Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,135
- 4,306
Yes... Na wakati mwingine ni huyo MZAZI mchawi na mshirikina miaka nenda rudi...Halafu ukute mzazi anamjua huyo mchawi na hakwambii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes... Na wakati mwingine ni huyo MZAZI mchawi na mshirikina miaka nenda rudi...Halafu ukute mzazi anamjua huyo mchawi na hakwambii.
Ila kuna watz mnapitia heka heka na wazazi wenu utafikiri hawakuwazaa. Inasikitisha sana.Halafu ukute mzazi anamjua huyo mchawi na hakwambii.
SanaKwenye mafamilia ya kiafrika kuna mambo mengi sana,
Ni kujitahidi kufunga mdomo sana yani wakose taarifa, hii ndo dawa ya uhakikaSana
Balaa.Mama yng aliwahi mwambia mwanamke wng eti aibe soksi yng ambayo nimeivaa na haijafuliwa au nguo ambayo nimevaa na haijafuliwa ampelekee sjajua mama alikuwa na lengo gn at all bt anaamin sn waganga.
Bufa maneno hayo yote na kwenu hukanyagiKuamini unafanikiwa/kufeli sababu umemwambia mtu jambo fulani nayo ni ujinga mwingine. Mambo yako yataenda/kukwama tokana na juhudi zako. Mtu baki hana uwezo wa kukwamisha mambo yako kwa bad energy sijui uchawi na nadharia zingine za kufikirika labda aingilie mipango yako physically au akakuchongee huko mambo yakwame.
Bufa maneno hayo yote na kwenu hukanyagi
Najitahidi sana kuishi humo aisee.Ni kujitahidi kufunga mdomo sana yani wakose taarifa, hii ndo dawa ya uhakika
Ndio maana mtu akifariki tunaposema apumzike kwa amani tunamaanisha anapumzika kweli.Kwenye mafamilia ya kiafrika kuna mambo mengi sana,
Ndugu wengi wanoko sana wamejaa husda hakufurahishwa na wewe kununua hiyo assetNajitahidi sana kuishi humo aisee.
Wakati fulani nilinunua asset fulani isiyohamishika na shahidi yangu alikuwa ni ndugu yangu fulani, cha ajabu huyo ndugu akaja kulalamika kwamba kwanini sikumpa pesa hata kidogo as if kuna biashara nilikuwa nafanya inayoniletea pesa, nikabaki na mshangao hadi leo.
Ukitaka kufanikiwa funga kabisa mdomo wala usimwambie mtu yeyote jambo lako.
Tena kama hawa wanaojiita WAZAZI kuna baadhi yao ni wabaya sana na wana sumu kali.
Au uwe unaongea nao kinyume nyume..... waambie mambo yako ni magumu sana, huna kazi, hujafanikiwa kila kitu kimevurugika........ HIZI NI MBINU ZA KIVITA
Wengine wachawi au wanatembea na mashetani ambayo yanaweza kukuvuruga mbaya sana.
Au kile KINYONGO na KIJICHO alichonacho dhidi yako kinaweza kukutia NUKSI KALI.
Dah kupumzika ni kuwakataa tu, fanya yako kimya kimyaNdio maana mtu akifariki tunaposema apumzike kwa amani tunamaanisha anapumzika kweli.
Maana kwa familia zetu kuna watu wanapitia hekaheka toka akiwa tumboni kwa mama yake mpaka anakuwa mzee anafariki hakuna kupumzika.
Ana D mbili O'levelBaba yako alifanikiwa vipi wakati Mama yako ndio mke wake??
Ni vema ukajua si kila mtu humu ndani amefanana maisha, hiyo generilization ni mbovu sana. Kila mtu ana unique na matokeo unique kwa life style anayoishi. So matokeo au changamoto zake hazifanani na zako na hazitokuwa na solution kama yakoKabisa mkuu,watu wanatafuta sehemu ya kuangushia lawama.
Sasa wameamua kuja kumlaumu mama.
Wengine wanalaumu serikali n.k
Ila kiukweli sis wenyewe ndio tunakosea sana katika mambo yetu,papara kibao na kutaka mambo ya haraka haraka wakati mazingira yanataka taratibu taratibu
Unauhakika aliepost ni mwanaume?Kaka i can relate with you, back in the days ilinibidi masuala yangu na mipango nisiwaambie nyumbani kabisa… nikawa too vigilant.
In the end ilibidi nichunguze hiyo bad omen inatoka kwa nani, aisee niliekuja kumjua sikudhani
Since then nashare very little info.
Huyo hakuwa mke sahihi kwa mzee wako kitambo tu!..., sema mzee wako alikuwa na subra na alikielewa chombo, akaamini atabadilika ila ndo hivyo ilikuwa ishapangwa hao ndo kuwa wazazi wako. Huwezi kulaani kupangiwa wazazi na mwenyezi mungu.Mzee wangu hapendi kelele
So tuliona ili tusimuue mapema tumfanyie hivyo na yeye anasema tulifanya sahihi Sana .
Yule mama ni MTU wa fujo Sana anapenda vita na watu amefanya haya mambo almost 30 yrs
Mzee wangu kipindi Ana pesa nyingi hela zake alikuwa anatumia kumtoa police.
Kamfungilia duka kaua
Kampa gari ya biashara kaua
Kampa mtaji Mara kibao anaua
As well my mom alikuwa anaendekeza starehe
Pombe
Viwanja
Ila mzee wangu
Hatumii pombe
Sio MTU wa club
Mpole and quite
Starehe yake kubwa ni meditation na Yanga. SC .
Lakini kila Leo mom anamsumbua anamtakia maeneno mabaya n.k
Fala wewe 😂Ni bubu??
Huwa haongei na mke wake??
Wajomba hawanaga noma... Labda wajomba zako wana uanamke ndani yao au wajomba zako wazigua wa tanga (wana kaushoga ndani yake)Ongeza na wajomba