Kijeshi au kivita, Mrusi kapoteza zaidi kwa askari wengi na vifaa vingi (vifaru + ndege) kuangamizwa.
Ukraine imepoteza zaidi kwa miundombinu, majengo mengi kubomolewa, raia wengi kuuawa na kukimbilia uhamishoni.
Akae pamoja na mvamizi! Akili za kicomunist buana! Yaani Nyerere alitakiwa akae pamoja na nduli amini.Ukraine anabahati mbaya sana. Atapondwapondwa mpaka nukta ya mwisho. Hakuna kitu kitasalia. Lawama zote ziende kwa Zelensky, alitakiwa kukaa pamoja na Putin wayamalize.
German, UK, France n.k zimemuacha mbali kiuchumi Russia. Na si tu kiuchumi, hata kiteknolojia. Product za Ulaya sio za kitoto kabisa.Ujinga ni kuamini kwamba hizo Hypersonic sijui Nuclear weapons anazo Russia pekee, NATO na Russia wakiingia vitamin hawachukui hata mwezi.. Russia haitabaki kitu. Russia hata kwa Germany hachomoki. Hapo tu Ukraine kapewa support ya vifaa sio ya Kijeshi na Russia kambwela.. akipata support ya kijeshi itakuwaje?
Kuwa na common sense kijana.
Kwanini Russia asirushe Alaska afu aseme lilikuwa eneo lake la zamani ndo maana amerushaUSA kama yeye mbabe wa Dunia arushe hata risasi Moja katika Ardhi ya Russia halafu washirika wake wakae pembeni vita ipigwe Kati yake na Russia tuone mbabe Nani?...
Eti dunia ya sasa haitaki vita....We ni mpumbavu
Mara ngap amemtaka huyo Putin kichaa wazungumze huyo mshenzi amekataa
Mpumbavu tuu huyo
Dunia ya sasa haitak vita
Mungu hawezi kubariki mvamizi, ndo maana Hadi Sasa anapelekewa moto.Mungu Ibariki Urusi
Kama uchaguzi ukifanyika Ukraine huyu raisi wa sasa hapati kitu.Kijeshi au kivita, Mrusi kapoteza zaidi kwa askari wengi na vifaa vingi (vifaru + ndege) kuangamizwa.
Ukraine imepoteza zaidi kwa miundombinu, majengo mengi kubomolewa, raia wengi kuuawa na kukimbilia uhamishoni.
Russia ni kama kiduku tu, wanajivunia nuclear lakini kavukavu hamna kituGerman, UK, France n.k zimemuacha mbali kiuchumi Russia. Na si tu kiuchumi, hata kiteknolojia. Product za Ulaya sio za kitoto kabisa.
Ukiondoa Manuclear, tukisema zichapwe kawaida tu, UK au German au France, wanaingia mpaka Moscow mapema sana.
Inaonekana jana usiku ulipelekewa moto mpaka wenge limekushika asa unaona na ursi nae anapelewa moto em kaa kwa kutulia afu washa feny jipepelee kwanza huo usweetest ...upoe kwanza maana bado una wenge la jana.....Mungu hawezi kubariki mvamizi, ndo maana Hadi Sasa anapelekewa moto.
Morali na kujitolea kupambana nako unakuzungumzia je?
Ndege hapitishi.Certainly, Ukraine ni zaidi. Urusi wameonyesha udhaifu mkubwa. Tegemeo lao kubwa ni ndege, mizinga na makombora. Ground combat wanazidiwa na Ukraine.
Unatype huku umeshikishwa ukuta, mwambie huyo Basha achomoe kwanza uandike vizuri.Inaonekana jana usiku ulipelekewa moto mpaka wenge limekushika asa unaona na ursi nae anapelewa moto em kaa kwa kutulia afu washa feny jipepelee kwanza huo usweetest ...upoe kwanza maana bado una wenge la jana.....
[emoji1][emoji1] kupata kichekesho hiki andika neno UKUDA kwenda no. 34227Kandari ya usa na nato ipo Moscow Sasa Putin hana muda atakuwa maiti
Certainly, Ukraine ni zaidi. Urusi wameonyesha udhaifu mkubwa. Tegemeo lao kubwa ni ndege, mizinga na makombora. Ground combat wanazidiwa na Ukraine.
Hivi mtu kama huyu alichaguliwaje kua rais?zelensk hakuwa rais aliyechaguliwa na wa Ukraine wenyewe,NI pandikizi la USA &NATO ,alipandikizwa ili a push ku accomplish the mission dhidi ya russia. Thus why haoni hasara yeyote kwa dhiki wanayopitia waukraine .since when US & NATO become a truely friend!!?? Since when !!!???, if you see Americans are close to u ,there something paratable for their stomach!!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji116]Huyo jamaa haombi misaada ila anapewa misaada yote inayohitajika ili vita ipiganiwe Ukraine.
NATO ni sehemu katika vita hivi. Kila mtu anajua hivyo isiyokuwa wewe uliye kenua sawa sawa hapo:
View attachment 2180468
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] aiseeeInaonekana jana usiku ulipelekewa moto mpaka wenge limekushika asa unaona na ursi nae anapelewa moto em kaa kwa kutulia afu washa feny jipepelee kwanza huo usweetest ...upoe kwanza maana bado una wenge la jana.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mapaka huku Afrika[emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2179568
Hasahasa hawa wavaa makobasi. Na mwezi huu wapo kwenye mfungo sijui watafuturu na uji wa mahindi maana bidhaa bei zake zipo juu.Inafurahisha hii vita ambavyo wamatumbi wanaigeuza kuwa ya kidini! Hii sio Crusade war labda tukumbushane hilo maana tunaoumia ni sisi ambao hatushabikii huu umwinyi.
Maandazi siku hizi sh mia tano, mafuta ya kupikia bei ya Tanzanite, sio muda tutaacha kutumia usafiri wa umma maana nauli tunakoelekea hazishikiki.
Narudia tena hii vita atakayeumia zaidi ni Africa kuliko hata Ukraine na Russia, Endeleeni kushabikia ujinga ila nawahakikishia itafika muda humu wote mtakaa kimya baada ya kugundua mlikuwa mnaadvocate umbwiga!.
Ukisikiliza wimbo wa Lucky Dube Crazy World utaona maneno yako yana uzito mkubwa.Madikiteta most of time hawatumii akili