak kabisa Yani akisema jambo linaweza kuwa baya km alivolitamka au lisiwe hivo lkn likaharibika kias tofaut na matarajio
ntakuchapaSitaki
Nakubaliana na wewe msweet. Mm ndo nilivyo yani dili zangu watu wa nyumban hawazijui kabisakabisaWakati mwingine hata ambao tumezaliwa nao tumbo moja baadhi yao wachawi na washirikina, watu wa vijicho na husuda mbaya....