Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Urusi ndo atakuwa wa kwanza kupeleka hizo Nukes na Hypersonic, USA yeye anaweza tumia boots maana wako hapo Germany wengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Putin kashangazwa na Ukrainians

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poland anamtamani sana Urusi.
NATO na washirika walitamani sana kujua uwezo wa Urusi sasa washaujua, Urusi ana supply problem, kupitia Ukraine NATO wamepeleka ATGM nyingi ambazo zimeharibu zaidi ya 10pc ya vifaru vya Urusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia haitaweza kwisha kamwe elewa hilo.
 
Hawa Warusi wa Kwa Mtongole wana shida, wao wana silaha nzito, Ukraine hana eti hawataki apewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi kaka unajua unachoongea, kama ndege za kwenda hyper speed yani more than 5 mach( speed of sound zipo ila kombora lisiwepo)
Kila mtu anaweza kutengeneza hizo na ata marekani wanaweza, sema shida ni distance pamoja na accurace ya rong distance, ndo maana interms of nuclear warheads na ICBMs zake itabid trajectory iwe nje ya atmosphere ili kusiwe na friction na pia gravity iongeze msaada, engine zipo ila accuracy pamoja na exprossion power hupungua ikiwa kwenye huo mwendo( its physics)
 
Ingekuwa ni vita na West ungeona f22's au Abraham Tanks, au irone dome, au ungeona Patriot defensive missiles, au ata latest american guns, ila kama hizo hazionekani basi ni wanamsupport tu Ukraine, West sio wajinga waingie vita direct na Russia
 


Ndege inayobeba
Watu au fighter jets zenye rubani mmoja ni Supersonic yaani less than 5 mach na sio Hypersonic, Hypersonic ni jet engine inayobeba silaha ambazo nyingi ni guided, Hypersonic (silaha) za mrusi ni more than the 5 mach na zipo accurate vya kutosha kitu ambacho kinampa hofu America.

With Physics, lakini hayo yote ni ya kuzingatia.
 
Hayo yote mliyajadili kwenye kikao kipi!?
Bonyokwa au Buza?

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…