Vita ina propaganda nyingi sana, propaganda nyingi zipo kwenye media; ukivisoma vyombo vya habari vya magharibi vilikua vvinaonesha kwamba Urusi/Putin wameelemewa sana na Ukraine, binafsi nilikua siamini propaganda zile, why? Jibu ni rahisi tu, kama kweli Russia alikua kaelemewa, why bandari za Ukraine zote zilikua zimepigwa ban na mshkaji hadi NGANO isisafiri? Why almost all Ukraineans exports zilisimama na nchi ikawa haina cha kuuza nje ya nchi? Why pia vita ipiganwe upande mmoja tu, Moscow watu waendelee na maisha as if nchi yao haipo vitani? Huo ulikua ni mtazamo wangu, now here we go, chombo kingine cha habari ambacho kwa muda mrefu kilikua kimejijengea sana heshima ya kuongea ukweli na chenyewe nacho ni kama kilitekwa na Western culture kuhusu vita hi, sijui ilikua ni kwasababu ya kombe la dunia ambalo linakwenda kufanyikia nchi mwao? Now na wenyewe wamechoka kuongea UONGO, wameanza kuusema ukweli.
My take; Urusi kadhihirisha kwamba kwasasa yeye ndio mbabe wa dunia hi when it comes to the military issues; USA aliyedhaniwa hivo kwa muda mrefu, hajawahi kupigana mwenyewe, kote amekua anaomba kolabo na rafiki zake ambao nao ni matajiri hasa, Uingere, Spain, Italy nk; this time, Russia kapigana na hao wote na kawashinda!