Mimi na wewe Nani ameandika hisia na mtazamo?
Unajua maana ya uhalisia?
Kwa Akili yako hata kama ni ndogo, ni Watoto wangapi hawatunzwi na Baba zao kisa na mkasa ni kuzaliwa nje ya mfumo wa Ndoa?
Lazima ujue zipo sheria, Maoni na mtazamo ambazo kamwe haziwezi kubadili Nature/asili.
Kiasili mtoto anatakiwa alelewe na Baba na Mama Full stop, kutokea Aina yoyote ya kutengana au kuingilia mahusiano ya Watu ni kumkosesha Haki mtoto atakayezaliwa nje ya mfumo.
Wewe Kwa Akili yako kisoda, badala uone andiko hili liwahamasishe Wanawake wawe Makini na waache kubeba mimba Kiholela pasipo ndoa wewe unaleta dhana zako za kipuuzi ati ninachuki.
Alafu tofautisha Kufanya ngono na Kupata mimba.
Jukumu la Kupata mimba lipo Chini ya Mwanamke na sio vinginevyo.
Hata Dunia ipinduke, Mwanamke ndiye Mhanga namba moja wa matokeo ya ngono.