makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
☹️☹️👎👎👎kwahy umeamua kumdhalirisha mama yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
☹️☹️👎👎👎kwahy umeamua kumdhalirisha mama yako?
Umeshateuliwa.hapana mm nakataa mama ni mama 😍
Wengine tunasemwa sana hatuweki mipango hadharani, but we make things happen.My father ni mzungu very quite
Na muda mwingi ameutumia kufanya Kazi mikoani .
Ila kiasili mzee wangu huwa haongei anakaaga kimya muda wote
Huyo mmoja ni mumeo?acha uchonganishi😛😛Nakwambia mmoja kaambiwa hivyo badala afuatilie mwenyewe, eti anampigia mama yake na dada zake, eti huyu mwanamke ananichonganisha na familia 😀 ukimuona yupo kama nyumbu wa Serengeti kabisa.
Maybe wabibi wa wengine,ila nikimuongelea bibi yangu ni Saint Lucia❤️❤️Na bibi je?
Hata wajinga huzaa watoto.
Na mtu kuwa "mzazi" si kigezo cha yeye kutokuwa mjinga.
Mjinga ni mjinga tu, Hata Awe mama yako au baba yako.
Binafsi nisipowashirikisha jambo wazazi wangu aisee hilo jambo naweza nikalifanya naa nikapata hasara kubwa..ila nikiwashirikisha hata kama lilikuwa gumu kiasi ganu lazima nitoboe.Wachwi kila kona, mm mwemyew mzee wangu nikimwambiaga jambo linapinda kwelikweli. Nimegoma siku hiz simshirikishi kabisa yan
Umemdharau mke wa baba yako ambae ni mama yako.
Ipo hivi....
Siku zote baraka hutoka kwa baba na sio kwa mama.
Ni kweli hakuna mama mbaya ila kuna wamama wachawi na washirikina pia... Tunapokuwa tunaangalia ubaya wa wengine huko nje... Tukumbuke kuwa hata katika familia zetu wapo tena wengi wa kutosha.... siku ukija kuwatambua utalia machozi....hakuna mama mbaya kamwe
Ni kweli hakuna mama mbaya ila kuna wamama wachawi na washirikina pia... Tunapokuwa tunaangalia ubaya wa wengine huko nje... Tukumbuke kuwa hata katika familia zetu wapo tena wengi wa kutosha.... siku ukija kuwatambua utalia machozi....
Wakati mwingine hata ambao tumezaliwa nao tumbo moja baadhi yao wachawi na washirikina, watu wa vijicho na husuda mbaya....Wachwi kila kona, mm mwemyew mzee wangu nikimwambiaga jambo linapinda kwelikweli. Nimegoma siku hiz simshirikishi kabisa yan
😁🤣😂Tungoje Majibu Wanalala Wanaamka Mpaka UzeeBaba yako alifanikiwa vipi wakati Mama yako ndio mke wake??
Kuna maza mmoja ni mama maombi hodari anafunga siku 3 mfululizo bila kula, kila mwezi ye ni mfungo ila ana tabia zote km za mama yake mtoa mada mlalamishi balaa manung'uniko na lawama ni yeye daily na ana bonge la zongo ukisema jambo lako tu akalijua lazima likwame,Sina uhakika kwa wengine, ila kuna faida kubwa sana kuoa Mke mwana maombi, unaweza kuwa upo misele yako mwenzio yupo magotini kuombea riziki na amani nyumbani
Familia isiyoomba ni rahisi sana kuingia katika mitazamo ya kishenzi shenzi na kuamini katika masuala ya kilozi
Dahh! 😂... Eti 43 kgsKuna maza mmoja ni mama maombi hodari anafunga siku 3 mfululizo bila kula, kila mwezi ye ni mfungo ila ana tabia zote km za mama yake mtoa mada mlalamishi balaa manung'uniko na lawama ni yeye daily na ana bonge la zongo ukisema jambo lako tu akalijua lazima likwame,
Wanae hawajapata maisha ya kueleweka akianza kulaumu huyo Mungu jinsi anavyofunga lakini hapati kitu mungu gani wewe😅😅😅 wivu sasa kwa watoto wa wenzie, ndo maana hakanenepi we mtu mzima ana kg 43
Anaifundisha jamii ili Watu walitambue .kwahy umeamua kumdhalirisha mama yako?
Huyo sasa imani yake haba maana Mungu anapaswa kushukuriwa na wakati wake ndio sahihiKuna maza mmoja ni mama maombi hodari anafunga siku 3 mfululizo bila kula, kila mwezi ye ni mfungo ila ana tabia zote km za mama yake mtoa mada mlalamishi balaa manung'uniko na lawama ni yeye daily na ana bonge la zongo ukisema jambo lako tu akalijua lazima likwame,
Wanae hawajapata maisha ya kueleweka akianza kulaumu huyo Mungu jinsi anavyofunga lakini hapati kitu mungu gani wewe😅😅😅 wivu sasa kwa watoto wa wenzie, ndo maana hakanenepi we mtu mzima ana kg 43
Ohoooo neno gumu hiloNikwambie jambo gumu leo, samahani lakini: Mamako mchawi...
Wewe mkeo anatoka familia ya aina gani ??Nimekuja kugundua kuna familia zina negative energy
Nimefatilia hili jambo nikimwambia mzee wangu jambo lolote lazima litiki.
Ila nikimwamwabia my mom kila kitu kinakwama kwa 100%
My mama anatoka familia masikini yenye kuamini uchawi na fitina
Nimekuwa nikimfundisha my mama kuwa we need to trust in GOD uchawi ,negativity its just illusion.
Wakuu ukitaka kuoa make sure unatafuta mwanamke kutoka katika familia bora. Ambazo zipo educated and civilized.