Ukraine kufikia hapa, Pigo kubwa kwa Urusi na Madhwalimu wote

Uongo, hana hizo pesi za kuwapa, wataishia kwenye concentration camps tu huko Siberia wakija kudai pesa zao baada ya kurudi vitani.
 
Kama kafikia hatua ya kuwaajiri mamluki napenda sana ISIS, na ALISHABAAB wakubali mualiko
Hawa miamba achana nao. Wakikushindwa frontline wanajivisha vest tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wacha kabisa mtiti wao..
 
Putin atafanikisha malengo yakee bila shida yoyote
 
Hawa miamba achana nao. Wakikushindwa frontline wanajivisha vest tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wacha kabisa mtiti wao..
Hawa ni hodari kwenye vita ya kujificha iila sio frontline face to face tena na makomandoo

Hawa ni wababe kwasababu hawatambuliki identity yao unaweza kupanga mbinu za kuwazuia bila kujua nao wamehudhuria mkutano huo
 
Hawa ni hodari kwenye vita ya kujificha iila sio frontline face to face tena na makomandoo

Hawa ni wababe kwasababu hawatambuliki identity yao unaweza kupanga mbinu za kuwazuia bila kujua nao wamehudhuria mkutano huo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unanikumbusha tanga kuna jamaa alikua msoma abladiri kwenye albadiri anayosomewa yeye.

[emoji3][emoji3][emoji3]

Hivi ule msafara wa kijeshi wa urusi wa kilometa zaidi ya 60 kuelekea kyiv uliishia wapi?
 
Lakini uliyemquote alikuwa anafanya sarcasm kwa Pro Russia,otherwise uko sawa kabisa kwa ulivyofafanua hapa.
 
Sawa wachambuzi ngoja tuendelee kusubiri muda.

Penye mwonevu na mwonelewa kelele huwa hazisubiri.

Unapigana na kitoto cha miaka 3 tukusubirie wewe? Ili ufanye nini ndugu?

Tutakuvaa tu. Tena kwa umoja wetu. Kwa marungu, fimbo, kucha, meno na hata kwa mawe.

Habari ndiyo hiyo.
 
Ni nani dhaalim kati ya puttin au marekani/Nato and israel dhidi ya mataifa ya kiarabu, Afrika na Asia?

Huwa mnajitoa ufahamu/upofu kana kwamba wao ni wasafi!! Wamemtembelea UKRAINE na kutaka kumpa sapoti kwakuwa ni ndugu yao, lakini nchi za kiarabu hawakuthubutu kufanya haya, kwa maana wale ni wanyama tu hawana faida kuishi acha wafe, na waendelee kuuza silaha na kupora rasilimali zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…