Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Swali?Saudi hakujenga hekalu la Mungu ujue
Alikuja kujenga mwanaeeeee mtakatifu
Miaka yake ikafupishwa, kasome kitabu cha wafalme Mungu alivyomlaani hakujenga hekalu na miaka yake ikafupishwa
Famasiala na Mungu nini?
Wakati Daudi anazini na mke wa Uria Mhiti alikuwa na miaka mingapi? Na baada ya hilo tukio aliishi miaka mingapi?
Na kuhusu ujenzi wa hekalu ulikuwa mpango wa Mungu hekalu lijengwe na Suleimani na sio Daudi. So sio laana Daudi kutojenga hekalu, coz hakuna mfalme alipendwa km Daudi