Ukoo wetu wote ni masikini. Naombeni ushauri Nawezaje kukata huu mnyororo wa umaskini?

Usikute kuna ndugu ama jamaa wamewafunga msifanikiwe kwani wameona kitu kwenu.
 
Hii kuhusu tabia ni kweli kabisa...

Uvivu, kutaka makuu/makubwa bila kuanzia padogo, umbea, wivu, uchoyo, uvivu tena, kiburi kudhani unajua Kila kitu hutaki kusikiliza wengine, dharau, kudhulumu haki za wengine, bad spending, uvivu tena na tena n.k
 
Hii kuhusu tabia ni kweli kabisa...

Uvivu, kutaka makuu/makubwa bila kuanzia padogo, umbea, wivu, uchoyo, uvivu tena, kiburi kudhani unajua Kila kitu hutaki kusikiliza wengine, dharau, kudhulumu haki za wengine, bad spending, uvivu tena na tena n.k
Eeeh tuambie wewe rafiki wa GSM, BAKHRESA na MO DEWJI umepata kifungua kinywa gani hapo Serena Hotel??

Hivi huu ujuaji unasaidia nini?? Kwako wewe mtu masikini basi hasikilizi watu, mjuaji, mbishi, hajitumi, nk au sio??
 
Eeeh tuambie wewe rafiki wa GSM, BAKHRESA na MO DEWJI umepata kifungua kinywa gani hapo Serena Hotel??

Hivi huu ujuaji unasaidia nini?? Kwako wewe mtu masikini basi hasikilizi watu, mjuaji, mbishi, hajitumi, nk au sio??
Eeeish look at this one!!!
Ndo ulichopata kwenye andiko langu?? You have a comprehension problem!

Sasa mtoa mada uwe na akili kama za huyu unaachaje kuwa maskini...
 
Kwa Nini umshauri mtu kwa kutumia vifungu vya biblia kwani kakuambia Ni mkristo?
 
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
Kila kitu wanatumia reference ya vitabu vyao vya miaka 2000 iliyopita kwenye karne hii wanaona yesu kutembea juu ya maji Ni muujiza mkubwa , hawaoni ndege kuruka juu ikiwa na abiria 300 kma Ni maajabu makubwa[emoji849]
 
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote mliotenga muda wenu na kunipa ushauri ambao umenifumbua macho na kwa sehemu kubwa nimejifunza kwamba kuna mambo ya msingi napaswa kuyazingatia ili nijivue huu mnyororo wa umasikini. Ushauri pekee nilioupuuza ni ule wa kunitaka nijitafutie utajiri kwa njia zinazokwenda kinyume na sheria za nchi au kupitia nguvu za giza. Lakini kwa vyovyote vile nimenufaika na ushauri wenu. Ahsanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…