Hakuna mahali ambapo udhalimu ulishinda, japo unaweza kumpa farahja dhalimu kwa muda mfupi.Kwa hakika haijali gharama ila udhwalimu kushindwa ni jambo la kujivunia kwa kila mpenda haki:
View attachment 2182524
Nani alitegemea kutembea kwa miguu mitaani leo Kyiv na Mrusi akiwa 20km tokea mjini kati majuzi juzi tu?
Kwani kwetu si barabara na mitaa hufungwa? Chopper juu Kwamba tukujiridhisha?
Kama warusi walikuja na manywele vichwani kwa hakika watakuwa wameondoka na vipara.
Chonde chonde haki kwa wote ndiyo ulio msingi wa maisha.
Yuko wapi Putin na udhwalimu wake?
Udhwalimu uwao wote utashindwa!
Imechapika lakini lengo la Putin limeshakwama hadi sasa. Yeye alitaka aupindue utawala wa Ukraine lakini hilo mpaka sasa limeshakuwa gumu kwake na ni kama USA na Vietnam. Urusi hii vita hashindi tena. Kwa sasa uwezo wa kulihudumia jeshi umepungua kutokana mbivnyo wa vikwazo,kuna sabotage miongoni mwa wanajeshi wa Urusi yenyewe,Western na hasa USA ashapenyeza makomandoo wake walengaji(snipers) maveterani ndani ya Ukraine,silaha toka Western zinazidi kuingia Ukraine na Urusi kapoteza wanajeshi wengi wakiwemo majenerali wanne watajika kimedani.Utaskia "hizo ni propaganda za western na NATO ila kiukweli Ukraine imechapika yani hakutamaniki"
Kama kafikia hatua ya kuwaajiri mamluki napenda sana ISIS, na ALISHABAAB wakubali mualikoImechapika lakini lengo la Putin limeshakwama hadi sasa. Yeye alitaka aupindue utawala wa Ukraine lakini hilo mpaka sasa limeshakuwa gumu kwake na ni kama USA na Vietnam. Urusi hii vita hashindi tena. Kwa sasa uwezo wa kulihudumia jeshi umepungua kutokana mbivnyo wa vikwazo,kuna sabotage miongoni mwa wanajeshi wa Urusi yenyewe,Western na hasa USA ashapenyeza makomandoo wake walengaji(snipers) maveterani ndani ya Ukraine,silaha toka Western zinazidi kuingia Ukraine na Urusi kapoteza wanajeshi wengi wakiwemo majenerali wanne watajika kimedani.
Sasa anaajiri wapiganaji kutoka Syria mamluki awapeleke Frontline. Hii vita imeifunua Urusi kuwa hamna kitu. Na intels za USA zimeishadokeza kuwa walikuwa wana overate uwezo wa Urusi. Sasa turudi kwenye hoja yako ya kuchapika,baafa ya kuona malengo hayatimii sasa anapiga infrastructure kuwapa hasara Ukraine na kuuwa raia kwa hasira ya kushindwa. Lengo la vita toka mwanzo haikuwa kubomoa majengo ya umma na raia na miundombinu,lengo lilikuwa kuitoa serikali madarakani ambayo inaonekana kupendelea West na kuiweka serikali vibaraka wa Urusi kama Lukashenko wa Beralus na hata huyu Orban wa Hungary.
Russia is Overrated
But west is worstRussia is Overrated
USA mkuu.. huezi ifanananisha na Russia.. Mmarekani yuko mbali kwa nyanya kibaoBut west is worst
Mashallah... Haki siku zote hushinda. Ramadan Kareem Sheikh.Kwa hakika haijali gharama ila udhwalimu kushindwa ni jambo la kujivunia kwa kila mpenda haki:
View attachment 2182524
Nani alitegemea kutembea kwa miguu mitaani leo Kyiv na Mrusi akiwa 20km tokea mjini kati majuzi juzi tu?
Kwani kwetu si barabara na mitaa hufungwa? Chopper juu Kwamba tukujiridhisha?
Kama warusi walikuja na manywele vichwani kwa hakika watakuwa wameondoka na vipara.
Chonde chonde haki kwa wote ndiyo ulio msingi wa maisha.
Yuko wapi Putin na udhwalimu wake?
Udhwalimu uwao wote utashindwa!
But west is worst
Well analysed , I am a big fan of the oppressedImechapika lakini lengo la Putin limeshakwama hadi sasa. Yeye alitaka aupindue utawala wa Ukraine lakini hilo mpaka sasa limeshakuwa gumu kwake na ni kama USA na Vietnam. Urusi hii vita hashindi tena. Kwa sasa uwezo wa kulihudumia jeshi umepungua kutokana mbivnyo wa vikwazo,kuna sabotage miongoni mwa wanajeshi wa Urusi yenyewe,Western na hasa USA ashapenyeza makomandoo wake walengaji(snipers) maveterani ndani ya Ukraine,silaha toka Western zinazidi kuingia Ukraine na Urusi kapoteza wanajeshi wengi wakiwemo majenerali wanne watajika kimedani.
Sasa anaajiri wapiganaji kutoka Syria mamluki awapeleke Frontline. Hii vita imeifunua Urusi kuwa hamna kitu. Na intels za USA zimeishadokeza kuwa walikuwa wana overate uwezo wa Urusi. Sasa turudi kwenye hoja yako ya kuchapika,baafa ya kuona malengo hayatimii sasa anapiga infrastructure kuwapa hasara Ukraine na kuuwa raia kwa hasira ya kushindwa. Lengo la vita toka mwanzo haikuwa kubomoa majengo ya umma na raia na miundombinu,lengo lilikuwa kuitoa serikali madarakani ambayo inaonekana kupendelea West na kuiweka serikali vibaraka wa Urusi kama Lukashenko wa Beralus na hata huyu Orban wa Hungary.
Mbona katoa offer kwa raia wa nje ambao wanataka kui support urusi kuwa ataipa familia yake milion 100 za tz halafu kwa mwezi utakuwa unapokea mtonyo wa milion 14 endapo utachagua kukaa mstari wa mbele kwenye vita, na endapo utakaa mstari wa nyuma basi utalipwa nus ya hiyo helaPutin ameishiwa mpk hela za kulipa wanajeshi. USA na UK na NATO wanamrundikia MTONYO wa kutosha Velensky wa Ukraine. Anatofanya anawapa TAKRIMA jeshi la Urusi wanajisalimisha. Hiyo ndo sabab ya Putin kuondoa vikosi na hasira na aibu yake ya kushindwa anaalibu miundombibu kuwatia hasara. Alipanga awe ameiteka UKRAINE nzima kwa cku 6 na ndo bajeti aliyopanga, leo ni cku ya 48 mpk vifalu vyake vimezimia njia. Kashindwa vibaya. USICHEZE NA NJAA. USA na NATO wanachotumia ni FEDHA kudhoofisha jeshi la Putin lenye utamiamlo mfukoni kwa sasa.
Nachokiona ni mwendelezo wa script tu hakuna uhalisia wa utulivu na amani... wote waliokutana nao wameandaliwa while high security is in full red alert. Sijui wanamdanganya nani... na huyo muigizaji alivyo ndina anakimbizana tu kama kitoto cha shule. Wingereza na washirika wao wanahitaji ngano na ges hali ni tete UK. Wataishia kumpatia siraha chache in exchange of their raw material in cheap price, watauza bidhaa za ujenzi toka ulaya, kuitisha Urusi basi... baada ya hapo kipigo underground kinaendelea kiuchumi. Ukraine will never be the same.Kwa hakika haijali gharama ila udhwalimu kushindwa ni jambo la kujivunia kwa kila mpenda haki:
View attachment 2182524
Nani alitegemea kutembea kwa miguu mitaani leo Kyiv na Mrusi akiwa 20km tokea mjini kati majuzi juzi tu?
Kwani kwetu si barabara na mitaa hufungwa? Chopper juu Kwamba tukujiridhisha?
Kama warusi walikuja na manywele vichwani kwa hakika watakuwa wameondoka na vipara.
Chonde chonde haki kwa wote ndiyo ulio msingi wa maisha.
Yuko wapi Putin na udhwalimu wake?
Udhwalimu uwao wote utashindwa!
Bonge moja la comment sidhani Kama kuna MTU atabishana na hiliImechapika lakini lengo la Putin limeshakwama hadi sasa. Yeye alitaka aupindue utawala wa Ukraine lakini hilo mpaka sasa limeshakuwa gumu kwake na ni kama USA na Vietnam. Urusi hii vita hashindi tena. Kwa sasa uwezo wa kulihudumia jeshi umepungua kutokana mbivnyo wa vikwazo,kuna sabotage miongoni mwa wanajeshi wa Urusi yenyewe,Western na hasa USA ashapenyeza makomandoo wake walengaji(snipers) maveterani ndani ya Ukraine,silaha toka Western zinazidi kuingia Ukraine na Urusi kapoteza wanajeshi wengi wakiwemo majenerali wanne watajika kimedani.
Sasa anaajiri wapiganaji kutoka Syria mamluki awapeleke Frontline. Hii vita imeifunua Urusi kuwa hamna kitu. Na intels za USA zimeishadokeza kuwa walikuwa wana overate uwezo wa Urusi. Sasa turudi kwenye hoja yako ya kuchapika,baafa ya kuona malengo hayatimii sasa anapiga infrastructure kuwapa hasara Ukraine na kuuwa raia kwa hasira ya kushindwa. Lengo la vita toka mwanzo haikuwa kubomoa majengo ya umma na raia na miundombinu,lengo lilikuwa kuitoa serikali madarakani ambayo inaonekana kupendelea West na kuiweka serikali vibaraka wa Urusi kama Lukashenko wa Beralus na hata huyu Orban wa Hungary.