Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Sasa mji kuwa na vibaka ndio hustling?

Basi kama ndo hivyo chang'ombe ya Dodoma ni super street Duniani, ukitoboa chang'ombe huwez shindwa mtaa wowote hapa Duniani
point.

Maana tunashindwa tofautisha uhalifu na Hustling.
 
Mbona una inferiority complex kubwa sana Kuna sehemu nimesema kwamba huwezi fila joburg ebu nionyeshe
Sina utoto wa kuringishia watu na picha alafu nipate nini
[emoji1787] [emoji1787] Ushapaniki, sasa bora inferiority kuliko jazba.
Humu mtandaoni utafura sana mkuu.
 
Tatizo wabongo mnashindwa kujielewa, utaendaje nchi ya watu halafu unaishi kihasarahasara, yaani unababana na wazawa choka mbaya kwenye maisha yao,
Kama unatoka nchini huko unakoenda, unatakiwa u raise the standards, wala hutaona huu upuuzi wa kukabana mitaani.
 
MzEe baba Unaiachaje delft hapo?? Nilikula visu zaidi ya saba sikufa mpaka leo naamini kama mungu hajapanga haufiii....sema capetown pabaya kama hauna hela baada ya kuhamia seapoint sijawahi kuona ujinga huo mpaka naondoka SA.
 
Johanesburg ilikikata stimu kabisa nilikuwa huko mwezi ulipita kwa wiki moja
Mitaa ya watu weusi kumechoka na kuchafu sana
Vijana mtaani wamechoka na wanaonekana wapo under drug influence
Mademu wa kitaa South wamechoka sana
Daa hawatii hata mzuka ... ndo nikaelewa why mademu wa South waraisi kuwapata ni kwa chakula au kinyweji bia kwa sababu ya umasikini tu ni sawa na hapa tz uende kitaa na milioni 1 unamaliza mtaa mzima
Kwa ufupi stimu zilikata
Nikaenda Sandton mitaa ya kishua Club Montana Huko kulikuwa noma malaya Rangi rangi kama mpo Jehanamu

Ila walichofanya Makaburu kwa hawa weusi enzi za Apartheid Mungu anawaona

Wasauzi asili nimegundua ni wavivu sana
Kazi nyingi malls / super market petro stations zinafanywa ma Wandebele wa Zimbwabwe as kindebele na kizulu zinaingiliana
 
Japo mji wenyewe siujui ila nikuulize kwanza, yaani ujambazi na kulala saa 1 ndio umeona hustling? Yaani mtu aibe, aue, apole umuite hustler?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…