Nafanya vibarua vya kupalilia mashamba ya watu na za zege
Ni mtihani kujinasua, ikiwa hata ktk kazi hii ya kupalia mashamba na za zege watu wanashindwa kuona jinsi unavyotumia usomi wako kukamilisha vibarua hivyo.
Wanazuoni wanasema msomi siku zote hufanya na kutekeleza mambo tofauti na wale ambao hawajapata bahati ya elimu ya juu kama yako.
Jithamini nini kina kukwamisha hata kwa vitendo mbele wakati wa utekelezaji kazi za kupalia na kubeba zege kiasi huonekani kuongeza tija katika kazi yako ya sasa hivi unayoifanya .
Ukiweza kuonesha usomi wako unaleta tija ktk kazi yako ya sasa pamoja na genge zima la wabeba zege nao wana appreciate / sema 'yes' kwa mchango wako kivitendo kurahisisha kazi hiyo ya shuruba basi pasina shaka utapata maendeleo ya kiuchumi siku si nyingi zijazo.
Maana uwepo wapo hapo kibaruani unategemea utatatua changamoto na kupata uzoefu wa kufanya vizuri zaidi katika nafasi nyingine .