Ukraine kufikia hapa, Pigo kubwa kwa Urusi na Madhwalimu wote


Ya Mmarekani yanatoka wapi hapa sasa?

Kuna vita Ukraine na Urusi. Hapa kuna mwonelewa na dhwalimu.

Kama unataka tuwaongelee hao si tuanzishe nyuzi za vita vya Afghanistan, Gaza au Libya?

Huko nako tutamkomalia mchokozi kama tunavyo komaa na Mrusi hapa. Uhalali wa vifo vya watu hapa anaupata wapi?

Kumbuka hata Amini naye alikuwa dhwalimu kwetu.

Pasipo na kumung'unya maneno, madhwalimu wote hata wewe kama ni mmoja wao, tunawalaani bila exception.
 

Wakati iraq, Afghanistan, Libya, Syria wanavamiwa na mataifa dhaalim mlithubutu kupiga kelele na kulaani mauwaji hayo, na isitoshe baadhi ya viongozi wao kuuawa kinyama!! Leo hii ukrein ameingiliwa na Mrusi mnapiga kelele!! Mlikua wapi wakati mataifa ya kiarabu yanavamiwa, inaonekana mlifurahia sio!!

Kuhusu Idi Amini, mlitulisha sana uongo mara oh alikua akila nyama za watu n.k, uongo mtupu. Allah amrehemu na amuingize peponi Ndugu yetu Idi Amini.

Nyerere atakipata anachositahili mbele ya Mwenyezi Mungu.
 
Mji mweupe! Hakuna mishe za watu! Hakuna uhuru either wamejifungia ama wamekimbia mji! Naona kakikundi ka watu wachache kakitembea nako kana mashaka mashaka! Nchi imetekwa na magharibi, Zele na Ukraine wategemee kuwa watumwa wa Magharibi!! Ningekuwa mimi nisingerusha video hii! Wenye macho tumeona msivyoona msio na macho!
 
Ukitaka tuamini maneno yako na kwamba wewe si mnafiki wa kumung'unya maneno anza kwanza kulaani udhalimu wa Marekani wa miaka mingi amefanya juu ya mataifa mbalimbali! Hapo tutakuamini! Vinginevyo wewe pia ni kibaraka wa Magharibi!
 
Umeishia kuua raia, kufanya ubakaji na ujambazi tu huko Bucha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unanikumbusha tanga kuna jamaa alikua msoma abladiri kwenye albadiri anayosomewa yeye.

[emoji3][emoji3][emoji3]

Hivi ule msafara wa kijeshi wa urusi wa kilometa zaidi ya 60 kuelekea kyiv uliishia wapi?
 
Hivi ule msafara wa kijeshi wa urusi wa kilometa zaidi ya 60 kuelekea kyiv uliishia wapi?
😂😂😂
Ule msafara ulisambaratishwa na wapiganaji mashujaa wa Zelensky.. vifaru vingi vya Urusi vimeharibiwa na kutelekezwa, vinaota tu kutu!

Ila Zelensky ni shujaa. Angekuwa laini laini, ule msafara wa 64km ulitosha kumkimbiza kwa hofu
 
Ukitaka tuamini maneno yako na kwamba wewe si mnafiki wa kumung'unya maneno anza kwanza kulaani udhalimu wa Marekani wa miaka mingi amefanya juu ya mataifa mbalimbali! Hapo tutakuamini! Vinginevyo wewe pia ni kibaraka wa Magharibi!

Nilaani mara ngapi ndugu?

Wapenda haki watailaani Urusi kwa uvamizi wake Ukraine

Udhwalimu ni udhwalimu tu hata kama dhwalimu ni Tanzania, CCM, wewe au awaye yote.
 
😂😂😂
Ule msafara ulisambaratishwa na wapiganaji mashujaa wa Zelensky.. vifaru vingi vimeharibiwa na kutelekezwa, vinaota tu kutu!

Ila Zelensky ni shujaa. Angekuwa laini laini, ule msafara wa 64km ulitosha kumkimbiza kwa hofu

Vita vya ukombozi ni vita vitakatifu
 
Huo wekundu haujawahi kutokea kama umewahi kutokea weka evidence hapa hiyo Ukraine soon inabaki bila bahari

Huu sasa si unataka kuufanya kuwa ushabiki kama wa Namungo na Police FC?
 
Utaskia "hizo ni propaganda za western na NATO ila kiukweli Ukraine imechapika yani hakutamaniki"
Kuna wakati nahisi hata zelesky anatumika kuihujumu ukraine......kuna kila dalili urusi haina haja ya kumuua kumkamata wala kushambulia ikulu japo uwezo wanao.
 

Hapa sasa unauliza maswali au unauliza majibu?

Hatujaacha kumpigia kelele dhwalimu popote. Hatujaacha kupiga kelele kuhusu victims.

Kwani Ndugai yuko wapi? Aliko ni huru, hai, mfungwa au mfu?

Umewahi hata kuhoji wewe kumhusu huyu bwana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…