Sawa ngoja nifikirie nitengeneze hoja nzuri.Labda niulize tena kivingine; "wanawake" wamehusika vipi na kuporomoka kwa maadili kiujumla?
Inawezekana una point nzuri, tulizana, shusha pumzi, kunywa maji, fikiri kidogo halafu ujibu kwa kina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ngoja nifikirie nitengeneze hoja nzuri.Labda niulize tena kivingine; "wanawake" wamehusika vipi na kuporomoka kwa maadili kiujumla?
Inawezekana una point nzuri, tulizana, shusha pumzi, kunywa maji, fikiri kidogo halafu ujibu kwa kina.
Serikali ina mchango mkubwa katika kuporomosha maadili yetu kwasababu inafaidika.Kwa hiyo unamaanisha maadili mabovu yanasababishwa na serikali?
hatuongelei hapa 100% nikipata ja[o nusu percent ni ushindi mkubwa sana.
Kama ulikuwa huelewi, kumtumikia Mwenyezi Mungu ni kuitumikia jamii.
Mficha maradhi, kifo humuumbuwa.
Wewe ni shoga? Kama "ndiyo", tufahamishe ulianza vipi kuwa shoga ili iwasaidie wengine. Au kwa kuwa wewe shoga basi unataka wote wawe mashoga na au waupende ushoga?
Nenda YouTube kasikilize mashairi ya wimbo wa "tasnia" umeimbwa na maalim NashKwa hiyo unamaanisha maadili mabovu yanasababishwa na serikali?
Tatizo Hamas wanawafanya watu wasiamini dini tena, na kuchukuliwa kama kikundi cha mafunzo ya ugaidiVitabu vya dini ni muhimu sana, nyinyi wenyewe na watoto zenu wanyimeni vyote msiwanyime maadili mema, na hakuna pakuyapata maadii mema zaidi ya kwenye dini.
Dini zinasaidia kweli mbona ni mapigano tu dunia nzima. Maybe we need to re-think about dini tuachane nazo tuishi as human being sio as Christians au Muslim au sijui dini zingine.Ulitaka nieneze chuki za upagani?
Kama wewe huna dini unataka wote tusiwe na dini? Kukosa dini ndiyo chanzo kikuuu cha ukosefu wa maadili.
Kama huna dini hayo maadili utajifunza kutokea wapi?
"Dini" maana yake nini?Dini zinasaidia kweli mbona ni mapigano tu dunia nzima. Maybe we need to re-think about dini tuachane nazo tuishi as human being sio as Christians au Muslim au sijui dini zingine.
Mwisho wa siku ni hadaa kudai Mungu atawaangamiza wote wasiofuata dini fulani.
ANC pia waliitwa "magaidi", kwanini?
IRA waliitwa "magaidi" kwanini?
"HAMAS" wanqlaitwa "magaidi" kwanini?
Nani wa kulea hayo maadili sasa? Wakati waliotakiwa kuyalea hayo maadili wamekimbilia maofisini wote na kuacha watoto wakichungwa badala ya kulelewa.Bila ya shaka, wengi wa wale wenye umri iliozido miaka 40 watanielewa.
Tanzania yetu iliyokuwa inasifika ndani na nje ya nchi kwa maadili na nidhamu imeenda "arijjojo", wale waliowahi kucheza na vishada (kites) watanielewa nikisema "arijojo".
Nakumbuka miaka ya nyuma, kuna vijana nilikiuwa nawasiliano nao sana US, wakati huo nami naishi nje ya Tanzania, akanambia kuna rafiki yake anatafuta mchumba nimtafutie, nikamwambia mbona wachumba wapo wengi na vijana siku hizi hakuna anaetaka kutafutiwa, akanambia hujanielewa, hataki mchumba tu, anataka mchumba kutokea Tanzania. Akanielewesha nikamuelewa, nikamuunganisha na watu Dar., Nafurahi kusema akapata mke na mpaka sasa wanazeeka pamoja, watoto zao wameshafikia umri wa kujukuu, kama bado, sina mawasiliano nao ya mara kwa mara.
Hiyo siyo point yangu bali ni mfano tu. Kama hayo yalikuwa mengi sana si kutokea Ulaya tu, hata nchi za jirani walitamani kuoa mwanamke wa Kitanzania, sababu kuu ikiwa ni maadili.
Leo hayo kukutana nayo ni nadra sana, sisemi yamekwisha kabisa, lakini yameporomoka kwa kiwango kikubwa sana. Ni nini kilichotufikisha hapo? Nafahamu wengi sana maisha wanayokutana nayo ndivyo yalivyo, hawatoweza kunielewa kabisa, kwani hawana na cha kulinganisha nayo hayo, sisi wa zamani tunayoyaona kuwa ni maadili mema.
Wewe unayenisoma, maadili mema kwako ni yepi? Tutajie japo moja tu. Inawezekana kabisa nnavyoviona mimi kuwa si maadili mema, kwako ikawa ni ajabu kwanini hilo hayo si maadili mema.
My take; Maadili mema hayafundishwi tu, bali huanzia kwa kuigwa, je ni wazazi ndiyo tulikosea?
Wewe unahitaji kuletewa maadili na nani?Nani wa kulea hayo maadili sasa? Wakati waliotakiwa kuyalea hayo maadili wamekimbilia maofisini wote na kuacha watoto wakichungwa badala ya kulelewa.
Huyo mchungaji mwenyewe sasa qualification pekee aliyonayo ni kwakua yeye aliwahi kuwa mtoto.
Nadhani kunusuru mmomonyoko huu wa maadili inabidi VETA waanzishe course za Home helpers au Home nurses ili wakati mkeo anaenda kazini ajue amemuacha mtu ambaye naye yuko kazini.
Nilifunzwa vyema na Mama yangu kipenzi, wakati baba akiwa anatafuta mkate.Wewe unahitaji kuletewa maadili na nani?
Wewe wazazi wako hawajakufunza maadili mema nyumbani?
Mobito......mi binafsi huwa najiuliza mabinti wa leo kuzaa zaa ovyo ovyo sijui wanajisikiaje, sijui wazazi tumefeli wapi. Binti mdogo kabisa anabeba mimba tena niseme isiokua na baba, mzazi nae atashiriki kumuandalia baby shower shame!! Shame!! Akikaa kidogo kaenda tena kuzaa na mwingine, yani kawaida sahivi kila mtoto kuwa na baba ake.
Mitandao ya kijamii imesababishwa Dunia kua Kijiji na kuingiliana kwa tamaduni za mataifa mbalimbali. Tofauti enzi za Mwalimu ilikua Radio moja tu Radio Tanzania na magazeti ya Serikali na chama tu.Bila ya shaka, wengi wa wale wenye umri iliozido miaka 40 watanielewa.
Tanzania yetu iliyokuwa inasifika ndani na nje ya nchi kwa maadili na nidhamu imeenda "arijjojo", wale waliowahi kucheza na vishada (kites) watanielewa nikisema "arijojo".
Nakumbuka miaka ya nyuma, kuna vijana nilikiuwa nawasiliano nao sana US, wakati huo nami naishi nje ya Tanzania, akanambia kuna rafiki yake anatafuta mchumba nimtafutie, nikamwambia mbona wachumba wapo wengi na vijana siku hizi hakuna anaetaka kutafutiwa, akanambia hujanielewa, hataki mchumba tu, anataka mchumba kutokea Tanzania. Akanielewesha nikamuelewa, nikamuunganisha na watu Dar., Nafurahi kusema akapata mke na mpaka sasa wanazeeka pamoja, watoto zao wameshafikia umri wa kujukuu, kama bado, sina mawasiliano nao ya mara kwa mara.
Hiyo siyo point yangu bali ni mfano tu. Kama hayo yalikuwa mengi sana si kutokea Ulaya tu, hata nchi za jirani walitamani kuoa mwanamke wa Kitanzania, sababu kuu ikiwa ni maadili.
Leo hayo kukutana nayo ni nadra sana, sisemi yamekwisha kabisa, lakini yameporomoka kwa kiwango kikubwa sana. Ni nini kilichotufikisha hapo? Nafahamu wengi sana maisha wanayokutana nayo ndivyo yalivyo, hawatoweza kunielewa kabisa, kwani hawana na cha kulinganisha nayo hayo, sisi wa zamani tunayoyaona kuwa ni maadili mema.
Wewe unayenisoma, maadili mema kwako ni yepi? Tutajie japo moja tu. Inawezekana kabisa nnavyoviona mimi kuwa si maadili mema, kwako ikawa ni ajabu kwanini hilo hayo si maadili mema.
My take; Maadili mema hayafundishwi tu, bali huanzia kwa kuigwa, je ni wazazi ndiyo tulikosea?
Zamani kipindi tunasoma kuanzia chekechechea tulikuwa tuna fundishwa na mama mtu mzima mwenye Watoto na pengine kaozesha anajua namna ya kudili na watoto watukutu na kuwalejeza kwenye mstarii Leo hii mwalimu wa chekechechea anamiaka 24-25 Hajaolewa au kuoa hajui hata chembe ya malezi!!Na ushoga nao ni hivyo hivyo?