Ukraine kufikia hapa, Pigo kubwa kwa Urusi na Madhwalimu wote

Urusi ni supa pawa wa mchongo
 
Hapa sasa unauliza maswali au unauliza majibu?

Hatujaacha kumpigia kelele dhwalimu popote. Hatujaacha kupiga kelele kuhusu victims.

Kwani Ndugai yuko wapi? Aliko ni huru, hai, mfungwa au mfu?

Umewahi hata kuhoji wewe kumhusu huyu bwana?

Wewe na chama lako la kikanda hampaswi kuongoza nchi
Una dhani dunia inaendeshwa kienyeji sio ?

Yani wabongo cjui wanazipata wapi hizi taarifa 😁
 

Iddi Amini alikuwa nduguyo?

Mnapojitahidi kuikimbia haki mnaweza sema lolote leo ikibidi hata kumnanga Nyerere.

Mmeangaziwa sana humu:

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

Hiiiiii bagosha!
 
Una dhani dunia inaendeshwa kienyeji sio ?
Hapana mkuu, CHAWA wa putin ndo wanadhani hivyo.. cheki hapo chini:
Russia Must Pay Reparations by Anders Åslund - Project Syndicate
 
Iddi Amini alikuwa nduguyo?

Mnapojitahidi kuikimbia haki mnaweza sema lolote leo ikibidi hata kumnanga Nyerere.

Mmeangaziwa sana humu:

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

Hiiiiii bagosha!

Ndoho bhabha,,,Hakuna rais asiekubalika kama nyerere. Hakuna cha maana alichowafanyia watanzania, alikua mkandamizaji tu.

So, idi amini dada kumfananisha na nyerere sio sawa, Allah amrehemu na amuingize katika pepo ndugu yetu amini.

Nyerere huko aliko atakipata anachositahili.

MWINYI✔✔
SSH✔✔
KIKWETE ✔✔
MKAPA✔❌✔
MAGUFULI✔❌✔
NYERERE❌❌❌❌❌
 

Rudi Lumumba kawaambie, HAYADANGANYIKI!

Mnapopumua "uzuzu,"

Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Wengine tunapumua "haki."
 
Kwani mzee wewe ukienda front line halafu ukafa, familia yako itaenda urussi kumdai putin?? Hiyo ni bait tu watakaojitolea wachache sana watalipwa
 
Rudi Lumumba kawaambie, HAYADANGANYIKI!

Mnapopumua "uzuzu,"

Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Wengine tunapumua "haki."

Haki haitafutwi kwa style hii,, mmeanza kuijua haki kwa Zelensky sio! Nchi za kiarabu, afrika na asia mlikua wapi wakati zinavamiwa na wamagharibi? Gaddafi mpaka anauawa hakuna aliethubutu kuingilia sio AU wala nani! Afrika ni afrika tu.

Angalau utatu huu ulisikika kidogo japo haukusaidia chochote
1 Magu
2 M7
3 Mugabe
 
Kwani mzee wewe ukienda front line halafu ukafa, familia yako itaenda urussi kumdai putin?? Hiyo ni bait tu watakaojitolea wachache sana watalipwa
Mtonyo wa milion 100 unatolewa kwa familia siku ambayo unaanza majukumu, kinachofuata hapo ni mshahara wa mwisho wa mwezi ambao hata ukidhurumiwa sio mbaya
 
Kwasaababu Iddi amin alikuwa muislam mwenzio sio??
Nimeona maraisi uliowawekea X wote ni wakristo
Kwahyo kwako udini unatangulia mbele ya utanzania
Kesho waarabu wa saudia wakituvamia na kuanza kutuchinja kwa jina la Allah utachekelea mno
 
Idi amini ni ndugu yangu

Nyerere hana undugu na mimi

Ndugu na Iddi Amini ana undugu na Shweitani. Huyo hatujadili naye bali humkemea.

"Pepo pepo, kemea pepo!" 🎼🎼
 
Kwasaababu Iddi amin alikuwa muislam mwenzio sio??
Nimeona maraisi uliowawekea X wote ni wakristo
Kwahyo kwako udini unatangulia mbele ya utanzania
Kesho waarabu wa saudia wakituvamia na kuanza kutuchinja kwa jina la Allah utachekelea mno

Waislamu wana imani wewe, lazima tuongee ukweli,, japo inauma kwenu. hii nchi ikiongozwa na kafiri balaa tupu, dhulma, ukandamizaji, watu huuawa na wasiojulikana, utaifishaji wa mali/viwanda hufungiwa n.k.,,,Muislamu akiingia huoni huu upumbafu.

Wapo wakristo wanatambua hili, na wanatamani waislamu wawe wanatuongoza.
 

Uko chobingo wapi kufuatilia nini nani ameandika wapi?

Tafuta kazi ya kufanya mjomba.

Al-Shabab, Al-Qaida, Dayesh au ISS kwa jina la Allah ni upuusi mtupu.

Zingatia: Ipo tofauti kubwa baina ya dini na makundi hayo.
 

😂😂

Utakuwa umepotea njia mjomba.

Kwa kutangaza dini bonyeza *154*00#.
 
Kesho waarabu wa saudia wakituvamia na kuanza kutuchinja kwa jina la Allah utachekelea mno

Unadhani waarabu ni wamagharibi/waisrael?? Waarabu ni wastaarabu na wakarimu kuliko wala nguruwe, na wanahofu na Allah, na uislamu haujatufundisha kumuanza adui ila yeye atakapokuanza.

Hapo kwenye nguruwe usininukuu vibaya, sio wote wala nguruwe.
 
😂😂

Utakuwa umepotea njia mjomba.

Kwa kutangaza dini bonyeza *154*00#.

Kina ben saa nane wamepotezwa awamu ya nani?
Hebu nitajie viumbe waliopotezwa na awamu za waislamu,,kutaifisha mali za watu, viwanda na kubambikiwa kesi.!!!
 
Kina ben saa nane wamepotezwa awamu ya nani?
Hebu nitajie viumbe waliopotezwa na awamu za waislamu,,kutaifisha mali za watu, viwanda na kubambikiwa kesi.!!!

Kwani Job Yustino Ndugai yuko wapi ndugu?

Ninakazia: kutangaza dini bonyeza *154*00#.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…