Ukraine ndani ya Urusi, inataka kumwondoa Putin Madarakani? Je hii ni dalili ya World War III?

Umeandika kama mlevi wa gongo.
 
Unaweza ukaleta ushahidi wa Putin kusema atamlipua mtu na Nuclear!?
Nasubiri hapa.
Russia ana vita na Ukraine ulitaka aanzishe vita za hovyo na nchi za NATO!?
Aisee unaongea nini we jamaa!!

Unaweza ukaleta ushahidi wa Putin kusema atamlipua mtu na Nuclear!?
Nasubiri hapa.
Russia ana vita na Ukraine ulitaka aanzishe vita za hovyo na nchi za NATO!?
Aisee unaongea nini we jamaa!!
 
NATO hapigani na Russia kwanza achana na uongo. Abraham tanks hazizidi 30 alizopewa Ukraine na leopard hazifikk 200 je ndio silaha unazose.a?
F-16 hazijaanza kutumika
Rocket qalizopewa Ukraine haina range ya lm400 upo hapo?
 
Unaweza ukaleta ushahidi wa Putin kusema atamlipua mtu na Nuclear!?
Nasubiri hapa.
Russia ana vita na Ukraine ulitaka aanzishe vita za hovyo na nchi za NATO!?
Aisee unaongea nini we jamaa!!

Unaweza ukaleta ushahidi wa Putin kusema atamlipua mtu na Nuclear!?
Nasubiri hapa.
Russia ana vita na Ukraine ulitaka aanzishe vita za hovyo na nchi za NATO!?
Aisee unaongea nini we jamaa!!
 
Yule jamaa kilaza sana.alikuwa anatudanganya sana. Mpaka nikaanza kuwapenda Russia. Maana aliwajenga sana hawa jamaa.
Mara ya mwisho kumsoma ni pale alikuja na excavator ndogo zinabeba siraha zinazunguka mtaani huku anaezi control yupo Moscow nikasema hapa hapa anishushe ni kama Pray station sasa...
 
lengo la Urusi lilikuwa lipi ? kipind anavamia Ukraine
 
Habari yenyewe sky news hahhahah nyie tafuteni habari za maana hao wanajeshi wa Ukraine saivi wanajuta wanalia kilichowatuma kuingia kursk
Ok, kama huamini Sky News, habari za team kobaz, Aljazeera hizi hapa chini, na zinaendana tu...
--------------------
Russia evacuates thousands from Kursk as Ukrainian forces advance

Russian authorities have been evacuating thousands of civilians from the Kursk region as Ukrainian forces advance after a surprise incursion aimed at compelling Moscow to slow its progress along the rest of the front lines.

Kursk’s acting governor, Alexei Smirnov, said the Glushkovo district, which has a population of 20,000 and is 20km (12 miles) from the front, was being evacuated on Thursday.

At least 200,000 people have so far been moved from the border regions, according to Russian officials.

 
Swala zima ilikuwa UKRAINE kujiunga na NATO. je swala hilo lipoje kwa sasa? Nani mshindi baina ya zelensk na putin mpaka sasa?
 
Mara ya mwisho kumsoma ni pale alikuja na excavator ndogo zinabeba siraha zinazunguka mtaani huku anaezi control yupo Moscow nikasema hapa hapa anishushe ni kama Pray station sasa...
Jamaa ni muongo muongo sana.siku hizi hata uchambuzi uchwara ameacha.maana alikuwa anatuaminisha mambo utasema yeye ndo mshauri wa Putin. Sasa anakosa la kusema. Alikuwa anaandika kwa mahaba sana. Si uhalisia. Akasababisha wengi tuipende Russia. Kumbe kila mtu huwa ana akili mpaka akianza kuropoka ndo unagundua otherwise.
 
Another bridge was blown up in the village of Zvane in Kurshchyna, Kursk region, russia. One more left.
 
NATO hapigani na Russia kwanza achana na uongo. Abraham tanks hazizidi 30 alizopewa Ukraine na leopard hazifikk 200 je ndio silaha unazose.a?
F-16 hazijaanza kutumika
Rocket qalizopewa Ukraine haina range ya lm400 upo hapo?
Ona huyu anaongopa mchana kweupe.
Germany alipeleka leopard tanks za aina mbili pale Ukraine.
Leopard 1 250+.
Leopard 2 130+.
Ukiachana na hivyo hizo patriot missiles defence system zilipopelekwa hawakukabidhiwa tu hao Ukraine wakaanza kuzitumia bali kuna wanajeshi ambao walikuwa wakiwafundisha na kuwapa mafunzo ya hizo defence system na wao wakishiriki pia.
Sio kila silaha ambayo Ukraien alipewa alifikia tu kuitumia,zingine wahusika walikua wakim monitor kuzitumia.
NATO imekua ikimpa sapoti Ukraine politically and economically unconditional aid hadi sasa.
Hivyo ni sawa na kusema Russia anapigana na NATO.
Kwasababu nchi za mataifa ya EU/NATO zimekua zikituma silaha na rasilimali watu wa kuziongoza hizo silaha hadi leo hii.
 
Mimi nilidhani ni utani tu. Ila naona angalau wamepitisha siku. Nilidhani Urusi itawafyekelea mbali within a day. Ila pengine Wapinzani wa Putin wameungana nao. Hapo itakuwa balaa
Mashambulizi yanaendelea hasa upande wa Belgorod hali ni mbaya ziadi mara kumi ya Kursk.
Mayor mwenyewe wa Belgorod kajificha sasa hivi.
Ila kitendo cha Russia kujivuta kwenye retaliation kinatia mashaka,hatujui Russia atakuja kwa mkakati upi na kwa nguvu ipi ya retaliation.
 
Ndo maana nlikuambia wewe hujui haya mambo. Una mihemko.mimi nlikuwa mfuasi wa Putin kuzidi wewe.
Kijana nikisema wewe ni mpumbavu nakosea!???
Hivi ulikua unafaulu vipi mitihani yako huko shuleni?
Huwa unaelewa kile unachoulizwa!???
Ulisema kuwa Putin alitishia kuyalipua mataifa ya NATO kwa nuclear.Nimekuuliza una ushahidi wa yeye kutishia kutumia nuclear!?
Article nzima inasema tofauti,sijaona sehemu Russia ametishia kutumia nuclear
.
Hata kichwa cha habari kinakuumbua.
Soma elewa swali kijana.
Nataka ushahidi wa Russia kutishia kutumia nuclear??
That is the question.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…