Ukraine kufikia hapa, Pigo kubwa kwa Urusi na Madhwalimu wote

Kwani Job Yustino Ndugai yuko wapi ndugu?

Ninakazia: kutangaza dini bonyeza *154*00#.

Ndiyo ukubali waislamu hawana tabu na mtu, uislamu ni amani, uisilamu unatuhimiza kupendana na sio kuchukiana.

Hii nchi ingelikua inaongozwa na waisilamu tupu yasingetokea yote haya, ukatili, unyanyasaji wa aina yoyote, kuchoma wezi, ujambazi, kuuwa wasio na hatia, kupora/kuiba mali za watu, kutoana kafara n.k yasingetokea
 
Hii video ni propaganda hapo ni UK hapo
 
Hii video ni propaganda hapo ni UK hapo

Hata Putin hajathubutu kulitamka hilo.

Hapo ndipo utambue kuwa NATO ndiyo wanaodhibiti anga la Ukraine.

Habari kamili kuwa Putin anakabiliwa na ukweli mpya.
 
Kwani vita imeisha ukraine?
 
Zelezinky ni simple man very charismatic president.
 
Hebu tuonyeshe mahali ambapo Putin alisema mwanzo wa vita lengo ni kuitoa serikali iliyopo madarakani, au kuiteka Ukraine yote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…