Ukizaa na mume wa mtu, jukumu la kulea mtoto ni lako mwenyewe!

Ukizaa na mume wa mtu, jukumu la kulea mtoto ni lako mwenyewe!

... na hao mashoga mnawakaribisha kupiga umbea nyumbani ni hatari sana kwa ndoa zenu! Unakuta lishankupe na dera lake ndani liko tupu unalileta nyumbani Jpili kupiga stori; hatari sana.

Nani huyo unamuongelea!?
Huyo mkaribishaji...
 
Mimi na wewe Nani ameandika hisia na mtazamo?
Unajua maana ya uhalisia?
Kwa Akili yako hata kama ni ndogo, ni Watoto wangapi hawatunzwi na Baba zao kisa na mkasa ni kuzaliwa nje ya mfumo wa Ndoa?

Lazima ujue zipo sheria, Maoni na mtazamo ambazo kamwe haziwezi kubadili Nature/asili.

Kiasili mtoto anatakiwa alelewe na Baba na Mama Full stop, kutokea Aina yoyote ya kutengana au kuingilia mahusiano ya Watu ni kumkosesha Haki mtoto atakayezaliwa nje ya mfumo.

Wewe Kwa Akili yako kisoda, badala uone andiko hili liwahamasishe Wanawake wawe Makini na waache kubeba mimba Kiholela pasipo ndoa wewe unaleta dhana zako za kipuuzi ati ninachuki.

Alafu tofautisha Kufanya ngono na Kupata mimba.
Jukumu la Kupata mimba lipo Chini ya Mwanamke na sio vinginevyo.

Hata Dunia ipinduke, Mwanamke ndiye Mhanga namba moja wa matokeo ya ngono.


Akazae na mume wa mtu halafu aende huko mahakamani aipate habari yake.

Ndo atajua kuna maisha ya kwenye makaratasi na maisha halisi.
 
Akazae na mume wa mtu halafu aende huko mahakamani aipate habari yake.

Ndo atajua kuna maisha ya kwenye makaratasi na maisha halisi.

😂😂😂
Aulize wasomi hasa wauchumi atapata majibu kuwa vitu vilivyopo kwenye karatasi sio vyote ni halisi
 
Kama mwanamke anayejitambua lazima atatumia njia zote za kimedani kujuaa huyu mwanaume ameoa au hajaoa .
Lazima tu. akizaa na mume wa mtu basi ni makosha washalalaa
 
Ila wanaume
Kidogo linikutage jambo kama sio huyu Mungu kuniepusha sijui ningekuwa katika hali gani mimi.

😀😀😀
Pole Sana.
Epuka mapenzi ya siri Siri. Mara nyingi ni Utapeli.
Mara usinipigie saw ngapi,
Mara hataki uende anapoishi,
Mara hataki kwenda kwenu hajajiandaa, kwani kwenu akienda lazima Aende na Mahari yote?
 
-Kwa mujibu wa sheria zetu jukumu la kutunza mtoto ni la baba, ndiyo maana mwanaume akimpa mimba binti Ili amkomboe mtoto ni lazima alipe gharama zote za Matunzo ya mtoto, au amuoe hiyo ni Kwa mujibu wa Tamko la Kimila la serikali that is to say Local customery law declaration order
- na Ili apate Matunzo ya mtoto Mama wa mtoto itabidi ampeleke mwanaume kwenye Mahakama ya watoto, na akipinga kwamba huyo mtoto sio Wake Mahakama itatoa Amri ya kwenda kwenye DNA test, na DNA results zikionesha kuwa ni mtoto wake mwanaume utawajibika kumtunza huyo mtoto hata Kama una mke
-
Umeandika kisomi zaidi[emoji4][emoji106]
 
Mi nnachowashaur ME wenzangu tuliooa,
Binti huna Nia ya kuzaa nae,mwagia nje tu
 
R.jpg
 
Kusaliti viapo vyako vya ndoa ni kosa, coz you're causing harm (to your wife, kids and yourself)

Kulala na mume wa mtu ni kosa, coz you're causing harm (to his wife and kids and yourself)

Kutelekeza mtoto wako ni kosa, coz you're causing harm (to the child, it's mother and yourself)

Baada ya kutambua kosa, kinachofwata kwa kiumbe mwenye akili na utashi ni KUWAJIBIKA.

Unaweza pia kuamua kutowajibika kwa kutoa vijisababu vyovyote vile ulivyojitungia akilini mwako!


Who knows maybe you were MEANT to do what you're doing, and nomatter how much you tried not to do it, YOU CAN'T!

Coz you were meant for harm and destruction, for new creations to come alive!!
 
Tamaa huzaa Dhambi. Dhambi huzaa mauti. Nazidi kuumia juu ya watoto ambao ni outcome ya mistake ya mzazi/wazazi. Nawaza baadae itakuwaje. Sitegemei mtoto wa aina hii kuwa na upendo.

Kuna mdogo wangu alikataliwa na baba mzazi, na mama yake (shangazi) akaolewa kwngne so ikabidi mzee wangu amchukue amlee, maana yule baba mwngne hakuwa anamtaka huyu mtoto. Huyu mdogo wangu hanaga upendo na mambo ya kujali familia kabisa. Wengi wanajuaga nimefatana nae kwenye kuzaliwa na ni wachache sana wanafahamu kuwa sijazaliwa nae tumbo moja.

Kuna muda nilionaga mama anampendelea yeye sana kuliko mimi. Na pia mdogo wangu anaenifata kaivana sana na huyu kuliko mimi dada ake wa damu. Lakin huyu ndugu yuko so cold hearted. Anapenda marafiki, mashosti basi. Ni mtu ambae anajijaligi yeye kama yeye. Hata wazaz wangu si kwamba anawajali kihivyo. Ni mtu flani very cold. Upendo wake kwa wanafamilia ni mdogo sana.

Najaribu kusema ivi.. baadae..in the future, ile prophecy ya upendo utapoa itaonekana dhahiri. Mtu kalelewa na mama yake tu huku akiona either mama anavyostruggle kumlea kwa tabu, ama kulishwa sumu na mamaye kuwa baba ako hakujali anajali ndugu zako wengne akat wewe ni mtoto wake. Huyu atalishwa sumu kuanzia mwaka 1 mpk miaka lets say 8. Usitegemee huyu mtoto kuja kuwa na upendo ama kuwapenda ndugu zake despite kilichopita baina yake na baba yake.

Sijui watoto wa baadae watakuwaje. Tunaenda kupata a very weak nation. Mtoto anahitaji baba physically katika malezi. Hasa wa kiume. Kuna mambo ama mising ya kiume inahitajika kupasishwa from baba to son. Leo son yuko kwa mama ake huko hata kama ni wa nje..tutatokea wapi? Sad stuff am seeing coming. Disaster actually.
 
Wanawake Ni dhaifu sn linapokuja suala la kutumia akili Kwny maamuz ya mahusiano.

Wanatabia ya kuamini Watu kirahisi rahisi,
Usipojiongeza utajikuta unamzalisha kila mwanamke.

Wee unapita, ila yeye anajiachia akiamini utadumu nae daima. Tatizo liko hapo
 
Back
Top Bottom