Ukizaa na mume wa mtu, jukumu la kulea mtoto ni lako mwenyewe!

"Kwenye suala la ngono hakuna mwanaume anayejitambua".

Sikujibu tena kwa kuwa hujitambui, bado hujakomaa akili.

Kwa heri.
 
"Kwenye suala la ngono hakuna mwanaume anayejitambua".

Sikujibu tena kwa kuwa hujitambui, bado hujakomaa akili.

Kwa heri.

Wewe ndio hujitambui,
Kama ungekuwa umekomaa Akili usingeshindwa kulijua Jambo Hilo kuwa Sisi wanaume Mbele ya ngono hatuna ujanja, hatujitambui.

Kila la kheri, ukienda kujifunza Jando maana unaonekana hukupita huko
 
AHsante Taikon
watajitetea hapa
kuna watakaoleta emotions hapa. umenena vema sana.

KWANN KWENYE NYUMBA ZA IBADA WANGEANZA HIYO KAMPENI kuelimisha watu (dini zinahalalisha hili tatizo) ,
 
-hujui sheria kiongozi, Mimi ni mwanaume sio mwanamke, Mimi naongea kwa mtazamo wa kisheria, Kwa kutumia Sheria ya Mtoto, local customery law declaration order

Mimi naongea Kwa Mtazamo wa kiuhalisia.
Sheria haziondoi uhalisia.

Ni Sawa na sheria za dini ya Kiislam zinaruhusu mwanaume kuoa wake zaidi ya wanne. Ila kiuhalisia mwanaume Hana uwezo wa kuoa wake wanne Kwa sababu hakuna Mwanamke anayetaka kuolewa MKE mwenza.

Mimi nazungumzia uhalisia wa Mambo.

Mapenzi ya Mama na mtoto yapo automatically.
Mapenzi ya Baba na mtoto yamekonektiwa mara nyingi na Mama.
Yaani inategemea na mahusiano baina ya Baba na Mama.
 
AHsante Taikon
watajitetea hapa
kuna watakaoleta emotions hapa. umenena vema sana.

KWANN KWENYE NYUMBA ZA IBADA WANGEANZA HIYO KAMPENI kuelimisha watu (dini zinahalalisha hili tatizo) ,

Balensiaga amesema anaongelea kisheria, lakini anasahau sheria zimetungwa na watu, na sheria hazibadili chochote kwenye uhalisia.
 
-tatizo Taikun hajui Sheria, yeye anaongea anavyoona kwake ni sawa.
kusema kweli mkuu ROB yupo sahihi sana sana.
hizo sheria wameziweka tu regulate tatizo nakupunguza madhara.
Aliyoyanena Rob yataondoa kabisa tatizo,
 
Balensiaga amesema anaongelea kisheria, lakini anasahau sheria zimetungwa na watu, na sheria hazibadili chochote kwenye uhalisia.
Kwamba atakae zaa na mume wa mtu kwa kujua au kutokujua itambidi aonje consequences za hiyo maamuzi aliyoyafanya.
 
Hili ndio jibu sahihi na la kitaalamu. Tofaauti na wababaishaji wanaotaka kumlaumu tu.
 
Usiwashtue tunataka ongezeko la singo maza liongezeke ili na wao waupate moto wa kutafuta kwa jasho huku wakibweka kwenye status
 
Usiwashtue tunataka ongezeko la singo maza liongezeke ili na wao waupate moto wa kutafuta kwa jasho huku wakibweka kwenye status

Mimi nawashtua Kwa sababu nawapenda.
Ila wao wenyewe wataona ninachuki nao Kwa kuwaambia ukweli.

Sifurahii ongezeko la single mother kwani sio tuu linawatesa Dada zetu Bali pia linaumiza Watoto.

Watoto wanakua pasipo ulinzi na upendo wa Baba
 
Usiwashtue tunataka ongezeko la singo maza liongezeke ili na wao waupate moto wa kutafuta kwa jasho huku wakibweka kwenye status
kutakuwa na ongezeko la kizazi kilichokuwa fucked-up
 
Kwamba atakae zaa na mume wa mtu kwa kujua au kutokujua itambidi aonje consequences za hiyo maamuzi aliyoyafanya.

Yaani sop itabidi, Jambo Hilo lipo automatically.
Hata iwekwe sheria ipi, Jambo Hilo lipo hivyohivyo.

Ni vizuri Tuwafundishe mabinti zetu maadili maana wao ndio wahanga wakubwa.
Hatuwezi kujidanganya kisa tumetunga visheria ndio tukadhani madhara yatokanayo na mmomonyoko wa maidili yatawakuta kijana na Binti Kwa kiwango sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…