Ukoo wetu wote ni masikini. Naombeni ushauri Nawezaje kukata huu mnyororo wa umaskini?

Ukoo wetu wote ni masikini. Naombeni ushauri Nawezaje kukata huu mnyororo wa umaskini?

Elias K

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2021
Posts
213
Reaction score
607
Familia yetu yote hakuna mwenye unafuu wa kiuchumi. Nikaangazia macho ndugu wa baba na mama, na wao wote ni masikini sana. Nikafuatilia historia ya mababu na wao walikuwa mafukara kabisa.

Nina shahada ya kwanza ila ninakaribia kumaliza mwaka tangu nimalize chuo lakini sijawahi kuifanyia kazi. Nafanya vibarua vya kupalilia mashamba ya watu na za zege.

Najua hapa kuna watu wa namna mbalimbali. Naombeni msaada wa kujinasua katika hili wimbi la ufukara angalau niwe na unafuu wa maisha. Niweze kujikimu kwa uhakika wa chakula na malazi tu.

NB: siombi msaada wa pesa, naomba msaada wa Mawazo.

Ahsanteni.
 
Pole, Kwanza kuwa mcha Mungu sana

Pili Uombe Mungu akuondolee hilo kongwa la umaskini

Tatu toka kwenye mkoa wa kabila yako nenda mikoa mingine kaanze kutafuta maisha nimeona wengi wenye tatizo kama lako wakifanikiwa walipoenda mikoa mingine

Hata kwenye Biblia Ibrahim aliambiwa kama anataka maendeleo atoke nchi alikozaliwa aende mbali. Kuna maeneo ukiishi kama ni mwenyeji hufanikiwi akija mgeni anafanikiwa ondoka hilo eneo ukiona haliko vizuri kwako na ukoo wako.
 
Pole,Kwanza kuwa mcha Mungu sana

Pili Uombe Mungu akuondolee hilo kongwa la umaskini

Tatu toka kwenye mkoa wa kabila yako nenda mikoa mingine kaanze kutafuta maisha nimeona wengi wenye Tatizo kama lako wakifanikiwa walipoenda mikoa mingine

Hata kwenye Biblia Ibrahim aliambiwa kama anataka maendeleo atoke nchi alikozaliwa aende mbali.Kuns maeneo iukiishi kama ni mwenyeji hufanikiwi akija mgeni anafanikiwa ondoka hilo eneo
Duh! Ila nimekuelewa vizuri mkuu🙏🏿
 
Pole,Kwanza kuwa mcha Mungu sana

Pili Uombe Mungu akuondolee hilo kongwa la umaskini

Tatu toka kwenye mkoa wa kabila yako nenda mikoa mingine kaanze kutafuta maisha nimeona wengi wenye Tatizo kama lako wakifanikiwa walipoenda mikoa mingine

Hata kwenye Biblia Ibrahim aliambiwa kama anataka maendeleo atoke nchi alikozaliwa aende mbali.Kuns maeneo iukiishi kama ni mwenyeji hufanikiwi akija mgeni anafanikiwa ondoka hilo eneo
Mkuu ni kweli kwamba nikiwa mcha-Mungu sana itasaidia?!

Nataka nianze hili zoezi
 
Kama unaweza kuhama nchi nakushauri nenda Maputo kasake Life. Nchi hii ukitokea familia kama hiyo kutoboa ni ngumu sana, yaan ni kwa jasho na damu.

Hata ukipata kazi bado utakuwa na mzigo mzito wa kusaidia ndugu, uchawi nk.

Ushauri wangu nenda mbali na kwenu, utaona matunda yake.

Ukiweza nenda nje ya nchi. Usiogope kujilipua.
 
Kama unaweza kuhama nchi nakushauri nenda Maputo kasake Life. Nchi hii ukitokea familia kama hiyo kutoboa ni ngumu sana, yaan ni kwa jasho na damu.
Hata ukipata kazi bado utakuwa na mzigo mzito wa kusaidia ndugu, uchawi nk.
Ushauri wangu nenda mbali na kwenu, utaona matunda yake.
Ukiweza nenda nje ya nchi. Usiogope kujilipua.
Shukrani sana mkuu🙏🏿
 
Familia yetu yote hakuna mwenye unafuu wa kiuchumi. Nikaangazia macho ndugu wa baba na mama, na wao wote ni masikini sana. Nikafuatilia historia ya mababu na wao walikuwa mafukara kabisa.

Nina shahada ya kwanza ila ninakaribia kumaliza mwaka tangu nimalize chuo lakini sijawahi kuifanyia kazi. Nafanya vibarua vya kupalilia mashamba ya watu na za zege.

Najua hapa kuna watu wa namna mbalimbali. Naombeni msaada wa kujinasua katika hili wimbi la ufukara angalau niwe na unafuu wa maisha. Niweze kujikimu kwa uhakika wa chakula na malazi tu.

NB: siombi msaada wa pesa, naomba msaada wa Mawazo. Ahsanteni.
Shida ya ukoo ambao ni maskini uwa hata ukijitahidi kutoka wanakurudisha chini maana wategemezi ni wengi unakuta mpaka shangazi.

Kuwa bahiri wekeza kwenye malengo tu.
 
Shida ya ukoo ambao ni maskini uwa hata ukijitahidi kutoka wanakurudisha chini maana wategemezi ni wengi unakuta mpaka shangazi.
Kuwa bahiri wekeza kwenye malengo tu.
Ahsante mkuu.

Na hapa sina hata hicho kipato cha kuwekeza

. Sina kibarua chechote
 
Acha fix hizi, walokole wangekuwa matajiri au wenye uwezo. Yaan apoteze muda wa kazi ashinde makanisani wanakotaka SADAKA??
Kama kila siku anashinda kanisani ujue anazo ni hobby kama wewe unavyopenda kushinda na kukesha bar ukidudumia pombe

Nauli kila siku unampa wewe?

Chakula cha kula anacho angekuwa hana si angekuwa kafa siku nyingi kwa kukosa chakula usingemwona akienda kila siku ina maana kala,ana nauli anayo na pa kulala anapi na hiyo sadaka unayosema anatoa anayo .

Mtu hana kipato hiyo sadaka ataitoa wapi.

Ujue uwezo anao
 
Back
Top Bottom