Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Mmmh Aya bhana☺️Maybe wabibi wa wengine,ila nikimuongelea bibi yangu ni Saint Lucia❤️❤️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh Aya bhana☺️Maybe wabibi wa wengine,ila nikimuongelea bibi yangu ni Saint Lucia❤️❤️
We ushaolewa?Chukua soda...nalipa mimi, ila mwakani
yap uko sawa kbs watu maisha yao yamefungwa unashangaa una kaz una biashara bt hutoboi majanga juu ya majanga tu.Balaa.
Mimi niliwahi kwenda ugenini kwa mashangazi nikakuta boksa zangu tatu zimechanwa na kiwembe kwa mbele sehemu ya uume halafu kile kitambaa walichochana wakakichukua.
Yaani zmechanwa vizuri sana kitaalamu halafu zikarudishiwa ndani ya begi na zipu likafungwa vizuri.
Kuuliza waliruka futi mia, oooh sisi sio wachawi!
Majitu mabaya sana yale. NI WACHAWI HATAREEEEE.
Unaweza kushangaa unapata mabalaa kumbe watu wameifunga soksi yako makaburini. NASTY.
ila mama apewe heshima yake atakama mchawi muheshimuhii dunia wewe ninmgeni? namaanisha are you from mars or jupiter?? sasa jikorge uingie nikutoe kafara
mama yakeAnaifundisha jamii ili Watu walitambue .
Mtu akishaletwa duniani ni mali ya Mungu na anaweza kuvamiwa na maadui wa kimwili na pia kiroho.
Wazazi wana Muda Maalumu. Ndio maana kuna umri ukifika watoto hawawezi kuingia kwenye chumba cha wazazi na kulala nao au kuoga pamoja na wazazi . Muda wa matukio fulani huondoka japo wazazi wao wanaona kuwa watoto bado ni watoto hawakui mbele ya wazazi lakini kiuhalisia sio na hawapo tena kwenye milki yao kimwili na kiroho.
Bila mafundisho ya kiroho na kimila binadamu akishazaliwa anakua kwenye mapambano bila kuangalia nani aliyeko mbele yake.
Kuna baadhi ya Watoto wanaua wazazi na baadhi ya wazazi wanatupa na kulaani watoto wao , hasa akina mama . Wakiona maslahi na matarajio yao hayajatimia mara nyingi akina mama wanaweka kinyongo na hata laana kwa watoto wao wa kuzaa.
sha uchawi wao haukuzur wala usiwachukie wapendeNi kweli hakuna mama mbaya ila kuna wamama wachawi na washirikina pia... Tunapokuwa tunaangalia ubaya wa wengine huko nje... Tukumbuke kuwa hata katika familia zetu wapo tena wengi wa kutosha.... siku ukija kuwatambua utalia machozi....
Uchawi unakisaidia ninikwahy umeamua kumdhalirisha mama yako
Ukiwemo weweHii app ina watu wa ajabu!
Naam Mkuu umeniita
Sijakataa, au ajabu umeelewaje?Ukiwemo wewe
Toa neno mkuu watu wapate kuponaNaam Mkuu umeniita
Baadhi ya kina dada/mama huwa wapole kama watoto hawajafanikiwa kiuchumi,wakifanikiwa tu baba utaona fujo za kila rangi.Baba yako alifanikiwa vipi wakati Mama yako ndio mke wake??
Naam Mkuu umeniita
Wapo watakao kupinga ila mi ni shahidi wa yote hayo.Nimekuja kugundua kuna familia zina negative energy
Nimefatilia hili jambo nikimwambia mzee wangu jambo lolote lazima litiki.
Ila nikimwamwabia my mom kila kitu kinakwama kwa 100%
My mama anatoka familia masikini yenye kuamini uchawi na fitina
Nimekuwa nikimfundisha my mama kuwa we need to trust in GOD uchawi ,negativity its just illusion.
Wakuu ukitaka kuoa make sure unatafuta mwanamke kutoka katika familia bora. Ambazo zipo educated and civilized.
Kuna Uzi uliletwa hapa watu waliongea nani kakwambia mie nimeolewa?Huyo mmoja ni mumeo?acha uchonganishi😛😛
Kuna wengine hawataamini hayoWapo watakao kupinga ila mi ni shahidi wa yote hayo.
Harakati zangu zote za mafanikio hazikuwahi kufanikiwa kwa sababu nilikuwa nawahusisha babangu mzazi na mkewe ambae ni mamangu mlezi.
Baada ya kuona kila attempt nagonga mwamba tena dakika za majeruhi, basi nikabadilisha mbinu na kuamua kukaa kimya na kweli nikaanza kutoboa.
Baada ya kuonekana natoboa kiurahisi, yule mama mlezi akaanza kuwa mkali ila nikamdhibiti.
Baada ya kijitenga nao mambo yangu yamekuwa kitonga sana yaani
Toa neno mkuu watu wapate kupona