Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #61
Elewa.watu hawasemi Ukrain kashinda.ila tunashangaa why 2 yrs now?ilipaswa iwe ndani ya week au 72 hrs kama ambavyo alisema Putin. Hatukutegema Ukraine itaanza shambulia Russia.yaani Temeke Market inacheza na Barcelona au Man United.nayo inashambulia?ilipaswa ijilinde tu kupunguza idadi ya magoli.Unaongea kana kwamba russia kashindwa,kumbe kateka 20+%ya ukraine,huko kursk husikii CNN wakidai ukraine kusonga,jua kichapo siyo cha mchezo
Kwa hiyo Putin alikuwa anajitekenya na kucheka mwenyewe?tusipomuamini Putin tukuamini wewe sasa? Yaani Jasusi kama Putin asiaminike.We uliamini nchi yenye ukubwa wa ukraine kutekwa kea siku TATU?..vita vina propaganda zake,kwanza walisema ni smo,na lengo si kuiteka nchi yote,kuteka nchi siyo smo
Dogo haya yote unalishwa na Ustaadhi Kitinku na Sheikh Kubemendea. Huelewi kitu. Nenda kawaulize jana kwa nini waligombana nami kwenye lile group letu. Za kuambiwa changanya na zako usiwe kama Mbayuwayu....Comment za waswahili humu zinachekesha sanaπππππππ.
Eti mtu anadiriki kuropoka eti Putin hana nguvu ana nguvu za media tu.
Aish aisee embu punguzeni kuropoka aisee.
Wakati mnaongea hivyo hiyo Russia imefanya yafuatayo kwa Ukraine licha ya Ukraine ikiwa inasaidiwa na NATO;
-Russia imeiteka Donbas,Donetsk,Kharkiv na Mariupol.
-Russia ime dismantle jeshi la Ukraine kiasi Ukraine ilikua ikikamata raia barabarani kwa nguvu ili waingie jeshini.
-Russia keshawapiga Ukraine na kukamata vifaa vya NATO ambavyo Ukraine alipewa vikiwemo vifaru vya Abrahamas na Leopard 2.
Mtu unashindwa kujiuliza Ukraine ameshindwa kukomboa maeneo yake kwa jeshi lake hilo hilo leo hii aje amtikise Russia ndani ya ardhi yake!!??
Na alichokosea zaidi ni kukigawanya kikosi kingine kwenda Belgorod,ilhali man power ni ndogo.
Hao Ukraine wamejipeleka katika kifo soon mtakuja kusoma habari zingine hapa.
Yani ardhi yako ushindwe kuitetea halafu uende ukateke ardhi ya mwingine!??
Wacheni kuwaza kama WAPUMBAVU.
ngoja tujekupiganishwa na visiwani sijui itakuajeUrusi na Ukraine ni wamoja wale wanapiganishwa na USA(NATO) yule Putin kaingia miguu mibovu mchina alitaka kupiganishwa na Taiwani kwa kuwa Wachina akili nyingi wamechungulia wakaona hapa sipo ni kuendelea kupiga mikwara tu..
na ndio ukawa mwisho wakeYule muhuni alikua mpishi wake kwa kuwa alikua anamwamini akampa dili la kusimamia biashara ya madini kutoka kwenye Nchi zenye vita Afrika baadae alipoanzisha vita akamrudisha kwa kuwachukua wafungwa na vijana ili wakapigane yaani muhuni akawa anapewa pesa baadae muhuni akaanza kelele kuwa hawapewi siraha za kutosha askari wake wanakufa hovyo na ndio kikawa chanzo cha muhuni kuitaka Ikulu ya Moscow...
Sawa bwana Putin πππ umeipata kijiwe gani mkuuComment za waswahili humu zinachekesha sanaπππππππ.
Eti mtu anadiriki kuropoka eti Putin hana nguvu ana nguvu za media tu.
Aish aisee embu punguzeni kuropoka aisee.
Wakati mnaongea hivyo hiyo Russia imefanya yafuatayo kwa Ukraine licha ya Ukraine ikiwa inasaidiwa na NATO;
-Russia imeiteka Donbas,Donetsk,Kharkiv na Mariupol.
-Russia ime dismantle jeshi la Ukraine kiasi Ukraine ilikua ikikamata raia barabarani kwa nguvu ili waingie jeshini.
-Russia keshawapiga Ukraine na kukamata vifaa vya NATO ambavyo Ukraine alipewa vikiwemo vifaru vya Abrahamas na Leopard 2.
Mtu unashindwa kujiuliza Ukraine ameshindwa kukomboa maeneo yake kwa jeshi lake hilo hilo leo hii aje amtikise Russia ndani ya ardhi yake!!??
Na alichokosea zaidi ni kukigawanya kikosi kingine kwenda Belgorod,ilhali man power ni ndogo.
Hao Ukraine wamejipeleka katika kifo soon mtakuja kusoma habari zingine hapa.
Yani ardhi yako ushindwe kuitetea halafu uende ukateke ardhi ya mwingine!??
Wacheni kuwaza kama WAPUMBAVU.
Unaweza kushangas hata mapambano hapo Kursk yakachukua miakaElewa.watu hawasemi Ukrain kashinda.ila tunashangaa why 2 yrs now?ilipaswa iwe ndani ya week au 72 hrs kama ambavyo alisema Putin. Hatukutegema Ukraine itaanza shambulia Russia.yaani Temeke Market inacheza na Barcelona au Man United.nayo inashambulia?ilipaswa ijilinde tu kupunguza idadi ya magoli.
Putin alibet, he did not expect Marekani ataisupport Ukraine kwa muda mrefu na hela nyingi.Putin alichukulia hii vita ingekuwa rahisi jinsi alivyoichukua Crimea 2014 kama anamsukuma mlevi bila NATO kuingilia.
Akadhani itakuwa hivyo 2022. TISS Yake ikamdanganya kwasababu walimtania hadi Zelensky ni comedian ndo maana akasema 72 hours anamaliza vita.
Unakumbuka siku ya kwanza ya vita anaivamia Ukraine akachimba mkwara anaingia Ukraine na yeyote ataingiza pua kitakachomtokea hata kwenye Historia wameshangaa.
Alipoona maji yamezidi unga akaanza mkwara wa nyuklia satan 2 sijui mini.
COMEDIAN ANAMJAMBISHA MTU SERIOUS PUTIN.
sasa we huoni hapo urusi anapigana na marekani na washirika wake wote,,angekua marekani peke ake vita ingekua imeisha asubuhi tuTuliaminishwa Ukitoa USA mbabe mwengine wa kivita Duniani ni Urusi. Kwamba Dunia nzima anaemuweza USA ni Urusi tu. Na anaemuweza Urusi ni USA tu.
Hata kama Urusi huyu sio yule wa enzi za Mikhail Gorbachev lakini bado alibeba asilimia kubwa ya nguvu ya iliyokua USSR.
Kwamba USA akiamua kupiga mkono na nchi ingine ile Duniani isiyo USSR ni dakika tu mtu chali, vile vile Kwa Urusi. Hii vita ya Ukraine inafikirisha sana Kwa kweli.
Ina maana hakuwa na taarifa nzuri za kiintelejensia.au alikuwa anadhani ule mkwara wake kuwa Ukraine wakisaidiwa atatumia Nuklia ungeendelea kuwaogopesha NATO? JAMAA WAME MJARIBU WAMEMUONA anawezekana kabisa.hata akimpiga Ukraine bado ame ji expose kuwa si wa kutisha kiasi hicho.Putin alibet, he did not expect Marekani ataisupport Ukraine kwa muda mrefu na hela nyingi.
Kumbe Marekani na Makoloni yake walikuwa wameiwaza vita Miaka mingi mbele
Mkuu si unajua hata huku mtaani, ukiona mtu anatamba yeye mtemi hababaishwi na mtu mara nyingi anakuwa anajihami hana lolote!Mimi nimekuwa Pro Urusi na Irani kwa muda mpaka nilipoanza kupata akili. Nikagundua Marekani wana akili. Huwaoni wakionesha silaha zao hovyo hovyo. Wanazificha. Irani , Korea, Urusi, China wanapenda kuonesha Silaha kuwatisha watu.
Nimejifunza kitu kwa kweli. Sasa tumechanganyikiwa hatujui tumshike nani. Urusi ametunyong'onyesha,China suala la Taiwan tulitegemea ingewasha moto.... Leo hii Urusi ya kusaidiwa silaha na Irani kweli?ya kukodi wanajeshi wahuni na wafungwa?Mkuu si unajua hata huku mtaani, ukiona mtu anatamba yeye mtemi hababaishwi ma mtu mara nyingi anakuwa anajihami jana lolote!
Ungemsikia idd amin alivyotamba wakati vita vinaanza ungejua hiyo ni kawaida vitani,kwa amin,ilikua anafika dar ndani ya muda nfupi tuKwa hiyo Putin alikuwa anajitekenya na kucheka mwenyewe?tusipomuamini Putin tukuamini wewe sasa? Yaani Jasusi kama Putin asiaminike.
Lengo la russia siyo kuiteka nchi,smo haziwezi kuwa kuteka nchi nzimaElewa.watu hawasemi Ukrain kashinda.ila tunashangaa why 2 yrs now?ilipaswa iwe ndani ya week au 72 hrs kama ambavyo alisema Putin. Hatukutegema Ukraine itaanza shambulia Russia.yaani Temeke Market inacheza na Barcelona au Man United.nayo inashambulia?ilipaswa ijilinde tu kupunguza idadi ya magoli.
Mbona haujawaza wahuni wa Israel walivyomuua kiongozi wa HAMAS ndani ya ardhi ya Iran, udhani Iran ni wanyonge kwa IsraelHili jambo lilinishangaza sana. Kundi tu la wahuni liliamua kuwa linataka kumwondoa na ikabidi akimbie kujificha. Kuna mambo nashindwa yaelewa kabisa kuhusu Putin. Jinsi ambavyo tumekuwa tumiaminishwa na uhalisia kwa sasa ulivyo. Kuna tatizo sehemu. Au huyu si Putin Original?
Bro hii kabali hautaki jamaa hata aheme? ππSiyo haya sawa usikubali kizembe hivyo wewe fafanua kwanini unahisi Putin leo kuelemewa kwake na mbungi ndiyo kumemfanya aanze kuheshimu haki za binadamu?
Kijiwe gani kivipi!?Sawa bwana Putin πππ umeipata kijiwe gani mkuu
Unanikumbusha MakRegan wa Ze Komedy alivyokiri kulawitiwa kwa mbinde ππHali mbaya ya nini!?..hapo jimbo la kursk penyewe watu wako wanna km za eneo 1000,jimbo ni kubwa
Kipanki ndo anamdanganyaHili jambo lilinishangaza sana. Kundi tu la wahuni liliamua kuwa linataka kumwondoa na ikabidi akimbie kujificha. Kuna mambo nashindwa yaelewa kabisa kuhusu Putin. Jinsi ambavyo tumekuwa tumiaminishwa na uhalisia kwa sasa ulivyo. Kuna tatizo sehemu. Au huyu si Putin Original?