Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

!
Isaya 4: 1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Mwambie huyo aelewe uhalisia wa Dunia na mambo yake.
Mimi huwa nawashangaa wanawake wengine unakuta amepata Mwanaume wake muungwana Eti mke anajitia wazimu na kiharibu ndoa yake sana sababu ya meseji alozikuta kwenye simu ya mume wake inahusu mchepuko .
Are you serious?
Wanaume ni mali adimu.
Ukipata wako ambae kwa wastani anajua kutimiza majukumu yake na anakuheshimu kwa kwenda kufanyia mambo yake mbali shukuru.
Tena ongeza UTII na heshima na umuombee Kheri mume wa namna hiyo.
Huko nje wanatamani wanaume hata wa kutangulizana nae mahala hakuna.
Ukipata shikamana.
Acheni kujitia wazimu kwa kufuata mkumbo wa mitandao.
Mwisho wa siku maisha ni yako binafsi.
Na victims huwa ni wanawake always.
 
Jini linalo tembea

Hapana.
Usijichoreshe watu kujua kiwango chako cha akili na uwezo wa kujadili hoja mbalimbali kuwa kuwa chini kiasi hicho.
 
Yani Mwanaume afanye kazi ngumu apate Hela Halafu akitaka kufanya jambo la kumpa Furaha ya nafsi yake umkataze?!
Na wakati huo mahitaji ya msingi ameshayatimiza.
Kumbuka huyo mke Mwanaume kwanza hakumpendaga kiivyooo.
Mwanamke alilazimisha ndoa kwa hila zake ilimradi jamii imuelewe kuwa nae kaolewa.
Mwanaume moyo wake uko kwa mwanamke mwingine 👌👌
Imeandikwa; Enyi binti Sayuni msiyachochee mapenzi hadi yatakapoona yenyewe kufaa”
Makosa ya mabinti wengi kulazimisha kuolewa mwisho wa siku badała ya kujishusha na kuwa watii na wanuenyekevu mnajitia wazimu na kuleta ubishi na mashindano ndani ya nyumba.
 
Mwanaume hata akiwa lofa hana Hela amechoka atatafuta mnyonge mwenzie wa kufanana nae achepuke nae. Ndivyo walivyo ingawa sio wote 100%
Sembuse mwenye vijisent vya kubadilisha mboga?
Huyo anawindwa huko nje balaa.
Wanaume wanakwepa mitego mingi ya wanawake huko nje wakijua ana hela.
Waombeeni tu na kuwatii.
 
Wasichojua wanawake wengi ni kuwa Mwanaume kukutaka kingono sio kipimo cha kukupenda kwa dhati ya moyo wake.
Ngono kwa Mwanaume ni hitaji kama la chakula cha kawaida.
Kwamba unaweza kula ugali maharagwe sio sababu unapenda ni sababu ndicho chakula kilichopo kilichoandaliwa kwa wakati huo na anahitaji kula hana mbadala mwingine.
Sasa mabinti wengi wanapotongozwa kwa matumizi ya kingono huzani wamependwa kwa dhati ya moyo na kuanza hila za kulazimisha kuolewa hususa kama jamaa anafanya kazi.
Nakwambia Mwanaume atategeshewa mimba, atarogwa n.k ili aoe.
Lakini uzuri kufanya hivyo mwanamke atakują kuwa victims wa hila zake hizo maana Mwanaume anakuwa moyo wake haupo kwake.
Moyo uko kwingine! 👌
Ndio maana ukijakutaka kumpangia namna ya kuishi ndio unazidi kumchosha.
 
Ndoa nyingi ingewezekana kuanza upya pale kabla ya kuona wengi wasingerudia kuchagua wenza wao walonao sasa 😀😅
 
Sihamasishi uzinzi na M. Mungu Naomba anihurumie na kunisamehe lakini nimejaribu kuonesha uhalisia wa maisha na Kwamba kama unampenda Mwanaume utamvumilia wakati wote.
Imeandikwa:
Upendo huvumilia
Hauhesabu mabaya
Haukosi kuwa na adabhiamini yote
sasa kipimo ni hivyo hapo.
Ukipekua simu maana yake humwamini.

Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Bali mwerevu huijenga.
Sema tushukuru wanaume sio waongeaji sana.
 
Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi

Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.

Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.

Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele

Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

View attachment 2727635
We mwsna, banana na mumeo asichepuje.

Sisi wengune tunakioiga mchangani mwaka wa 30 wa ndoa sasa. Fanya 30 x 5 ni sawa na miaka 150.

Ebana eeh, kila mtu ashinde mechi zake
 
Siyo kweli....hiyo mithali haimaanishi hivyo...aziniye na mwanamke hana.............afanya jambo...... nafsi yake, ni kuhusu mahusiano yasiyo rasmi, ya bila ndoa. Kama ni ndoa hakuna shida.
Ukiwa na uwezo wa kuoa zaidi ya mmoja ni sawa, huo siyo uzinifu, la muhimu uweze kuwatimizia mahitaji yao... wakristo hapa tunadanganywa na wahubiri, tusome maandiko tuelewe.
Hizi ni nyakati za mwisho...waabuduo halisi wataabudu katika roho na kweli.
 
Isaya 4: 1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Hii waliandikiwa wanawake wasiomcha Mungu ili waachane na dhambi wamrudie Mungu na wasiporudi kwa Mungu watateseka kwa mapigo hayo ya mwanaume mmoja kwa wanawake 7 ndio yanayotendeka sahii na wanawake wengi wameamua kuwa wasagaji kutuliza mateso ya wanawake 7

Wacha Mungu hatujui huu msiba wa wanawake 7 Aisee,

Sa we endelea kuandika scripture usizoweza zielezea
 
Isaya 4: 1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
 
We mwsna, banana na mumeo asichepuje.

Sisi wengune tunakioiga mchangani mwaka wa 30 wa ndoa sasa. Fanya 30 x 5 ni sawa na miaka 150.

Ebana eeh, kila mtu ashinde mechi zake
 
Siyo kweli....hiyo mithali haimaanishi hivyo...aziniye na mwanamke hana.............afanya jambo...... nafsi yake, ni kuhusu mahusiano yasiyo rasmi, ya bila ndoa. Kama ni ndoa hakuna shida.
Ukiwa na uwezo wa kuoa zaidi ya mmoja ni sawa, huo siyo uzinifu, la muhimu uweze kuwatimizia mahitaji yao... wakristo hapa tunadanganywa na wahubiri, tusome maandiko tuelewe.
Hizi ni nyakati za mwisho...waabuduo halisi wataabudu katika roho na kweli.
 
!

Mwambie huyo aelewe uhalisia wa Dunia na mambo yake.
Mimi huwa nawashangaa wanawake wengine unakuta amepata Mwanaume wake muungwana Eti mke anajitia wazimu na kiharibu ndoa yake sana sababu ya meseji alokują kwenye simu ya mume wake inahusu mchepuko .
Are you serious?
Wanaume ni mali adimu.
Ukipata wako ambae kwa wastani anajua kutimiza majukumu yake na anakuheshimu kwa kwenda kufanyia mambo yake mbali shukuru.
Tena ongeza UTII na heshima na umuombee Kheri mume wa namna hiyo.
Huko nje wanatamani wanaume hata wa kutangulizana nae mahala hakuna.
Ukipata shikamana.
Acheni kujitia wazimu kwa kufuata mkumbo wa mitandao.
Mwisho wa siku maisha ni yako binafsi.
Na victims huwa ni wanawake always.
 
Wasichojua wanawake wengi ni kuwa Mwanaume kukutaka kingono sio kipimo cha kukupenda kwa dhati ya moyo wake.
Ngono kwa Mwanaume ni hitaji kama la chakula cha kawaida.
Kwamba unaweza kula ugali maharagwe sio sababu unapenda ni sababu ndicho chakula kilichopo kilichoandaliwa kwa wakati huo na anahitaji kula hana mbadala mwingine.
Sasa mabinti wengi wanapotongozwa kwa matumizi ya kingono huzani wamependwa kwa dhati ya moyo na kuanza hila za kulazimisha kuolewa hususa kama jamaa anafanya kazi.
Nakwambia Mwanaume atategeshewa mimba, atarogwa n.k ili aoe.
Lakini uzuri kufanya hivyo mwanamke atakują kuwa victims wa hila zake hizo maana Mwanaume anakuwa moyo wake haupo kwake.
Moyo uko kwingine! 👌
Ndio maana ukijakutaka kumpangia namna ya kuishi ndio unazidi kumchosha.
Endelea kujifariji na biblia hausomi
 
Hapana.
Usijichoreshe watu kujua kiwango chako cha akili na uwezo wa kujadili hoja mbalimbali kuwa kuwa chini kiasi hicho.
Ndoa nyingi ingewezekana kuanza upya pale kabla ya kuona wengi wasingerudia kuchagua wenza wao walonao sasa 😀😅
Mimi yangu ningeambiwa nianze upya ningerudi kwa huyu huyu mubaba wangu
 
Yani Mwanaume afanye kazi ngumu apate Hela Halafu akitaka kufanya jambo la kumpa Furaha ya nafsi yake umkataze?!
Na wakati huo mahitaji ya msingi ameshayatimiza.
Kumbuka huyo mke Mwanaume kwanza hakumpendaga kiivyooo.
Mwanamke alilazimisha ndoa kwa hila zake ilimradi jamii imuelewe kuwa nae kaolewa.
Mwanaume moyo wake uko kwa mwanamke mwingine 👌👌
Imeandikwa; Enyi binti Sayuni msiyachochee mapenzi hadi yatakapoona yenyewe kufaa”
Makosa ya mabinti wengi kulazimisha kuolewa mwisho wa siku badała ya kujishusha na kiwa watii na wanuenyekevu mnajitia wazimu na kuleta ubishi na mashindano ndani ya nyumba.
Sihamasishi uzinzi na M. Mungu Naomba anihurumie na kunisamehe lakini nimejaribu kuonesha uhalisia wa maisha na Kwamba kama unampenda Mwanaume utamvumilia wakati wote.
Imeandikwa:
Upendo huvumilia
Hauhesabu mabaya
Haukosi kuwa na adabhiamini yote
sasa kipimo ni hivyo hapo.
Ukipekua simu maana yake humwamini.

Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Bali mwerevu huijenga.
Sema tushukuru wanaume sio waongeaji sana.
 
Back
Top Bottom