Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Bado URUSI hajatangaza Vita lakini Tayari Zelensky keshaomba Msaada kila pande ya Dunia!
Leo watu Wamagharibi wanataka Sisi watu Weusi tuwaunge mkono kuinyanyasa URUSI!
Ulaya na Marekani wanaipa msaada Ukraine wa kila kitu ili kuidhibiti hii Operation ya kijeshi!
Lakini watu wanazidi kuikimbia Nchi yao,Rais wao yuko desperate!

Mungu aepushie mbali isitokee URUSI akatangaza VITA na Ukraine pamoja na Washirika wao!
Huko Ulaya kutageuka Majivu.
Hakutakuwa na Mshindi.
Dunia itakuwa ngumu sana kuishi.
 
Atakapokubali kushindwa na nchi ipo total destroyed..uje tena na bandiko lingine la kumponda kwa kufanywa jinga na Western
Ukraine sio wajinga, siku zote kunakofuka moshi ujue kuna moto Huu ni ugomvi wa ndugu umeanza kitambo sana, wamesimama kulinda uhuru wa nchi yao, wamekubali kufa kuliko kusurrender kwa Mrusi, kwa akili yako ulitaka wajisalimishe kizembe. Wewe inawezekana huwezi hata kuua nyoka akivamia nyumba yako utaikimbia na kwenda kulala nje
 
Ulichokiona mpaka sasa ndio uwezo halisi wa Russia kwenye vita. Nadhani Putin anamshukuru Mungu alinzisha vita na nchi kama Ukraine, angeanza kwa NATO ingesababisha Urusi kutekwa yote tena ndani ya muda mfupi.
 
vijana wa kibongo niwaoga waoga ndio wanaongoza kuwashauri waukraine wajisalimishe wangejiuliza nyerere angejidalimisha kwa idamin leo ingekuwaje
Kwa sababu hawajali national integriy pia inferiority complex ni tatizo, lakini wenzetu wa ng'ambo kufia vitani kwa ajili ya nchi yao kitu cha kawaida, vijana wa Zamani walitembe kilometre nyingi sana kwa mguu kumuadabisha idd Amini baada ya kuvamia nchi yetu, lakini vijana wa leo hawana uwezo hata wa kuoa fisi akivamia zizi la ng'ombe
 
Wanasema Mungu amewashukia Ukraine maana wanajeshi wa Russian wanasaidia kuwamaliza wenzao... Yani wameamua kulinajisi Taifa lao la Rassia...
 
Vipi Iraq,Syria na Afghanistan kwenyewe hakukuharibiwa?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasema Mungu amewashukia Ukraine maana wanajeshi wa Russian wanasaidia kuwamaliza wenzao... Yani wameamua kulinajisi Taifa lao la Rassia...
Inasikitisha sana, yaani top down decision sio jambo jema sana kwenye dunia ya leo, kuna mawasiliano ya wanajeshi ya Russia yamevuja yanatia huruma Sana, maana baadhi ya makombora yanawaangukia wao wenyewe, na taarifa zingine japo nivigumu kudhibitisha kuwa unit zilizogoma kusonga mbele zimenyimwa supply zijifie zenyewe
 
Vipi Iraq,Syria na Afghanistan kwenyewe hakukuharibiwa?.

Sent using Jamii Foru

Vipi Iraq,Syria na Afghanistan kwenyewe hakukuharibiwa?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uonezi wowote unaofanywa na yoyote lazima upigwe, haimanishi beberu mkuu alikuwa right kuivamia afighanistan japo kwa kipindi hicho ilikuwa imegawika na issue za Taliban na Sharia law, kuhifadhi magaidi na kadhalika hata Russia mwenyewe alishawahi kuivamia afighanistan akachakazwa akaondoka, ila sasa Russia kuivamia ukraine kume expose uwezo wa mabeberu kwenye kupika propaganda na uwezo pia wa ukraine kupambania nchi yao
 
Hizi mashine nazisikia sana ktk hii vita, inasemekana hazikosei kabisa.
Achana ni hizi mzee baba kuna uzi jamaa kaandika kuwa zama za vifaru zimefika mwisho maana vinakaangwa sio mchezo, technical specifications zake ni habari nyingine, yaani ni automatic ukichungulia tu ukipata target ukapiga imo
 
Na inashika namba 4 ktk silaha za kuangusha vifaru, sasa fikiria kuhusu hiyo namba 1 ya mfaransa.
Wafaransa hawatajwi lakini wako vizuri kwenye kuunda silaha, wanaunda fighting jet bora zaidi duniani rich beberu mkuu anakuwa overrated na f 35 zake
 
Hiki unachoomba ndicho nami ninachoomba.
 
Ulichokiona mpaka sasa ndio uwezo halisi wa Russia kwenye vita. Nadhani Putin anamshukuru Mungu alinzisha vita na nchi kama Ukraine, angeanza kwa NATO ingesababisha Urusi kutekwa yote tena ndani ya muda mfupi.
Unless akimbilie nuclear.
 
Kwenye vita ya pili ya dunia US walikuwa na kikundi kinaitwa Ghost army, kilikuwa kinafanya propaganda na matokeo ya kumfanya mgermany achanganyikiwe.
Mfano kutengeneza vifaru fake kumbe ni mabaloon yamejazwa upepo n.k
 
Kwenye vita ya pili ya dunia US walikuwa na kikundi kinaitwa Ghost army, kilikuwa kinafanya propaganda na matokeo ya kumfanya mgermany achanganyikiwe.
Mfano kutengeneza vifaru fake kumbe ni mabaloon yamejazwa upepo n.k
Hii mbinu waliitumia hata waingereza, wanaweka vifaru fake kuzitega ndege Germany maana zilikuwa hatari zana pilot wake walikuwa trained kwelikweli, Germany hatajwi lakini hawa jamaa wakiamua kulejenga jeshi lao niwadeadly balaa
 
Hii mbinu waliitumia hata waingereza, wanaweka vifaru fake kuzitega ndege Germany maana zilikuwa hatari zana pilot wake walikuwa trained kwelikweli, Germany hatajwi lakini hawa jamaa wakiamua kulejenga jeshi lao niwadeadly balaa
Pia uingereza walitegesha maiti wameivisha gwanda la kjeshi ikiwa na vtambulisho ma briefcase yenye masterplan ili kumlaghai mgermany na kweli akaingia king kwa kudhani wana mpango wa kuvamia sehemu nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…