Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona katoa offer kwa raia wa nje ambao wanataka kui support urusi kuwa ataipa familia yake milion 100 za tz halafu kwa mwezi utakuwa unapokea mtonyo wa milion 14 endapo utachagua kukaa mstari wa mbele kwenye vita, na endapo utakaa mstari wa nyuma basi utalipwa nus ya hiyo hela
Lakini kabla ya hapo tuliona pesa yake ikiwa imepanda thamani hiyo lazima im benefit kwa namna moja, nakubaliana na wewe kuwa Zelensky anapokea ufadhili ambao unamfanya aweze kuhimili gharama za kuendesha operaton ya kivita
Lakini kwamba putin kaishiwa bado naona kimahesabu haijakaa poa
Hawa miamba achana nao. Wakikushindwa frontline wanajivisha vest tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama kafikia hatua ya kuwaajiri mamluki napenda sana ISIS, na ALISHABAAB wakubali mualiko
Putin atafanikisha malengo yakee bila shida yoyoteKwa hakika haijali gharama ila udhwalimu kushindwa ni jambo la kujivunia kwa kila mpenda haki:
View attachment 2182524
Nani alitegemea kutembea kwa miguu mitaani leo Kyiv na Mrusi akiwa 20km tokea mjini kati majuzi juzi tu?
Kwani kwetu si barabara na mitaa hufungwa? Chopper juu Kwamba tukujiridhisha?
Kama warusi walikuja na manywele vichwani kwa hakika watakuwa wameondoka na vipara.
Chonde chonde haki kwa wote ndiyo ulio msingi wa maisha.
Yuko wapi Putin na udhwalimu wake?
Udhwalimu uwao wote utashindwa!
My friend,West is the best. Remember that always.But west is worst
Hawa ni hodari kwenye vita ya kujificha iila sio frontline face to face tena na makomandooHawa miamba achana nao. Wakikushindwa frontline wanajivisha vest tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha kabisa mtiti wao..
Putin atafanikisha malengo yakee bila shida yoyoteView attachment 2182850
Ni vita ipi ambayo USA amewahi kushinda ?USA mkuu.. huezi ifanananisha na Russia.. Mmarekani yuko mbali kwa nyanya kibao
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unanikumbusha tanga kuna jamaa alikua msoma abladiri kwenye albadiri anayosomewa yeye.Hawa ni hodari kwenye vita ya kujificha iila sio frontline face to face tena na makomandoo
Hawa ni wababe kwasababu hawatambuliki identity yao unaweza kupanga mbinu za kuwazuia bila kujua nao wamehudhuria mkutano huo
Unataka kutuambia nini sisi watetezi wa Putin hapa Buza kwa Mpalange ?Hakuna mahali ambapo udhalimu ulishinda, japo unaweza kumpa farahja dhalimu kwa muda mfupi.
Ulianza kuifuatilia lini USA ? Anzia 1800's huko ndiyo uandike uharo wako hapaNi vita ipi ambayo USA amewahi kushinda ?
Lakini uliyemquote alikuwa anafanya sarcasm kwa Pro Russia,otherwise uko sawa kabisa kwa ulivyofafanua hapa.Imechapika lakini lengo la Putin limeshakwama hadi sasa. Yeye alitaka aupindue utawala wa Ukraine lakini hilo mpaka sasa limeshakuwa gumu kwake na ni kama USA na Vietnam. Urusi hii vita hashindi tena. Kwa sasa uwezo wa kulihudumia jeshi umepungua kutokana mbivnyo wa vikwazo,kuna sabotage miongoni mwa wanajeshi wa Urusi yenyewe,Western na hasa USA ashapenyeza makomandoo wake walengaji(snipers) maveterani ndani ya Ukraine,silaha toka Western zinazidi kuingia Ukraine na Urusi kapoteza wanajeshi wengi wakiwemo majenerali wanne watajika kimedani.
Sasa anaajiri wapiganaji kutoka Syria mamluki awapeleke Frontline. Hii vita imeifunua Urusi kuwa hamna kitu. Na intels za USA zimeishadokeza kuwa walikuwa wana overate uwezo wa Urusi. Sasa turudi kwenye hoja yako ya kuchapika,baafa ya kuona malengo hayatimii sasa anapiga infrastructure kuwapa hasara Ukraine na kuuwa raia kwa hasira ya kushindwa. Lengo la vita toka mwanzo haikuwa kubomoa majengo ya umma na raia na miundombinu,lengo lilikuwa kuitoa serikali madarakani ambayo inaonekana kupendelea West na kuiweka serikali vibaraka wa Urusi kama Lukashenko wa Beralus na hata huyu Orban wa Hungary.
[emoji3][emoji3]Putin kafanya utani wa kitoto sana hapo Kyiv
[emoji1787][emoji1787]Putin atafanikisha malengo yakee bila shida yoyoteView attachment 2182850
@Morogoro kaskazini ndiyo alikuwa bingwa wa kuleta hiyo ramani ya update.Wekundu wote ule in and around Kyiv umepotelea wapi tena mkuu?
@Morogoro kaskazini ndiyo alikuwa bingwa wa kuleta hiyo ramani ya update.
Sawa wachambuzi ngoja tuendelee kusubiri muda.
Ok,Penye mwonevu na mwonelewa kelele huwa hazisubiri.
Unapigana na kitoto cha miaka 3 tukusubirie wewe? Ili ufanye nini ndugu?
Tutakuvaa tu. Tena kwa umoja wetu. Kwa marungu, fimbo, kucha, meno na hata kwa mawe.
Habari ndiyo hiyo.
Ni nani dhaalim kati ya puttin au marekani/Nato and israel dhidi ya mataifa ya kiarabu, Afrika na Asia?Kwa hakika haijali gharama ila udhwalimu kushindwa ni jambo la kujivunia kwa kila mpenda haki:
View attachment 2182524
Nani alitegemea kutembea kwa miguu mitaani leo Kyiv na Mrusi akiwa 20km tokea mjini kati majuzi juzi tu?
Kwani kwetu si barabara na mitaa hufungwa? Chopper juu Kwamba tukujiridhisha?
Kama warusi walikuja na manywele vichwani kwa hakika watakuwa wameondoka na vipara.
Chonde chonde haki kwa wote ndiyo ulio msingi wa maisha.
Yuko wapi Putin na udhwalimu wake?
Udhwalimu uwao wote utashindwa!