Ukiwaambia kitu baadhi ya wazazi hakifanikiwi

Ukiwaambia kitu baadhi ya wazazi hakifanikiwi

Mama yng aliwahi mwambia mwanamke wng eti aibe soksi yng ambayo nimeivaa na haijafuliwa au nguo ambayo nimevaa na haijafuliwa ampelekee sjajua mama alikuwa na lengo gn at all bt anaamin sn waganga.
Balaa.

Mimi niliwahi kwenda ugenini kwa mashangazi nikakuta boksa zangu tatu zimechanwa na kiwembe kwa mbele sehemu ya uume halafu kile kitambaa walichochana wakakichukua.

Yaani zmechanwa vizuri sana kitaalamu halafu zikarudishiwa ndani ya begi na zipu likafungwa vizuri.

Kuuliza waliruka futi mia, oooh sisi sio wachawi!

Majitu mabaya sana yale. NI WACHAWI HATAREEEEE.

Unaweza kushangaa unapata mabalaa kumbe watu wameifunga soksi yako makaburini. NASTY.
 
Kuamini unafanikiwa/kufeli sababu umemwambia mtu jambo fulani nayo ni ujinga mwingine. Mambo yako yataenda/kukwama tokana na juhudi zako. Mtu baki hana uwezo wa kukwamisha mambo yako kwa bad energy sijui uchawi na nadharia zingine za kufikirika labda aingilie mipango yako physically au akakuchongee huko mambo yakwame.
Bufa maneno hayo yote na kwenu hukanyagi
 
Ni kujitahidi kufunga mdomo sana yani wakose taarifa, hii ndo dawa ya uhakika
Najitahidi sana kuishi humo aisee.

Wakati fulani nilinunua asset fulani isiyohamishika na shahidi yangu alikuwa ni ndugu yangu fulani, cha ajabu huyo ndugu akaja kulalamika kwamba kwanini sikumpa pesa hata kidogo as if kuna biashara nilikuwa nafanya inayoniletea pesa, nikabaki na mshangao hadi leo.
 
Najitahidi sana kuishi humo aisee.

Wakati fulani nilinunua asset fulani isiyohamishika na shahidi yangu alikuwa ni ndugu yangu fulani, cha ajabu huyo ndugu akaja kulalamika kwamba kwanini sikumpa pesa hata kidogo as if kuna biashara nilikuwa nafanya inayoniletea pesa, nikabaki na mshangao hadi leo.
Ndugu wengi wanoko sana wamejaa husda hakufurahishwa na wewe kununua hiyo asset
 
Ukitaka kufanikiwa funga kabisa mdomo wala usimwambie mtu yeyote jambo lako.

Tena kama hawa wanaojiita WAZAZI kuna baadhi yao ni wabaya sana na wana sumu kali.

Au uwe unaongea nao kinyume nyume..... waambie mambo yako ni magumu sana, huna kazi, hujafanikiwa kila kitu kimevurugika........ HIZI NI MBINU ZA KIVITA

Wengine wachawi au wanatembea na mashetani ambayo yanaweza kukuvuruga mbaya sana.

Au kile KINYONGO na KIJICHO alichonacho dhidi yako kinaweza kukutia NUKSI KALI.
 
Kabisa mkuu,watu wanatafuta sehemu ya kuangushia lawama.

Sasa wameamua kuja kumlaumu mama.
Wengine wanalaumu serikali n.k

Ila kiukweli sis wenyewe ndio tunakosea sana katika mambo yetu,papara kibao na kutaka mambo ya haraka haraka wakati mazingira yanataka taratibu taratibu
Ni vema ukajua si kila mtu humu ndani amefanana maisha, hiyo generilization ni mbovu sana. Kila mtu ana unique na matokeo unique kwa life style anayoishi. So matokeo au changamoto zake hazifanani na zako na hazitokuwa na solution kama yako
 
Mzee wangu hapendi kelele

So tuliona ili tusimuue mapema tumfanyie hivyo na yeye anasema tulifanya sahihi Sana .


Yule mama ni MTU wa fujo Sana anapenda vita na watu amefanya haya mambo almost 30 yrs


Mzee wangu kipindi Ana pesa nyingi hela zake alikuwa anatumia kumtoa police.

Kamfungilia duka kaua
Kampa gari ya biashara kaua
Kampa mtaji Mara kibao anaua

As well my mom alikuwa anaendekeza starehe
Pombe
Viwanja


Ila mzee wangu
Hatumii pombe
Sio MTU wa club
Mpole and quite

Starehe yake kubwa ni meditation na Yanga. SC .


Lakini kila Leo mom anamsumbua anamtakia maeneno mabaya n.k
Huyo hakuwa mke sahihi kwa mzee wako kitambo tu!..., sema mzee wako alikuwa na subra na alikielewa chombo, akaamini atabadilika ila ndo hivyo ilikuwa ishapangwa hao ndo kuwa wazazi wako. Huwezi kulaani kupangiwa wazazi na mwenyezi mungu.

Hapo subra tu
 
Ongeza na wajomba
Wajomba hawanaga noma... Labda wajomba zako wana uanamke ndani yao au wajomba zako wazigua wa tanga (wana kaushoga ndani yake)

Wajomba huwa proudly sana na wapwa zao... Wanatakaga umtoe basi wao roho burdaaaani! Na ukiwa na wajomba wanywaji we uwe unamnunulia kilauli tu uone jinsi atakavyokupa baraka zote 😂
 
Back
Top Bottom