Hivi mpaka Sasa..mwenye hasara kubwa Ni mrusi?!!!! .yaan kwamba mrusi amepoteza Sana!!!??..hatarious
Kwani hizo hypersonic hazijatumika kwenye hii vita au wewe umeanza kufuatilia jana hii vita? Zimetumika na hakuna jipya zaidi ya kasi yake ya kufikia target husika kwa haraka,lakini madhara yake ni madogo sana zinazidiwa hata na Tomahawk Missile.
Ila Ukraine atapata maana kuna mihela ya Urusi imekamatwa hiyo ndo itahusika katika ujenzi wa UkraineWote Wamepoteza na hasa Ukraine kapoteza zaidi, Mrusi kapoteza kinyume na matarajio yake kwamba vita ile ingekuwa kitu rahisi kwake.
Soma hiyoNdege inayobeba
Watu au fighter jets zenye rubani mmoja ni Supersonic yaani less than 5 mach na sio Hypersonic, Hypersonic ni jet engine inayobeba silaha ambazo nyingi ni guided, Hypersonic (silaha) za mrusi ni more than the 5 mach na zipo accurate vya kutosha kitu ambacho kinampa hofu America.
With Physics, lakini hayo yote ni ya kuzingatia.
Ni hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.
Nyeupe peeehAnyways Ukraine ilijiamini, pia imepambana.
Et end hiyo nchi itabaki nyeupe
Us aliyeshindwa vita na Vietnam?Russia amemshindwa Ukraine mwezi was pili sasa ndio atamuweza U.S?
Msomi huyo na wananchi wanamkubali na anawatetea wananchiHivi ilikuweje Ukraine wakakapa haka kanjemba uraisi!!???
yani kama hapa bongo tukape uraisi Ka stiv Nyerere utakuwa ni utaahira!!!
Umevaa dela la rangi gani??
Kumbe wewe jamaa ni mgeni hufahamu haya mambo?!
No fly zone unaifafanuaje?
Unafikiri Zelensky alivyokuwa anaiomba alirukwa na akili?
Haiombi tena sababu walimwambia wazi kwamba hawawezi kueka No fly zone wanaogopaWewe ndiye unayeifahamu no fly zone ambayo Ukraine haiiombi tena?
Hiiiiii bagosha!
Nisiache kukukumbusha hapa si maneno yangu bali ni ya Ukraine. Au wewe sasa ndiyo unadhani wamerukwa na akili?
View attachment 2180108
Keyboard warriors [emoji16]Hii vita mrusi atanyoosha mikono juu na atapata fundisho next time asiwe na kimbelembele maana mrusi kama kuvumiliwa amevumiliwa sana na Ukraine think alichukua crimea akanyamaziwa then akaja kubeba na yale majimbo mawili tena akanyamaziwa kimya, now akaona kanogewa sasa akaingia mazima kuiteka Ukraine nzima iwe chini ya Russia hahaha , ndio maana hata mataifa ya mangaribi yamejiingiza kwenye hii vita kwa kumwaga silaha maana hata wao wameshtuka kwamba Russia akiiteka Ukraine hataishia hapo sababu kashanogewa atalivamia taifa lingine ulaya kama akinyamaziwa
Nyerere Mwenyewe aliwahi kusema endapo Idamin angenyamaziwa basi angemaliza kuiteka Tanzania kesho angefuata Kenya, ndio maana Idiamini akatembezewa kipigo chap , na anayoyafanya Putin ni yale yale ya Idamin kuiteka kagera, sasa kama Nyerere alicharuka kuingia vitani kutetea ardhi yetu iweje Zelensky akubali yaishe eti ajisalimishe kama sio wehu nyie?
Putin kwa sasa anapambana na Ulaya na marekani nzima maana washamchoka na Ulaya imeshtuka kuwa anaweza akavamia mataifa kila kukicha kama akinyamaziwa, kwa sasa Urusi atapigwa ambush kila kikicha hadi atarudi kwenye nchi yake
Maana ameingia kwenye Taifa ambalo raia wamegoma kuisaliti nchi yao na wamemwagiwa silaha na wanapigania ardhi yao yaani hata mamluki wa kuisaliti nchi hamna , Russia atakuwa anapigwa mashambulizi ya kushtukiza hadi akome na ataikimbia ukraine ni swala la muda tu, na hii vita ikiisha Putin atakuwa amepata fundisho kuwa sio kila sehem ni ya kuvamia hovyo hovyo
Na kunapoelekea kama hii vita haitoisha kwa Diplomasia au mrusi kuondosha majeshi yake Ukraine basi inaweza kuja kutokea Vita ya kutisha pale Ulaya sababu kila kukicha Ukraine anapitishiwa silaha nzito kutoka kwa majirani zake na baadhi ya majirani zake ni memba wa Nato
Sasa ipo Siku Russia atarusha kombora kwenye moja ya nchi iliyojiunga na NATO kwa kisingizio cha kuzuia kupishwa kwa silaha na hapo ndio itaibuka vita ya kutisha na tuombe sana isifikie huko ila kuna kila Dalili mrusi atakuja kushambulia nchi zinazompitishia silaha Ukraine na hapo ndio itaibuka vita kubwa ya kutisha
Hata Hitler kipindi anatabia ya kuvamia vamia nchi jirani hakuwahi kujua kuwa kuna siku atakuja kukutana na upinzani mkali , mwisho wake wengi mnaujua
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Russia is overrated kabisaPoland anamtamani sana Urusi.
NATO na washirika walitamani sana kujua uwezo wa Urusi sasa washaujua, Urusi ana supply problem, kupitia Ukraine NATO wamepeleka ATGM nyingi ambazo zimeharibu zaidi ya 10pc ya vifaru vya Urusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuonyeshe Ni wapi uliwahi kukemea uvamizi wa US/NATO.
πππ mtetezi wa mashoga na washirika wake.Mjumbe wa shetani, wee shangilia tu vifo vya watu wasiokuwa na hatia yoyote. Hata shetani mwenyewe anakushangaa.
Haiombi tena sababu walimwambia wazi kwamba hawawezi kueka No fly zone wanaogopa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji116]Wewe ndiye unayeifahamu no fly zone ambayo Ukraine haiiombi tena?
Hiiiiii bagosha!
Nisiache kukukumbusha hapa si maneno yangu bali ni ya Ukraine. Au wewe sasa ndiyo unadhani wamerukwa na akili?
View attachment 2180108