Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

Saudi hakujenga hekalu la Mungu ujue
Alikuja kujenga mwanaeeeee mtakatifu
Miaka yake ikafupishwa, kasome kitabu cha wafalme Mungu alivyomlaani hakujenga hekalu na miaka yake ikafupishwa
Famasiala na Mungu nini?
Swali?

Wakati Daudi anazini na mke wa Uria Mhiti alikuwa na miaka mingapi? Na baada ya hilo tukio aliishi miaka mingapi?

Na kuhusu ujenzi wa hekalu ulikuwa mpango wa Mungu hekalu lijengwe na Suleimani na sio Daudi. So sio laana Daudi kutojenga hekalu, coz hakuna mfalme alipendwa km Daudi
 
Mambo yangu yanaenda vizuri namshukuru Mungu
Aisee
 
Swali?

Wakati Daudi anazini na mke wa Uria Mhiti alikuwa na miaka mingapi? Na baada ya hilo tukio aliishi miaka mingapi?

Na kuhusu ujenzi wa hekalu ulikuwa mpango wa Mungu hekalu lijengwe na Suleimani na sio Daudi. So sio laana Daudi kutojenga hekalu, coz hakuna mfalme alipendwa km Daudi
Haikuwa mpango wa Mungu hekalu ijengwe na suleiman
Mungu alitaka daudi ajenge ila baada ya kuzini na kuua Mungu akabadilisha mawazo
Kasome upya biblia yako uielewa
Vitabu vyote vya wafalme

 
Na mimi kwani napunguziwa?si umesema wanaume??
 
Mimi mtoto wangu wa kiume sitakubali aje kupewa stress na mkewe , thubutuuu!
Ni afadhali waachane maisha yaendelee hadi apate mke mwenye nia njema ya upendo na utii na sio mke maslahi.
 
Yani niwatengenezee wanangu maisha mazuri Halafu mke aje kufanya hila ili arithi mali?
Thubutuuu!
Yani nitawakuza wanangu na kuwawekea mitazamo niitakayo Kwamba mke anapaswa kukutiii na sio ujeuri na visirani na awe na uwezo wa kuzalisha mali na sio aje na K yake aje ku-enjoy life bure wakati wengine tulikubali ku-sacrifice for our better future Halafu yeye aje na K yake tu hapana.
Sharing is caring.
 
Wanawake wote tunataka wanaume wa pekee yetu.


Kitu ambacho ni cha kusadikika.
Wanawake kuna ukweli hawaambiwi kabla ya kuolewa.
Enzi za unyago ilikuwa wanaandaliwa kisaikolojia kabisa, mume akishaamua kubali tu uke wenza wala haina neno iwapo bwana anakupa heshima yako na kutimiza majukumu yake ya familia.
Siku hizi ni ubinafsi tu.
Huyo mwanamke ambae hataki mume awe na mwanamke mwingine tendo lenyewe ndani anafanya kumpimia mumewe., mwanamke mkali , kisirani kununa kila wakati,
Sasa Mwanaume wa watu anachoka.
Akienda mahala pa kuchekewa na kusilizwa asiweke utuo hapo?!
 
Mimi mtoto wangu wa kiume sitakubali aje kupewa stress na mkewe , thubutuuu!
Ni afadhali waachane maisha yaendelee hadi apate mke mwenye nia njema ya upendo na utii na sio mke maslahi.
Umekuwa muhundi?
Una arrange ndoa ya mwanao?
 
Yani niwatengenezee wanangu maisha mazuri Halafu mke aje kufanya hila ili arithi mali?
Thubutuuu!
Yani nitawakuza wanangu na kuwawekea mitazamo niitakayo Kwamba mke anapaswa kukutiii na sio ujeuri na visirani na awe na uwezo wa kuzalisha mali na sio aje na K yake aje ku-enjoy life bure wakati wengine tulikubali ku-sacrifice for our better future Halafu yeye aje na K yake tu hapana.
Sharing is caring.
Maisha hayaendi vile unataka
Mapenzi ya watoto wako kwa wanawake zao ndio nguvu zako zitaisho hapo
Watauza vyote ulivyotengenezea ukiwa unaona na hauna nguvu
 
Kitu ambacho ni cha kusadikika.
Wanawake kuna ukweli hawaambiwi kabla ya kuolewa.
Enzi za unyago ilikuwa wanaandaliwa kisaikolojia kabisa, mume akishaamua kubali tu uke wenza wala haina neno iwapo bwana anakupa heshima yako na kutimiza majukumu yake ya familia.
Siku hizi ni ubinafsi tu.
Huyo mwanamke ambae hataki mume awe na mwanamke mwingine tendo lenyewe ndani anafanya kumpimia mumewe., mwanamke mkali , kisirani kununa kila wakati,
Sasa Mwanaume wa watu anachoka.
Akienda mahala pa kuchekewa na kusilizwa asiweke utuo hapo?!
Hili kabila la kiduanzi
Hamna kabila lina encourage uke wenza
 
Mwanamke kila
Mwezi anaingia period , Mwanaume maisha yake yote yuko free 24/7, Januari hadi December kila Mwaka yuko tayari kwa matumizi,
Halafu mnataka muwe sawa kima hutaki ya mwili ?
 
Hapa kuna code kidogo za kufungua maana maandiko yantaka utumie akili sana....Kwamba miaka 5 inapungua sio utani kama mnavyofikiria.

Uzinzi unakufanya uwe katika madhara makubwa sana haswa ya kukatiaha kimaisha hususani matokeo yake ,unaweza kufumaniwa leo ukawauliwa au ukapata magonjwa halafu ukafa ..
Daah, haya maandishi muwe mnaandika taratibu Wakuu
 
Back
Top Bottom