Ukoo wetu wote ni masikini. Naombeni ushauri Nawezaje kukata huu mnyororo wa umaskini?

Ukoo wetu wote ni masikini. Naombeni ushauri Nawezaje kukata huu mnyororo wa umaskini?

Mkuu ni kweli kwamba nikiwa mcha-Mungu sana itasaidia?!

Nataka nianze hili zoezi
kuwa mcha mungu huku unafanya kazi kwa bidii na kujituma na kuweka akiba pia kama jamaa mmoja hapa alivyosema weka malengo ya muda mrefu.Ukiwa mcha mungu tu lakini unabweteka andika maumivu utakufa masikini mungu anainua anayejiinua
 
nawashangaa sana wabongo, yaani mtu una miguu, mikono, macho na upo energetic tena huna magonjwa sugu lakini bado unajiita 'maskini', sasa sijui tukusaidieje apo?? tuuzie figo, moyo au kongosho zako sasa kama umeshindwa kujishugulisha
 
nawashangaa sana wabongo, yaani mtu una miguu, mikono, macho na upo energetic tena huna magonjwa sugu lakini bado unajiita 'maskini', sasa sijui tukusaidieje apo?? tuuzie figo, moyo au kongosho zako sasa kama umeshindwa kujishugulisha
Siyo maskini wote hawajishughulishi. Napitia msoto mkali na bado afadhali ya jana kila kukicha
 
Shida ya ukoo ambao ni maskini uwa hata ukijitahidi kutoka wanakurudisha chini maana wategemezi ni wengi unakuta mpaka shangazi.

Kuwa bahiri wekeza kwenye malengo tu.
Ndomana inabidi mtoa mada ajifunze kufanya mambo yake kimya kimya, asitake pongezi Wala "baraka" za watu wake...umepata mchongo, piga kimya...umepata kazi kimya.....la sivyo hutokaa uendelee hata apate kazi, Kila mtu atakukingia bakuli and you'll never be giving enough, they'll want more and more....
 
Ndomana inabidi mtoa mada ajifunze kufanya mambo yake kimya kimya, asitake pongezi Wala "baraka" za watu wake...umepata mchongo, piga kimya...umepata kazi kimya.....la sivyo hutokaa uendelee hata apate kazi, Kila mtu atakukingia bakuli and you'll never be giving enough, they'll want more and more....
Sure. Nakubaliana na hili 100%
 
Njia nyingine ya kuondokana na umaskini kwenye ukoo ni ndoa za mchanganyiko

Mungu akikujalia kama wewe maasai kaoe mchaga Wanawake wa kichaga wanajua kuchacharika usioe maasai mwenzio au makabila yaliyozubaa
 
Njia nyingine ya kuonekana na umaskini kwenye ukoo ni ndoa za mchanganyiko

Mungu akikujalia kama wewe maasai kaoe mchaga Wanawake wa kichaga wanajua kuchacharika usioe maasai mwenziow
Sawa mkuu🙏🏿
 
Mambo ya ujamaa yametuharibu sana, ukiwa na pesa au kazi ndugu wanataka ziwe za ukoo au familia, mjomba shangazi, dada kaka n.k wote wanakutumbulia macho na lawama chungu nzima usipowasaidia.
Kama unaweza kuhama nchi nakushauri nenda Maputo kasake Life. Nchi hii ukitokea familia kama hiyo kutoboa ni ngumu sana, yaan ni kwa jasho na damu.

Hata ukipata kazi bado utakuwa na mzigo mzito wa kusaidia ndugu, uchawi nk.

Ushauri wangu nenda mbali na kwenu, utaona matunda yake.

Ukiweza nenda nje ya nchi. Usiogope kujilipua.
 
Ushauri wa hovyo
Kama ushauri wangu utakuwa na maana uchukue, kama hauna maana tupa kapuni!

✓ jitenge na mnyororo wa ukoo wenu kiroho, hapa mtafute sheikh akupigie dua, anakutenganisha! Ukoo wako unaanza rasmi kuanzia kwako! Make issue kama hii hurithishwa (sometimes) ungelikuwa Mwanza ningelikupa address ya sheikh!

✓Au, tafuta mtaji! Anza biashara yako hata kama ni ya kawaida tu, kisha njoo Kawe uchukue mafuta ya Arise and Shine! (Nimeshuhudia wengi wente situation kama yako, wengine nimekuwa majirani nao), kama huamini uko, tafuta mafuta ya masheikh sanasana ya Qudra! tumia!

✓ukifanya biashara sahau kabisa kuwa mimi nina degree, hutoendelea kamwe, ikiwezekana kaishi mkoa mwingine mbali na huo ulikosomea chuo ili kuwa huru kufanya biashara zako!
 
Unawazungumziaje ambao hawajuvunja hiyo robot kwa maombi na wamekuwa matajiri au ambao wamevunja hiyo roho kwa maombi na wamebaki maskini?
Vunja hiyo roho kwa maombi.
Fanya ukipendacho kwa bidii..achana na maneno ya kukukatisha tamaa.
Kila la kheri
 
Cha msingi ni kufanya kazi kwa bidii mtangulize Mungu.ili ufanikiwe unahitaji kuuandaa moyo wako ndipo kazi na hela zitakufuata, Baadhi ya tabia huondoa baraka zako ambapo hata ukifanya kazi haifanikiwi kwa sababu ulinwengu wako kiroho umefamiwa na bahati mbaya.
 
Familia yetu yote hakuna mwenye unafuu wa kiuchumi. Nikaangazia macho ndugu wa baba na mama, na wao wote ni masikini sana. Nikafuatilia historia ya mababu na wao walikuwa mafukara kabisa.

Nina shahada ya kwanza ila ninakaribia kumaliza mwaka tangu nimalize chuo lakini sijawahi kuifanyia kazi. Nafanya vibarua vya kupalilia mashamba ya watu na za zege.

Najua hapa kuna watu wa namna mbalimbali. Naombeni msaada wa kujinasua katika hili wimbi la ufukara angalau niwe na unafuu wa maisha. Niweze kujikimu kwa uhakika wa chakula na malazi tu.

NB: siombi msaada wa pesa, naomba msaada wa Mawazo.

Ahsanteni.
Kwanza nikupongeze kwa ujasiri wa kuweka aside academic qualifications na kuanza side hustle za kitaa.
Pili to be born poor that's not your mistake but to die poor that is your mistake .Then fanya kazi kwa malengo pia jitahidi usave hata kile kidogo ulicho nacho then Anza na vimiradi vidogo vidogo na pia Muweke Mungu mbele na don't take life too serious.
Pili usichague kazi na kuwa na mwanamke mmoja tu mwenye vision nakutakia life battle njema.
 
Usijaribu huku mkuu, maagano ya huku ni mabaya.

Simama na Yesu. Soma Neno, sali sana, pia hama huo mkoa. kuwa karibu sana na Mungu. Kila kitu anza na Mungu, utamuona
Ahsante
 
Kwanza nikupongeze kwa ujasiri wa kuweka aside academic qualifications na kuanza side hustle za kitaa.
Pili to be born poor that's not your mistake but to die poor that is your mistake .Then fanya kazi kwa malengo pia jitahidi usave hata kile kidogo ulicho nacho then Anza na vimiradi vidogo vidogo na pia Muweke Mungu mbele na don't take life too serious.
Pili usichague kazi na kuwa na mwanamke mmoja tu mwenye vision nakutakia life battle njema.

Nimepitia hii thread imejaa imaginary motivations
 
Back
Top Bottom